Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Insider japo sijajua umekumbwa na changamoto gani ila jitahd kuzingatia Muda.kunawatu wanaweka bando za 24 hrs kwa ajili ya hii simulizi,sasa muda ukipita inamana ni mpaka ijumaa.Nenda na Muda
 
Dereva wa uber na kusoma wapi na wapi?🤣🤣🤣I said what I said
Kuna watu ni hopeless jamani duh mwenzio INSIDER MAN alimaliza degree na alishaandika story ya kukata tamaa ya kutafuta kazi, akapata tuvibarua ndo kupata ela akanunua gari kazi ilivokata akaamua gari yake afanye uber.....yaani ni kwamba kuna baadhi ya watu mnalazimisha watu waishi maisha mnayoishi
 
Hapana bana sio shetani Wala ,Ni ubongo wako,mbona Kama ukilazimishwa kwa mateso unafanya. So waweza jitesa alone Kama unao uwezo ukasoma kitabu fulani hata Mara mia


Kama nnavyorudia kusoma Mara Kwa Mara kitabu Cha "The richest man in Babylon"
 
Hii Episode ya 63 nimesoma huku nakunywa Coca baridii pamoja na kula ngoma ya my baby......., Wee si kwa huo mzuka nilioupata nimejikuta nasimama mwenyewe nacheza bila kujua nacheza nini[emoji3][emoji3][emoji3]

Big up INSIDER MAN umetisha Mkuu
 
[emoji28][emoji28] nitairudia hii mpaka nikae mwaka sijaisikiliza tenaaa
Screenshot_20231008_111710_Boomplay.jpg
 
Back
Top Bottom