Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Your message reflects a deep understanding of the complexities inherent in personal relationships and the uncertainty that often accompanies them. While I don't have a literal regression formula to solve such equations, I believe in the power of understanding, communication, and adaptability in navigating life's uncertainties. Each relationship is unique, and finding harmony amidst the complexities requires patience, empathy, and sometimes, a willingness to embrace the unknown. I'm grateful for your encouragement and support as I continue to navigate life's journey.
Episode nyingine lini?
 
SEASON: 02
CHAPTER 12:

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN.”

NYUMA:
WIFE: “Naomba tiketi zako za ndege sahivi nizione na hapa ndo tutajua nani msema kweli?”

Damn it, nilikuwa mpole ghafla maana nilikuwa nimekamatika na nilihisi joto kupanda kwa kasi.

ENDELEA:

MIMI: “Ina maana huniamini?”

WIFE: “Sio sikuamini ila nataka kuprove kama kweli ulikuwa Kenya ni mara ngapi umekuwa ukinidanganya?”

MIMI: “Kwanini unapenda kukumbushia mambo ya nyuma ambayo yalishapita?”

WIFE: “Nioneshe hizo tickets baba J mbona unakuwa mzito?”

MIMI: “Nasikitika kuona ninaishi na mwanamke ambaye haniamini.”

WIFE: “Nakuamini tena sana-sana.”

MIMI: “If so! Why do you keep asking for tickets? Seems you don’t trust me. Nitakupa hizo tickets hapa sina nilikatiwa, nitaziomba nitakupa.”

WIFE: “Lini?”

Mimi sikumjibu nilipanda kitandani kulala, nilianza kuchekecha akili nitafanyaje? Niliwaza kama nitasema zimepotea utakuwa msala mkubwa, ni sawa na kumwagia petrol kwenye moto.

Kitandani niliona ni pamoto nikatoka nje ili niweze kuongea na Iryn, lakini baada ya kumpigia simu alinitumia ujumbe kuwa yuko busy na atanirudia ASAP. Niliona Iryn ndo mtu pekee anayeweza kunisaidia hili jambo kwa wakati huu, ukweli Iryn yuko vizuri sana kwenye kufanya maamuzi ya haraka.

Niliendelea kusubiri pale nje kwa dakika 30 nikampigia tena lakini hakupokea simu, hivyo nikaamua kuachana naye, nikarudi ndani kulala.

Asubuhi niliamka mapema sana na ilikuwa ni jumamosi nikajiandaa kwenda ofisini na target zangu nianze na Mikocheni ili nikamiti na Lucy. Muda huu wife alikuwa bado kalala wakati naondoka nilisikia akiongea,

“Baba J kesho ni sikukuu unashindwa hata kutenga muda wa kukaa na mama? Tangu urudi hutulii home. Wewe mwanaume ni too much nimekushindwa hata kutenga muda na familia hauna, na ukirudi badae naomba uje na tickets.”

“Nitawahi kurudi.”

Niliishiwa kufyonzwa na mimi nikaondoka kwenda Mikocheni, na njiani niliona mama J yuko sahihi maana toka nirudi nimekuwa mtu wa kutotulia home.

Kipindi hiki cha sikukuu ofisi zote zilikuwa busy sana hata wafanyakazi walikuwa wanawahi mapema kutokana na kuwa na kazi nyingi. Baada ya kuwasili pale Mikocheni nilionana na Lucy na tulianza kuongea habari za Ethiopia, pia nilimuuliza maendeleo yake cha chuo akanambia anapambana ila shule ni ngumu.

Kwa upande wa Mikocheni sinaga shida na Lucy maana yuko vizuri kwakweli ndomana huwa sipendelei kwenda sana sababu yuko vizuri kwenye usimamizi.

Lucy alikwenda kuendelea na majukumu yake na mimi nilitoa simu ili nifanye mawasiliano na Iryn. Nilimpigia simu bila mafanikio maana alikuwa hapokei na nikamtumia ujumbe anitafute kuna jambo muhimu nataka kuzungumza naye.

Niliagana na Lucy lakini mpango wangu wa kwenda Masaki ulikwama nikaamua kurudi home nikakae na familia yangu. Wakati narudi home nilikuwa nawaza namna ya kudeal na mama J, kuhusu hizo tickets na nilikuwa nafikiria namna nzuri ya kuongea naye bila kuleta shida.

Njiani nilipigiwa simu na mtendaji wa kule kijijini Mondo ambako Iryn alitoa msaada na akanambia yule mzee tuliyemsadia ametoa mbuzi kwaajili ya sikukuu na leo ataituma ije Dar. Nilimshukuru sana na kwa upande wake alitaka kujua ni lini tutarudi kule tena? Niliishia kumwambia soon tutakwenda tena kuwasalimia.

Baada ya kuwasili home nilianza kucheza na Junior pale nje na mama alikuja tukaanza kuongea,

MAMA: “Mwanangu upo busy sana, unapataga muda wa kukaa na familia?”

MIMI: “Muda napata mama ni kwa vile kipindi hiki cha sikukuu nimekuwa busy, hata wewe si uliona ofisi nayofanyia kazi?”

MAMA: “Ni kweli bhasi jitahidi hata weekend uwe unatenga muda wa kukaa na familia. Muda wote uko busy, hapana mwanangu haipendezi naomba hili ulitizame.”

MIMI: “Mama kuhusu hili najitahidi sana kuna kipindi nilikuwa nakwenda na Junior kazini wakati dada hayupo.”

MAMA: “Kwa kipindi nilichokaa hapa nimeona upo busy sana. Naomba badae wote twende kanisani kwaajili ya mkesha, mama Junior nimeongea naye tayari.”

MIMI: “Sawa mama haina shida mimi leo nipo nyumbani tutakwenda.”

Mama aliondoka na mimi nilikumbuka badae nina miadi na Ghati, je nimzingue tena kwa mara ya pili?. Hii siku pia nilikuwa nina miadi na Allen maana tulikubalina mshindi wa Worldcup atajaziwa wese full tank na mimi nilikuwa nasubiri call ya Allen, kutimiza makubaliano.

Nilikumbuka kumpigia simu Iryn kwani alikuwa bado hajanirudia na hii ilifanya nipatwe na hasira maana niliona analeta dharau. Nilimpigia simu hakupokea na alitumia ujumbe kuwa yuko busy atanirudia badae, nikamtext back palepale,

Nimekutumia ujumbe nahitaji kuongea na wewe na ni muhimu lakini unaleta dharau inamaana huoni ujumbe wangu?”

“Sitaki kuongea na wewe na sitaki usumbufu ndomana.”

“Hio text umemaanisha ije kwangu au umekosea?”

“Ni yako baba mtoto.”


Niliamua kuachana nae maana alizidi kunipa hasira na wakati nafikiria nini cha kufanya kwa upande mwingine Muajemi alipiga simu kwa whatsapp na nikapokea kwa haraka sana,

MIMI: “Brother, how are you? It’s been a while. You didn’t even answer my calls or text me back.”

MUAJEMI: “I’m sorry, brother. I was very busy. How are you and your family?”

MIMI: ”Thank God we're good. How about you?.”

MUAJEMI: “We’re good too. I got your message bro! What is the important information you wanted to share from Iryn?"

MIMI: “Iryn called me and told me that you are bothering her. She says she doesn't want any disturbances from you because she has decided to focus on her life. Brother, why don't you let her go on with her life?.”

MUAJEMI: “This woman has captured my mind. I am still fighting, hoping that maybe one day she will love me. She is pretty and fine, perfectly designed. I hope she can read my mind."

Nilicheka sana maana niliona Muajemi anazingua kwakweli maana ni kama anaota,

MIMI: “Do you remember when I told you she’s pregnant?. Brother, use this energy to focus on other ladies.”

MUAJEMI: “I don’t know why I can’t let her go.”

MIMI: “The bad news is that you want to use the money and materials to get her, here is where you are wrong. The truth is, she's not pleased with these gestures, which is why she conveyed to me her desire for no further disturbances from you."

MUAJEMI: “I made horrible mistakes.”

MIMI: “She gave me your things, the gifts you bought for her that day, and asked me to return them to you.”

MUAJEMI: “No! No! It can't be like that. This is ridiculous. Tell me, bro! What should I do next?"

MIMI: “Bro, just tell me how you plan to retrieve your belongings."

MUAJEMI: “Keep it. I will see you in January, God willing."

Baada ya kumalizana na Muajemi nilimpigia simu mama wa2, nikampa taarifa nimerudi Tanzania na akanambia kesho atakuja home na binti zake kula sikukuu.

Saa 2 usiku tulitoka familia nzima kwenda kanisani kwenye ibada ya mkesha wa Christmas pale KKKT Mbezi Beach. Kwa upande mwingine kuhusu Ghati nilimpanga tutaonana next time na Allen nilimwambia pesa yangu ya mafuta aendelee kunitunzia mpaka tutakavyo meet.

Kwa upande wa Ghati mzuka wa kumtokea ulinikata baada ya kugundua ana mtoto na niliwaza ni bora nikatoka na Prisca au Asmah sababu hawa wanawake tayari nina historia nao kuliko kukutana na wanawake wapya.

Kanisani ibada ilikuwa nzuri sana hii siku na ilikwenda mpaka saa 6 za usiku ndo kurudi home. Baada ya kurudi Asmah alikuwa kaniwish Mary Christmas na nilimpa mwaliko wa kuja kula sikukuu home na yeye kwa upande wake alifurahi sana akasema atakuja.

******
Asubuhi mapema niliondoka kwenda Mbezi-kimara kuchukua mbuzi, nilikuwa nimefanya mawasiliano na jamaa tukabidhiane pale ndo rahisi kwangu, wao walikuwa wanakwenda Pugu.

Baada ya kurudi home nilisaidiana na jirani yangu kumchinja Mbuzi pamoja na kumuandaa kabisa. Tulianza kumuandaa kwaajili ya kuchomwa, kuchanganga viungo nknk, kwenye hii sekta niko vizuri sana.

Mida ya saa 4 asubuhi mama Janeth alinipigia simu kuniwish Mary Christmas pamoja na kunipa mwaliko maana alipenda sana tukajumuike pamoja pale kwake. Suala la kwenda kwake lilikuwa gumu na niliishia kumwambia siku ya mwakampya tuwe pamoja na aliishia kuunga mkono wazo langu.

Jane naye hakuwa mbali kuniwish Mary Christmas na alinipa mwaliko niende kwake pamoja na familia yangu, lakini nilimdanganya nakwenda ukweni na nitakwenda kwake kesho.

Mida ya saa 7 mchana Asmah aliwasili pale home na nilimkaribisha ndani nikamtambulisha kwa mama na wife. Nilimtambulisha kuwa yeye ndo HR wa kampuni na ndo msaidizi wangu pale ambapo nakuwa sipo, yeye ndo anakaimu. Muda ambao nafanya utambulisho wife alikuwa akiniangalia sana dizaini kama hakupendezwa na ugeni wa Asmah pale home.

Nilimkaribisha Asmah nje ili tuendelee kupiga story huku tunachoma nyama pamoja, muda huu wife alitoka nje na Asmah alikuwa makini sana kumtizama,

ASMAH: “Insider unajua kuchagua mke yuko vizuri sana.”

MIMI: “Laiti angelijua wewe ni mchepuko wangu angekutia risasi ya kichwa.”

ASMAH: “Hivi kwanini huridhiki ukatulia na mwanamke mmoja? Una…”

Na mimi nilimkatisha maaongezi yake,

MIMI: “Asmah mwanaume rijali mwanamke mmoja hatoshi, mama watoto wangu ni kipengele akiamsha mashetani yake nyumba utaona chungu. Tuachane na haya naomba kujua mustakabali wa lile jambo letu kama kujifikiria muda umekuwa nao wa kutosha.”

ASMAH: “Insider kwa hili hapana rafiki yangu, nitakuwa ni mwanamke wa ajabu sana kukubali wakati naona una familia na still bado unatoka na bossy wangu. Impossible!”

MIMI: “Mimi nataka uwe mchepuko wangu wa siri na nimekuchagua wewe sababu tuna historia tayari. “

ASMAH: “Insider namuheshimu sana Iryn sababu kanisaidia vitu vingi sana mpaka sasa, kutembea na wewe sio heshima. Nafanya hivi kwa faida yako na pia kuepusha matatizo yatakayokuja kutokea badae, tuendelee kuwa marafiki tu.”

MIMI: “Kusema kuendelea kuwa marafiki ni uongo labda unambie friend with benefits hapo sawa nitakuelewa. Najua unanipenda sana ila unataka kufanya mambo yawe magumu na kupoteza muda.”

Kwa upande mwingine alionekana Junior akija usawa wetu na alikuwa akiniita na Asmah ndo aliyembeba na mada ikabadilika,

ASMAH: “Umefanana sana na mwanao hata mama yako mmefanana sana, nimefurahi sana kuiona familia yako leo.”

MIMI: “Ahsante bila shaka umefurahi kumuona mama mkwe wako wa siri.”

Asmah aliishia kucheka tu pale na mimi nilitoa simu mfukoni nikapiga picha zile nyama nazochoma then nikasend kwenda kwa Iryn na nikam-wish “Mary Christmas”. Licha ya kuendelea kunifanyia drama zake mimi sikutaka kuonesha nina kinyongo naye maana nilijua ni mimba inayo mchanganya wala si kingine.

Kwa upande mwingine ndugu yangu Dullah aliwasili pale home kwaajili ya kula sikukuu pamoja, nilikuwa nimempa mwaliko mapema sana aje home siku ya Christmas tusherehekee.

Mida ya saa 8 mchana mama wawili aliwasili home na nilistaajabu kumuona akidrive harrier new model mpya “Macho ya panzi” maana alinipiga surprise sana. Nilimkaribisha ndani na nilifanya utambulisho kwa mama yangu mzazi ila kwa upande wa wife haikuwa shida anamjua.

Mama wa2 alikuwa kaongozana na binti zake wawili na mimi nilifurahi sana kumuona pili maana alionekana kuzidi kukua kwa kasi.
Nilitoka nje na Pili tukiendelea kuongea kuhusu maendeleo yake ya shule na alinambia january wanafungua shule, pia anatarajia kumaliza form 6 mwezi may.

Saa 9 za mchana tulipata chakula cha pamoja, kwa upande mwingine mama wa2 alikuwa busy sana akiongea na mama yangu. Mama wa2 alikuwa anamwambia mama kuwa amebariwa kupata kijana mchapakazi na mtu wa watu, kwa upande wa mama yeye aliishia kufurahi tu pale.

Baada ya kupata chakula mimi na Dullah tulitoka nje kwenye nyama choma na tulianza kukimbizia bia taratibu. Baadae Asmah na Jirani walikuja tukawa tuko wa 4 pale, zilikuwa ni bia na nyama choma ilikuwa ni hatari sana. Kwa upande mwingine Dullah alinambia anatarajia kufunga ndoa na Latifah mwakani mwezi february na habari kubwa alisema anataka kuacha biashara ya Uber, kwani ana mpango wa kufungua biashara ya chakula soon.

Kipindi tunafanya maongezi, Iryn alinipigia simu na nilisogea pembeni ili tuongee vizuri,

IRYN: “Darling, Marry Christmas too.”

MIMI: “Leo mashetani yako ndo yanajisikia kuongea na mimi?”

IRYN: “I don’t think so, how is your day going?.”

MIMI: “Kama hivi tunachoma mbuzi na alitumwa kwaajili yako na yule mzee wa kule kijijini Dodoma.”

IRYN: “Waow! Mwambie ahsante sana, naona unamchoma unanitamanisha, nakumbuka kipindi kile tuko na Grizz nyama zilikuwa tamu sana.”

Baada ya maongezi mafupi, ilinilazimu nimwambie kinachoendelea kuhusu ishu ya wife kuomba ticket za ndege maana nilijua yeye atakuwa msaada kwa hili lakini cha ajabu Iryn alianza kunicheka,

MIMI: “Sasa tunafanyaje? I believe wewe unaweza kuwa msaada kwangu, lakini unaanza kucheka.”

IRYN: “Nilijua lazima mama J atafute kila namna ya kuprove hili na niseme you dead.”

MIMI: “What do you mean? Kwamba huna option ya kunisaidia hili?”

IRYN: “What should I do? Hizo ticket mimi nazipata wapi? Ni mtihani unanipa ambao nita score 0.”

MIMI: “Sasa tunafanyaje? Uko tayari kuona nina achana na mama J? Ukizingatia nilikuwa Ethiopia na wewe?”

IRYN: “Hata sijui nakusaidiaje kwa hili baby, wewe ulishakosea toka mapema, kabla ya kufanya maamuzi uwe unafikiria na mbele itakuwaje. Ilikuwaje ukamwambia unakwenda Kenya? Hukufikiri mama J atakuomba ticket? Ndomana nakwambia you dead.”

Na Iryn aliendelea kucheka na hapa ndo alianza kunipa hasira,

MIMI: “Unacheka kuonesha mazuri sindio? Sawa nashukuru.” Nikakata simu.

Nilijifikiria pale nikaona kweli nilizingua Iryn yuko sawa, kabla ya kufanya maamuzi nilitakiwa kufikiria na mbele itakuwaje?. Simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni mzee Juma akipiga na bila kujifikiria nilipokea simu yake tukaanza maongezi.

Mzee Juma alikuwa ananisalimia na aliuliza niliko kwani nimekuwa mtu adimu sana kipindi hiki hata kwenye 40 ya mtoto sikuwepo. Niliomba radhi na nikwambia ni masuala ya kikazi ndo yalipelekea hivyo na akanambia yeye hana maongezi mengi ila tuoanane jumanne ya wiki ijayo.

Nilirudi kwa washikaji kuendelea kupiga vyombo na baada ya dakika 20 Asmah aliniaga anaondoka kwenda home sababu dada yake anakuja kumtembelea. Tuliagana pale na nilimsindikiza nje ya geti na kabla ya kupanda Uber tulikumbatiana na nika mkiss shavuni. Ukweli moyo wangu ulikuwa umeshamchagua Asmah tayari na nilijisemea lazima nimpate kwa njia yoyote ile na awe kwenye himaya yangu.

Baada ya kuachana na Asmah nilirudi ndani na Dullah alianza kunipeleleza kama natoka na Asmah maana alihisi something fishy kinaendelea kati yetu. Nilimgomea na yeye alisema bhasi ninamla maana tunaonesha tuko kwa mahusiano, kwa upande wake aliishia kumsifia Asmah ni mzuri.

Kwa upande mwingine kule ndani akina wife walikubaliana tutoke out familia yangu pamoja na ya mama 2 na mimi ilibidi nijiandae ili tutoke out kama walivyopanga. Kwa upande wangu sikukubaliana nao lakini sikuwa na jinsi, na point yangu kubwa kwa siku za sikukuu kuna kuwa na watu wengi sana, hata usalama unakuwa ni mdogo.

Baada ya kujiandaa na kurudi seblen walisema wazo langu ni zuri, bhasi twende sehemu ambayo haitakuwa na mwingiliano mkubwa wa watu na wakashauri twende “The whitesand hotel.”

Dullah aliniaga anaondoka maana asingeweza kuongazana na sisi, hivyo akaondoka kuendelea na ratiba zake na sisi tukaondoka kwenda Whitesand.

Wakati tuko pale hotelini nilikuwa napiga story na mama wa2 kuhusu gari yake mpya maana ilikuwa chombo kwelikweli. Yeye alinambia kwenye ile gari katoa pesa ndogo sana ila kiasi kikubwa kimetolewa na baba watoto zake, niliishia kumpongeza kwa maendeleo ya kununua gari.

*****
Boxing day tulikwenda ukweni kusalimia, pia mama alitaka kuwaaga wakwe maana isingekuwa busara kuja Dar na akaondoka bila kwenda kuwasalimia. Baada ya kuwasili ukweni tulipokelewa vizuri sana, na kwa upande wetu sisi tulikuwa tumekwenda familia nzima.

Mazungumzo yalianza na mengi yalibase upande wetu sisi, na kubwa walitupongeza kwa kukaa muda mrefu bila kugombana na walisisitiza sana suala la ndoa kwani muda unakwenda na hatuoneshi mpango wowote wa ndoa.

Mama yangu mzazi naye alikuwa upande wa wakwe naye alisema nitoe ahadi ni lini tunafunga ndoa sababu mimi ndo kila kitu kwenye maamuzi. Nilikuwa kwenye wakati mgumu sana, ukizingatia makubaliano yetu na wife tufunge ndoa pindi atakapomaliza chuo.

“Wazazi wangu hili jambo hata sisi tunatamani liwe hata leo, lakini bado tunaweka mambo sawa ya kiuchumi. Tulikubalina pindi mama J atakapomaliza chuo ndio tufunge ndoa, ila kwa sasa bado hatujajipanga na tunaomba mtuvumilie kidogo.”

Ni kauli ambazo hazikuwafurahisha kabisa na muda huu ilibidi mama amuulize mama J kama anakubalina na haya maneno yangu, na yeye alisema anaweza kufunga ndoa hata kama bado anasoma ila ugumu unatoka kwangu.

Wife alinigeuka hivyo ilibidi nihitimishe kwa kuwaambia kufikia january nitakuwa na tarehe pamoja na mwezi wa harusi yetu, maana niliona kunakoelekea nitajiwekea kitanzi shingoni. Side zote zilikuwa against na mimi, hivyo ilibidi nitumie mbinu ya kujihami mapema.

Baadae nilipata muda wa kuongea na mama mkwe na kubwa ilikuwa kuhusu jambo la Jane na baada ya kuzungumza naye aliniambia hakuna shida, siku yoyote niende naye ili ampe mchanganuo wa kuanza biashara ya mini-supermarket.

Mida ya mchana tulirudi home, sasa kipindi niko chumbani na wife nilianza kumzingua kwanini amekwenda kinyume na makubaliano yetu na mimi naonekana kuwa ndo shida?. Kwa upande wake alitaka nimuoneshe ticket za ndege maana siku zimepita, afu dizaini kama najisahulisha. Na hapa ndo alinikera yaani namuuliza vitu vingine na yeye analeta story zingine, nikamtia kibao na ugomvi ndo kuanza.

Zilikuwa ni kurupushani mle ndani na alikuwa analia na kwa mbali nilisikia mama akiniita,

“Insider…. Insider….mnashida gani huko ndani?”

Wife alitoka na mama alianza kumuuliza shida ni nini? Na mimi nilitoka muda huu nikaamua kuondoka nikamwambia mama tutaongea vizuri badae.

Mawazo yangu yalinituma niende Mikocheni nikaonane na Lucy. Kwa upande wangu nilijua ule tayari ni msala na mama atajua kinachoendelea, ni bora nionane na Lucy huenda akanipa mawazo what to do.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta yuko ofisini na alikuwa anachezea laptop yake na nilimsalimia kisha nikajiangusha kwenye sofa kama mtu ambaye amechoka sana,

LUCY: “Bossy uko sawa kweli?.”

MIMI: “Actually I’m not, nina stress tu hapa hata sijui nitachomokaje kwenye huu msala, wanasema za mwizi ni arobaini, naona kwangu zimeshatimia.”

LUCY: “Kuna nini mshikaji wangu? Mbona sikuelewi ni nini kinaendelea?”

Na Lucy alitoka akaja kukaa pembeni yangu,

MIMI: “Acha tu, ile safari yangu ya Ethiopia nilimdanganya wife nakwenda Kenya, sasa anataka kuziona ticket na ugomvi umetokea home sio muda. Naona mambo yashaharibika tayari mshikaji wangu na mama atajua kila kitu maana wife haelewi.”

LUCY: “Duuh! Huu msala ni wa moto sana, sasa hapa unafanyaje?.”

MIMI: “Yaani! Hata sijui na nikishindwa kuprove hili nafikiri tutaanza migogoro mle ndani na yule mwanamke ni kisirani sana, hata sijui nafanyaje.”

LUCY: “Wifi yangu umeongea naye kuhusu hili? Iryn atakusaidia ongea naye hili jambo mapema akusaidie.”

MIMI: “Nimeongea naye lakini anasema liko chini ya uwezo wake, jinsi ya kupata hizo ticket ndo kipengele anazipataje?”

LUCY: “Mhh! Ni kweli hapo ni kipengele ila bado anaweza kufanya jambo. Iryn ana watu hilo jambo kwake ni dogo sana, wewe mkamie mwambie ukiona nimeachana na mama J na uwezo wa kunisaidia unao, sitakusamehe kwa hili.”

MIMI: “Lucy huoni kama najiwekea kamba shingoni mwenyewe? Hili jambo kweli ni gumu hata mimi naforce tu bhasi ila sio rahisi. Kama nitamwambia hivyo kwa level aliyofikia sidhani kama itasaidia, ile mimba kwasasa inamchanganya sana, nikimwambia haya maneno utafikiri itakuaje?”

LUCY: “Ngoja nikwambia kitu Insider, the moment ambayo unaonesha mapenzi kwa wife wako unafanya Iryn akupende zaidi. Usijaribu hata siku moja ukaachana na mama J, utaona jinsi upepo utakavyo change, wewe mkamie naamini atafanya jambo ukizingatia ulikuwa nae huko Ethiopia.”

Lucy aliongea maneno fulani hivi ambayo yaligusa hisia zangu na niliamua kuondoka nirudi home na sikutaka kupoteza muda pale. Wakati niko njiani nikirudi simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Asmah akipiga na nilipokea kumsikiliza,

ASMAH: “Hey dear, umemwambia Iryn mimi nilikuwa kwako jana?”

MIMI: “Hapana sijaongea na Iryn chochote kuhusu wewe, ilikuwaje mpaka akakuuliza hivyo?”

ASMAH: “Hata mimi nimeshangaa sababu aliniuliza kama mtu ambaye anajua kila kitu na akaongelea masuala ya kuchoma nyama.”

MIMI: “Mhh! this is ridiculous, how did she know?”

ASMAH: “I don’t know kwakweli mawazo yangu yote ni wewe ulimwambia.”

MIMI: “Hapana dear sijafanya hivyo, ila jana muda ule nimetoka pale nilikuwa naongea naye, lakini hatukuongea chochote kuhusu wewe.”

ASMAH: “Mhh sawa! Ila hajaonesha kumind.”

Baada ya kuachana na Asmah niliwaza huenda wife alichat na Iryn akamwambia, lakini niliona bado ni ngumu sana.

Niliwasili home ilikuwa jioni na baada ya kuingia ndani nilimkuta mama yuko seblen na nilishangaa sana kuona akiangalia marudio ya worldcup. Mama baada ya kuniona aliniomba nikae chini ili tuzungumze jambo liliotokea masaa machache nyuma. Mama aliniambia wife kamwambia kila kitu na alinitaka nioneshe hizo ticket ili kuepusha ugomvi usio kuwa na maana. Kwa upande wangu nilimwambia mama kuwa ticket zipo kwa bossy na amesema atanitumia muda wowote, na pindi atakapozituma nita muonesha wife.

Mama alinisihi niende ndani nikayamalize na wife na mimi nilifanya hivyo kama alivyonielekeza na nilimkuta yuko chumbani anaongea na simu alikuwa kaweka loud speaker. Baada ya kutulia ndo kujua anaongea na Iryn na alikuwa anamfundisha,

“Yes dear, Nyati Company should appoint independent non-executive directors to the audit committee, and the CEO and CFO should not be members of this committee to ensure the objectivity of financial oversight.”

Na mimi niliamua kupanda kitandani nikalala nikamuacha apewe shule na mke mdogo, na walikuwa wakicheka sana pale. Kwa upande wangu nilikuwa naona ufahari sana kuona wake zangu wakipendana namna hii. Iryn ni mkubwa kwa mama J na wamepisha mwaka mmoja tu ni vile masuala ya mimba yalisababisha wife asimamishe masomo.

*******
Jumanne nilikuwa nina appointment ya kuonana na mzee Juma ambaye alisema tuonane mchana. Ile asubuhi baada ya kupata breakfast nilipata wazo la kwenda Masaki kule shuleni nikaonane na dada, niliwaza huenda akawa na mawasiliano na Kizoka.

Kizoka ndo alichukua tenda zote za kuwachukua watoto pale shule baada ya mimi kuachana na kazi ya Uber. Kwa upande mwingine nilikuwa nina wasiwasi wa kumpata yule dada, kwani shule zilikuwa zimefungwa. Nilijisemea kama na huu mpango utakwama bhasi nitatafuta Plan B ya kutafuta mtu mwingine wa kuingia naye mkataba.

Kabla ya kwenda ofisini nilipitia pale shuleni na bahati nzuri niliweza kukutana na mlinzi akanipa namba za yule dada secretary. Palepale nilimpigia simu na uzuri alikuwa na namba yangu hivyo sikupata shida kujitambulisha na nilimwambia shida yangu ni kupata namba ya jamaa. Baada ya maongezi alinambia ananitumia sio muda mrefu na tukaagana.

Ilipita dakika 5 akanitumia namba zote za jamaa na mimi nilifanya kumpigia simu ndugu yangu, lakini nayo ikawa haipatikaniki. Baada ya kufika ofisini nilianza kuhakiki mauzo pamoja na EFD na baada ya kujiridhisha niliondoka kwenda kuonana na Mzee Juma.

Ndani ya muda mfupi niliwasili home na baada ya kukaribishwa ndani pale seblen alikuwepo mzee Juma pamoja na Mrs, bila kumsahau Camila na kulikuwa na watu wawili ambao ni ndugu zao.

Niliwasalimia wote na haikuchukua muda dada alikuja na juice kwenye glass,

MZEE: “Insider akija hapa huwa mnamletea juice zenu amewaambia anazipenda?. Tuletee wine na glass tuendelee kunywa hapa, juice ni za wagonjwa.”

CAMI: “Hata wine wanakunywa wagonjwa mzee.”

MZEE: “Afadhali hii kuliko juice. Insider karibu kijana wangu umekuwa adimu sana na kubwa kutokukuona kwenye lile tukio muhimu bila taarifa yoyote hapa ndo ilinipa maswali sana.”

MIMI: “Hapana mzee nilitamani sana niwepo ile siku, sema mambo yakaingiliana. Jane nilimpa taarifa kuwa ninaweza kurudi ontime na nikahudhuria tukio.”

MZEE: “Za huko Kenya? na ulikuwa na jambo gani huko.”

Muda huu Cami alikuwa makini sana kusikiliza maongezi yetu na mzee,

MIMI: “Kuna kampuni napiga nayo kazi, nilikwenda kuangalia masuala ya mizigo ndo hilo tu.”

MZEE: “Kama maswala ya kazi ni sawa huna haja ya kuwa na wasiwasi, kampuni ina deal na nini na iko wapi?”

MIMI: “Kampuni ina deal na masuala ya beauty na iko Masaki, pia tunabranch hapo Mikocheni.”

MZEE: “Vizuri, last time tuliongea kuhusu masuala ya project na nilikwambia nitaanza January. Sasa nakuomba utafanya kama tulivyoongea na utasaidiana na Cami, ninaimani na nyinyi.”

MIMI: “Sawa mzee haina shida, ondoa na wasiwasi kabisa.”

MZEE: “Tutaonana mara ya mwisho kuweka mambo sawa kuhusu hili, pia nilitaka nijue na afya yako kwa ujumla pamoja na maendeleo ya familia yako. Jambo lingine sisi kama rafiki za Pama kupitia umoja wetu tuliandaa zawadi ya kukupa kwakuwa nasi kupindi chote. Tunathamini kwa kujitoa kwako tangu kipindi cha msiba mpaka Jane anajifungua, na tuliona ni busara tukafanya jambo kwaajili yako.”

Mzee Juma alimuagiza binti yake Cami ndani akachukue bag lake na baada ya Cami kurudi na kumkabidhi bag, Mzee alitoa bahasha imetuna na akanikabidhi.

Nilishukuru sana pale maana sikutegemea kama nitapata hii zawadi ilikuwa ni surprise na tuliendelea kuongea masuala mengine ya maisha na baadae nikawaaga nikaondoka maeneo yale.

Baada ya kurudi home ule usiku migogoro na wife iliendelea na wimbo ni uleule alikuwa anataka tickets za safari ya Kenya na alikuwa haelewi kabisa,

WIFE: “Hivi inawezekanaje unapanda ndege bila kuwa na ticket?”

MIMI: “Ticket nilikatiwa na mama, airport nilitaja jina nikaonesha ID nikaruhusiwa. Kama huniamini muulize Iryn atakwambia kama mimi nasema ukweli au nadanganya.”

WIFE: “Si ndo wewe ulinambia masuala ya kazi na binafsi Iryn asihusishwe?. Kinacholeta ugumu kwenye ticket ni nini? Ndomana nakuwa na wasiwasi juu yako kwanini hili jambo liwe gumu hivi?”

Ukweli nilikuwa sijui nafanyaje kuhusu hili jambo na niliwaza asubuhi niongee na Iryn, ili anishauri nitumie mbinu gani kumaliza hili jambo. Licha ya yote bado niliamini Iryn anaweza kunisaidia nikasovu, na kama itashindikana bhasi liwalo na liwe.

Asubuhi nilifanya mawasiliano na Iryn kumuomba aangalie means yoyote ya kunisaidia, na yeye aliendelea kusimamia kwa hili suala hata yeye hajui anafanyaje sababu ni gumu kwake.

IRYN: “Baby I wish nikusaidie lakini nakosa mbinu ya kukusaidia, ulishakosea toka mapema.”

MIMI: “Remember nilijitoa kuja Ethiopia kwaajili yako, nilimuacha mama yangu mzazi home kwaajili yako. Ukiona nimeachana na wife na wewe una uwezo wa kunisaidia sitakusamehe kwa hili na nime maanisha.”

IRYN: “What the f*ck are you talking about? Kwamba mimi kwako sio kitu? Sihitaji mapenzi kutoka kwako?. Anyway hayo yote ulifanya kwaajili ya mwanao na sio mimi na kama ukiona hata mwanao hastahili kufanyiwa hayo acha. Thank you.”

MIMI: “Baby sijamaa……”. Alikata simu.

Nilishusha pumzi ndefu sana nikajisemea hapa kweli nimezingua na sijui itakuwaje. Niliwasha gari nikaondoka kwenda Mikocheni kuendelea na majukumu yangu.

Mchana mama alinipigia simu akanambia nijitahidi sana leo navyorudi niwe na hizo tickets maana tabia nazozionesha mbele yake sio nzuri. Mama alisisitiza sana nifanye hivo ili kurudisha amani ndani ya nyumba na pia anakikao na sisi, itakuwa ngumu kukaa kama hakuna amani.

Niliona wananichanganya tu na ile jioni niliondoka na Lucy kwenda Mlimani city kupoteza muda na tulikaa Samakisamaki. Tuliagiza vinywaji na tuliendelea na story pale na nilimpa mrejesho wa mazungumzo yangu na Iryn na jinsi tulivyotofautiana, akanishauri nitulize akili nitafute Plan B.

Mida ya saa 2 tuliagana nikarudi home na wakati niko njiani nilikuwa nawaza namna ya kuongea ili nieleweke kwa mama na wife.

Sawa nitawaambia mama kasafiri na amesema ticket ziko kwenye laptop yake ambayo iko Dar na akirudi atanipa ili niweke kwenye matumizi ya kampuni.”

Kwa upande mwingine nilijikuta najuta kwa kutofikiria mapema na nilijisemea kweli “njia ya muongo ni fupi.

Baada ya kuwasili home sikutaka kuingia ndani na nilipark gari pembeni ya fense nikaendele kutafakari. Nilichukua simu yangu, nikawasha data na palepale iliingia whatsap notification ya text kutoka kwa Iryn. Baada ya kufungua sikuamini nachokiona mbele yangu nilijikuta najawa na furaha sana muda huu, alikuwa kanitumia ticket 2 za Kenya Airways. Ticket zote zilikuwa zinasoma jina langu na ticket ya kwanza ilikuwa na tarehe ya kuondoka na ticket nyingine ilikuwa na tarehe ya kurudi.

Alituma zile tickets bila kuandika chochote na mimi nilijikuta nafurahi tu muda huu maana alikuwa kacheza kama Pele. Nilimpigia simu ili kumshukuru kwa alichofanya maana ningekuwa ni mpumbavu kutomshukuru kwa hili jambo alilokuwa kalifanya,

MIMI: “Baby thank you, you really surprised me.”

IRYN: “Don’t be, sikupenda kauli ulizoongea asubuhi nilijua ni hasira tu.”

MIMI: “I’m really sorry, nili-panick mummy ndomana ikawa hivyo.”

IRYN: “Darling wewe ni mzembe sana, ile siku niliyokuomba simu yako tukiwa airport nilifuta picha zote ulizokuwa umepiga pamoja na ile video uliyonichukua na Jimmy tukicheza. Nilijua mama J lazima atakuchunguza, jenga tabia ya kubadili mara kwa mara passcode za simu, unajiachia mno baby.”

MIMI: “Mimi nilikuwa sina hata habari kama umefuta picha, you're so ingenious. Leo umenifurahisha sana baby nambie nikupe zawadi gani, chochote unachotaka nitafanya.”

IRYN: “Nipeleke kwenu nikaijue familia yako, sihitaji kingine zaidi ya hili.”

TUTAENDELEA
Dah natamani kusoma hii epsode ila jinsi nmelewa ntaisoma Nikiamka
 
Your message reflects a deep understanding of the complexities inherent in personal relationships and the uncertainty that often accompanies them. While I don't have a literal regression formula to solve such equations, I believe in the power of understanding, communication, and adaptability in navigating life's uncertainties. Each relationship is unique, and finding harmony amidst the complexities requires patience, empathy, and sometimes, a willingness to embrace the unknown. I'm grateful for your encouragement and support as I continue to navigate life's journey.
muweke na tafsiri maan wengine hizo lugha hatuziwezi
 
SEASON 02:
CHAPTER 13:

“BY INSIDER MAN”

PREVIOUS:
MIMI: “Mimi nilikuwa sina hata habari kama umefuta picha, you're so ingenious. Leo umenifurahisha sana baby nambie nikupe zawadi gani, chochote unachotaka nitafanya.”

IRYN: “Nipeleke kwenu nikaijue familia yako, sihitaji kingine zaidi ya hili.”

CONTINUE:

MIMI: “Mummy hilo ondoka shaka nilisha kuahidi tayari, wewe kuwa na subira tu, naweka mambo sawa hata tukienda isiwe tatizo.

IRYN: “Sawa mimi sina usemi but I will be right here to remind you again.”

MIMI: “I promise mummy, tell me umepataje hizi tickets?”

IRYN: “Baby hivyo ni vitu vidogo sana visikuumize kichwa.”

MIMI: “Ahsante mummy ngoja niingie ndani maana ushanipa jeuri tayari.”

Tuliishia kucheka kwa pamoja na tukaagana pale, lakini nilipata wazo niziprint zile tickets ndo itapendeza zaidi kuliko zikibaki mle kwenye simu. Nilimpigia simu bodaboda ambaye huwa tunamtumia sana pale home na nilimtumia kwa whatsapp zile tickets ili aziprint, kisha aniletee home.

Mimi niliendelea kumsubiria bodaboda pale nje na muda huu nilikuwa nikitafakari sana kuhusu Iryn. Niliona Iryn ni mwanamke sahihi kwangu na pia tumetoka mbali mpaka kufika hapa, na nilijisemea isingekuwa kulipa mahali kwa mama J, ningepindua meza.

Baada ya dakika 20 bodaboda aliwasili akiwa na tickects kwenye bahasha na nilimpa pesa yake na nikazitoa zile tickets kwenye bahasha nikaziweka mfukoni, nilikuwa nimevaa cargo jeans.

Niliingia ndani straight chumbani na wife alikuwa amekaa kitandani, amevaa bikini rangi ya blue na nilisogea pembeni yake nikamshika karioo lake, lakini alinishika mkono na kunizuia, kuonesha hapendezwi na ninachofanya,

MIMI: “Una maanisha nini kunizuia?”

WIFE: “Sitaki tu, naomba nioneshe tickets.”

MIMI: “Nikigoma kukuonesha utanifanya nini?.”

WIFE: “Unasema nini?”

MIMI: “Sikia naona kwasasa huna imani na mimi kabisa na hii stage uliyofikia sio nzuri. Kuna umuhimu gani wa kuendelea kuishi pamoja kama huniamini?”

WIFE: “Kuna tatizo gani ukionesha hizo tickets? Wewe ndo unataka kufanya mambo kuwa magumu.”

MIMI: “Naona una jeuri wewe mwanamke sababu mama yupo, unafanya kila mbinu nionekane mbaya kwa mama yangu. Tickets nakupa ila kuanzia leo utaanza kuona mabadiliko yangu live maana wewe ndo umeyataka kwa kushindwa kuniamini.”

WIFE: “Sawa haina shida, naomba hizo tickets.”

Nilimuangalia kwa jeuri na nikatoa tickets kwenye suruali niliyokuwa nimevaa nikamkabidhi pale,

MIMI: “Ulitaka tickets ni hizo, zikague na ukiridhika nambie umeridhika, afu nikuoneshe na picha za wanawake niliokuwa nao hotelini.”

WIFE: “What? Yaani unaongea mbele yangu upumbavu wako na huogopi?.

Na muda huu alikuwa akivaa nguo,

MIMI: “Baada ya tickets kinachofuata ni hoteli niliyofikia, nakujua vizuri unapenda sana violence.”

Kwa upande wake alianza kufoka na mimi nilimshika mkono kwa nguvu na nikatoka naye mpaka sebleni, mama alikuwa yuko pale na alishangaa sana kuona kinachoendelea,

MAMA: “Nyie nyie wanangu, shida nini tena?.”

MIMI: “Kaa hapa! Mama kuna haja gani ya kuoa mwanamke ambaye haniamini? Si napoteza muda tu, nimemuelekeza sana ila wapi na amenikosea sana tena mbele yako.”

MAMA: “Mwanangu usifike huko huyu anakupenda ndomana anakuuliza, au unataka mwanamke ambaye hana habari na wewe?”

MIMI: “Mara 100 nikaoa mwanamke wa dizaini hii kuliko huyu.”

Wakati muda wote naongea na mama, wife alikuwa kimya na nilimbeba Junior nikaondoka kurudi chumbani.

Nilichukua simu yangu na nika-mtext Iryn na alikuwa online,

MIMI: “Baby, are you there?”

IRYN: “I’m right here. Did everything go well.?

MIMI: “Yes mummy, thank you for everything.”

IRYN: “I’m always here for you.”

MIMI: “I miss seeing your boobs, can you send me a picture.?”

IRYN: “I can send it, but the problem is that you can’t even protect your phone very well. Today, let me make a video call, and you can see my boobs.”

Nilimsikia mama J akija usawa wa chumbani na nilimtext chap Iryn,

MIMI: “She’s is coming, I will see you soon.”

IRYN: “You’re not lucky.”

Mama J aliingia chumbani na alikuja mpaka usawa wangu akakaa kitandani na alianza kuomba msamaha kwa kunikosea. Kwa upande wangu sikutaka shari naye, hivyo nilimsamehe na nilimwambia asirudie tena kufanya kitendo kama hiki. Nilishangaa akimwambia Junior aende kwa bibi yake na alivua nguo zote akanikalia kwa juu na siku ndo ikaisha kwa namna hii.
***
Asubuhi nilichelewa kuamka na nilijiandaa kwa haraka sana nikaondoka kwenda Masaki, lakini nilianza kwanza kupitia Mikocheni ili nionane na Lucy, nimpashe na habari za jana usiku.

Baada ya kuwasili pale Mikocheni nilionana na Lucy, nikampa story nzima jinsi ilivyokuwa na yeye aliishia kufurahi sana muda huu.

Baada ya kuachana na Lucy niliendelea na safari yangu ya kwenda Masaki na nilipitia tena ofisini kwa Sumaiya ili nijue maendeleo yake, kama ameanza mafunzo ya udereva au laah. Baada ya kuwasili pale ofini kwake alinipa mrejesho kuwa ameanza mafunzo na bado anajifunza taratibu.

Maongezi yalibadilika na nilishangaa kusikia akiniuliza kuhusu habari za Ethiopia,

MIMI: “Nani kakwambia nilikuwa Ethiopia?”

SUMAIYA: “Naona umeenda kutambulishwa ukweni mwanaume, chezea mambo ya ukweni wewe! Kweli unamkuna vizuri Queen mpaka amejaa mazima.”

MIMI: “Mimi sikuwa Ethiopia unazingua.”

SUMAIYA: “Insider mimi ni shem wako hata usiwe na wasiwasi, mimi ndo mtu pekee ambaye nilikuwa nakusisitiza umgonge queen. Alipost kwenye snapchat yake picha hii hapa…”

Na muda huu nilikuwa makini kuangalia picha ambayo Iryn aliipost kwenye snap yake na ilikuwa ni moja ya picha ambayo tulipiga kama ukumbusho pale hotelini tukiwa watatu mimi, Iryn na Jimmy.

MIMI: “Sasa picha inathibitisha mimi kuwa huko?”

SUMAIYA: “Nilichat naye akanambia ulikuwa Ethiopia, so Queen amekuwa muongo?”

MIMI: “Yaishe haya, hata hivyo hayakuhusu mind your business.”

SUMAIYA: “Nifundishe kuendesha gari na nikijua mapema nitakutunuku, ahadi yangu bado ipo sijaghairi.”

MIMI: “I'm never f*cking you, so take that out your plans.”

SUMAIYA: “Kuna siku utaingia 18 zangu, na ukiingia tu hutabaki salama, kila siku utakuwa unataka.”

Niliishia kucheka tu pale, maana Sumaiya ni mshenzi sana.

Niliachana na Sumaiya na muda ambao niko njiani kuelekea ofisini, Iryn alinipigia simu na kunisisitiza nianze taratibu mapema kufuatilia mzigo utakao fikia Zanzibar.

Baada ya maongezi naye, pia nilikumbuka lile sakata la Asmah nikawaza huenda Iryn anamfuatilia Asmah kimyakimya, alijuaje Asmah yuko home?.

“Mama J hawezi kumwambia Iryn kuwa Asmah alikuja home kwanza huu ujinga hanaga, ni nani aliyemwambia? How did she know?. Kuna something fishy Iryn anakifanya kwa Asmah, sasa I have to do something bila hata yeye Asmah kujua.”

Wazo lililonijia ni ku-reset simu ya Asmah bila yeye kujua, na kwa upande wangu niliwaza kuna umuhimu wa kusajili line nyingine kwaajili ya kuchat na Asmah, pindi atakapo nikubalia na kuwa mpenzi wangu.

Baada ya kuwasili ofisini nilimkuta Hilda amekaa reception akiongea na simu, nilimkonyeza na yeye aliishia kufurahi muda huu. Nilikwenda ndani ofisini na sikuweza kumuona Asmah, hivyo nikaamua kutoka, nimuulize Hilda kama Asmah alitoka na alinipa ishara ndiyo. Nilimuuliza mlinzi kama amemuona Asmah akitoka, akanambia hajamuona na nikawaza atakuwa around hapahapa.

Nilizunguka upande wa nyuma na nilimuona akiongea na simu na nilimsogelea nikambana kwenye corner, alikuwa ananipa ishara kuwa niache lakini hakuwa na jeuri ya kuongea sababu ya simu. Nilianza kumbinyabinya makalio yake pale taratibu na ni malaini kwelikweli, baada ya kumaliza kuongea na simu alinigeukia,

ASMAH: “Insider una matatizo gani? Mbona huna adabu.”

MIMI: “Nilikumiss ndomana, nimekuja ofisini sijakuona Roho yangu ikaanza kudunda Puuh-Puuh!.”

Asmah alianza kucheka muda huu na aliendelea kuongea,

ASMAH: “Bhasi acha kufanya hivo, huoni ni ofisini hapa italeta picha mbaya na matatizo?”

MIMI: “Bhasi mama nisamehe, twende tukale lunch it’s time.”

Tuliongozana mpaka kwa gari hao tukaondoka kwenda kupata lunch na tulienda Pantaleo maana ndo eneo ambalo Asmah analipenda sana na nilitaka afurahi.

Tulivyowasili pale uzuri wafanyakazi wa pale wanatujua na huwa wanatuhudumia haraka sana wanavyotuona. Nilimuagizia Asmah mishikaki ya Kuku kwa chips yai na mimi nikaagiza mishikaki ya beef kwa chips kavu.

Asmah alikuwa akionesha uso wa furaha sana na tuliendelea na maongezi mengine na kubwa nilitaka kujua kuhusu familia yake,

MIMI: “Hivi Asmah wewe originality yako ni ipi? Huwa nashindwa nikuweke kundi lipi.”

ASMAH: “Baba yangu mimi ni Muarabu na mama yangu alikuwa mtu wa Pemba-Zanzibar.”

MIMI: “Aisee! ndomana una rangi flani hivi amaizing, na unavyosema mama alikuwa unamaanisha kwasasa hayupo?”

ASMAH: “Simjui mama yangu alifariki nikiwa mdogo sana nina miaka 4, simkumbuki zaidi ya kuona picha zake tu.”

MIMI: “Pole sana, na mpo wangapi kwa mama?.”

ASMAH: “Mimi na dada yangu tu, aliyekuja kipindi kile hospital.”

MIMI: “Pole mummy, nimekumbushia vitu ambavyo ulikuwa umesha visahau.”

Mimi na kawaida ya kutouliza maswali sana hasa kwenye scenario kama hizi na huwa na tabia ya kuweka kipolo maongezi. Niliamua kuweka kipolo maongezi yangu na Asmah kwa lengo la kuendeleza siku nyingine, mpaka nimchimbe vizuri na nikaridhika.

Baada ya kumaliza kula tuliondoka kurudi ofisini kuendelea na majukumu ya ofisi. Pia hii siku niliwapa taarifa team zote kuwa siku ya mkesha wa mwakampya tutakutana wote kwa mama Janeth na mwaka mpya tutakuwa na chakula cha pamoja.

Kipindi tuko ofisini nilikuwa niko busy sana kumwangalia Asmah jinsi alivyo na kasura ka upole na ushombe shombe wake uwii ndo nilikuwa nadata. Nilianza kuwaza namna ya kumfanya awe mpenzi wangu kwa vyovyote vile japo niliona ngumu, lakini nilisema lazima nimpate.

Hii siku tulifanya kazi mpaka saa 2 za usiku maana tulikuwa tunaandaa anual report, kwahiyo tulikuwa tunasaidiana. Wakati wa kuondoka nilimpa kampani mpaka kwake na nikarudi home.

Baada ya kurudi home niliweza kukaa na mama tukaongea na kubwa alinambia baada ya mwaka mpya ataomba kuondoka ili arudi mkoani, sababu mambo yake yatafeli. Mimi sikuwa na usemi na nilikubaliana na wazo lake kwa upande mwingine alisema kabla ya kuondoka ataomba kukaa na sisi.

Kwa upande mwingine wife hakuwepo pale home na baada ya kumpigia simu na kuzungumza naye alinambia yuko dukani anafanya mahesabu.

Muda ambao niko chumbani Iryn alinipigia video call na alikuwa uchi na alianza kunionesha jinsi tumbo linavyozidi kuwa kubwa,

IRYN: “Unaona tumbo linazidi kuwa kubwa eeh.”

MIMI: “Naona mambo yanazidi kuwa moto na kwanini upo uchi? Huoni kama utanipa mizuka tu na wewe upo mbali.”

IRYN: “Mhh! Baby, ni kitu gani kipya hapa?.”

MIMI: “Mimi kila siku nakuona mpya na hunikinai.”

IRYN: “Mwezi ujao uje South nimekumiss pia.”

MIMI: “Ngoja nione mambo yatakavokwenda then tutawasiliana mummy.”

Niliagana na Iryn baada ya kusikia sauti ya mama J akiongea na mama na kweli haikuchukua muda alikuja chumbani kunambia tukale.
******
Ratiba zangu kwa asubuhi zilikuwa contant ni kuamka mapema sana kwaajili ya kuwahi ofisini kuendelea kuandaa maripoti na hii siku tulipanga na Asmah tuwahi kufika, saa 2 asubuhi itukute pale.

Nilipata kifungua kinywa kwanza kabla ya kuondoka na nilirudi chumbani kuchukua funguo ya gari pamoja na simu ili niweze kuondoka na kwenye screen zilionekana missed call 2, moja ya Kizoka na nyingine ya Prisca.

Nilianza kumpigia simu Kizoka lakini cha ajabu ilisikika sauti ya mwanamke ambaye alijitambulisha ni mke wake na baada ya mazungumzo, alinambia Kizoka yuko shamba ndomana hapatikani. Nilimuomba ampe taarifa jamaa kuwa Insider anakutafuta sana maana kuna jambo muhimu nataka kuongea naye.

Baada ya kumalizana na Mrs Kizoka nilimpigia simu Prisca, habari mbaya aliniambia jumatatu aliumwa sana mpaka kupelekea kulazwa, ila kwasasa yuko kwao na hali yake sio mbaya sana. Prisca alikuwa anafikiri mimi nina taarifa ila sikutaka kwenda kumuona sababu alimwambia Mary anipe taarifa.

Ukweli Mary hakunipa taarifa yoyote na sikutaka kusema chochote kwa Prisca, hivyo nilikubali kupokea lawama na nilimuomba msamaha kuwa nilikuwa nimetingwa sana. Kumpa ahadi ya kwenda kumuona niliona ni uongo na isingewezekana, hivyo nilimtumia elfu 50 ya pole na yeye alifurahi.

Baada ya kuachana na Prisca, niliwaza kuhusu Mary maana muda ulikuwa unakwenda hatuna mawasiliano yoyote yale na nilijisemea huyu nitadeal naye tu, na tutamaliza tofauti zetu.

Baada ya kuwasili ofisini nilimkuta Asmah kafika tayari na alikuwa kaninunulia tea cup pamoja na cake, alikuwa kaniwekea mezani kwangu. Nilimshukuru pale na nikaanza kuzifakamia cake maana zilikuwa ni tamu sana.

Nilianza kumtizama Asmah na mawazo ya ngono yalianza kutawala akili yangu, yaani ndani ya muda mfupi nilikuwa nishamvua nguo tayari kwenye akili yangu. Nilishindwa kuelewa hizi tamaa zinatokea wapi? Mbona before sikuwa na haya mawazo ya ngono juu ya Asmah? Niliwaza pale, au kaniroga huyu mwanamke?, maana si kawaida.

Mimi ni aina ya mtu ambaye huwa naliangalia jambo kwa jicho la tatu pamoja na kureason kwa kina sana. Hata itokee nimelewa, akili yangu huwa ina function vizuri kabisa na nina weza kufanya maamuzi. Kwa upande wa Asmah niliona kama something wrong na sio akili yangu hii,

Tuendelee, nguvu ya mwili na matamanio ilikuwa ni kubwa sana na nilijikuta natamani nimle Asmah pale ofisini. Bhasi niliinuka na kwenda mpaka usawa wa Asmah, na yeye alikuwa akiniangalia tu muda huu,

MIMI: “Asmah, kwanza ahsante kwa chai embu nyanyuka tuongee pale kwenye coach.”

Asmah bila hiyana alisimama na tukaenda kukaa kwenye coach,

ASMAH: “Nakusikiliza Insider, what do you want to tell me?”

MIMI: “Asmah hivi unapenda mimi niwe nateseka kwaajili yako? Au unataka niandike pale getini kuwa nampenda Asmah?”

ASMAH: “No Insider! No Insider please, hata sijui niseme nini, unanifanya niwe kwenye wakati mgumu sana.”

Na nilimshika mikono yake,

MIMI: “Wewe ndo unafanya mimi niwe katika wakati mgumu, please don’t do that. Mimi nakupenda serious na wewe ndo mwanamke ambaye unafaa kuutuliza moyo wangu.”

Asmah alikuwa kanyamaza kimya na nilimvuta usawa wangu tukaanza kulana mate kwenye coach na sikuchelewa nikaanza kukanda vifuu vyake. Kwa upande wake alikuwa kashaanza kutoa sauti za lugha nyingine, lakini niliamua kumuachia maana akili zangu zilirudi kwa kasi ya 5G.

MIMI: “I’m sorry.”

Nilianza kujutia kwa ujinga niliotaka kufanya pale ofisini na nilitoka kwenda washroom, nikanawa uso wangu nikarudi tena.

Baada ya kurudi, Asmah alinambia simu yangu inaita sana, ile kucheki alikuwa ni dada wa clearing na Mama Janeth wamepiga simu.

Nilianza kumpigia kwanza Bossy wangu mama Janeth na alikuwa akikumbushia kama tayari tumeandaa gifts kwaajili ya royal customers. Nilimwambia tulishaanza kuandaa na soon tutaanza kuwatumia mails pamoja na kuwapigia simu.

Baada ya kuongea na mama nili-turn kwa Asmah na nilimuuliza kama ameshalifanyia kazi hili suala na akasema list ipo kwa Hilda, alishamkabidhi tayari. Baada ya kumalizana na Asmah nilimpigia agent na tukaongea kuhusu mzigo unaofikia Zanzibar ili process zianze mapema.

Ipo hivi kila mwisho wa mwaka kampuni huwa ina utaratibu wa kutoa gifts kwa royal customers, hawa ni wale wateja muhimu na wathamani kwa kampuni. Actually kila kampuni inakuwaga na aina hii ya wateja, ni wale ambao tunawapa first priority mfano ikija product mpya wao ndo wanakuwa wakwanza kutumiwa.

Kwa kampuni yetu huwa tunatoa gifts kwa customers 10 na huwa tuna wa categorize kwenye groups mfano, group namba 1 hawa ni diamond, group namba 2 hawa ni gold na group namba 3 hawa ni silver.

Packages zao pia zinatofautiana kati ya group, kwa diamond package yao ni million moja, kwa gold package yao ni laki sita, na kwa silver package yao ni laki tatu. Hizi packages watatumia kwenye huduma yoyote pale salon wanayoitaka kutokana na amount ya package husika.


Baada ya kumaliza majukumu yangu nilimuaga Asmah, nikaanza safari ya kurudi home na lengo kubwa nikaongee na mama yangu. Saa moja usiku ilinikutia getini nikiwa nawasili home na baada ya kuingia ndani, mama alikuwa jikoni na dada wakipika na tulisalimiana, nikampa funguo Elena akatoe mazaga kwenye gari.

Niliendelea kuongea na mama pale jikoni na mimi nilikuwa nawasaidia kazi, mambo ya jikoni mwenyewe niko vizuri, napenda kupika.

Nilikwenda chumbani ili nioge na nilimkuta wife akijisomea, nilimsalimia kwa kumpiga na ngumi ya mgongo na alianza kuongea,

MAMA J: “Baba J hii simu ni yako?”

Wife alikuwa akinionesha simu niliyopewa na Iryn kama zawadi, kipindi kile tunakwenda Ethiopia, afu nilikuwa nishasahau kama nilipewa zawadi ya simu.

MIMI: “Ndio yangu.”

MAMA J: “Umeitoa wapi?”

MIMI: “Yaani unauliza nimeitoa wapi? Are you serious?”

Wife alinyamaza kimya maana alikuwa kauliza swali la kijinga sana, na mimi nikaichukua nikaifungua nikaiweka kwa charge kwaajili ya kuanza kuitumia.

****
Jumamosi ilikuwa ni siku ya mkesha wa mwaka mpya ambapo wafanyakazi wa ofisi zote mpaka ofisi ya usafi tungekutana Masaki kwa mama Janeth.

Asubuhi nilitoa taarifa ya kuwakumbusha kuwahi kufunga ofisi mapema na nilisema kufikia saa 20:00 usiku, bhasi ofisi zote ziwe zimefungwa kwaajili ya kwenda kwenye mkesha.

Mida ya saa 4 asubuhi nilitoka ofisini kwenda kuonana na mama Janeth pale kwake maana alikuwa kanipigia simu ili tuonane.

Baada ya kufika pale kwake niliona mazingira yakiandaliwa kwaajili ya tukio la badae na palikuwa busy sana. Mama Janeth pale kwake ana eneo kubwa sana la garden, kwa sherehe ndogo kama hizi, huwa zinafanyikia pale kwake na eneo bado likabaki.

Nilionana na mama tukasalimiana na alinikabidhi funguo za gari ya Iryn Audi na alisema twende Mlimani city tukanunue mazaga. Mama Janeth ni mtu ambaye anajipenda sana akitupia mikato yake utamsahau mbona, yaani yuko vizuri sana.

Mama alikuwa kavaa skin jeans ya blue, chini alikuwa katupia Airmax, juu alikuwa katupia kishati chekundu cha draft, glass nyeusi na juu alikuwa kavaa cap yenye logo ya UN.

Tuliondoka kwenda Mlimani city na nilikuwa nimeshikilia usukani, kipindi tuko njiani tulikuwa tunapiga sana story za hapa na pale mpaka tunawasili Mlimani city.

Tulikwenda straight mpaka Shoppers na tulianza kufanya shopping ya vinywaji vya gharama maana vya kawaida kuna mtu alipewa tenda ya kuleta ila hivi vya gharama ndo tulinunua.

Tulinunua ma hennessy, Moet, Vodka, bila kusahau wine za kutosha na tukanunua glass, then tukaondoka kurudi Masaki.

Baada ya kuachana na mama Janeth niliwaza nirudi home nikapumzike, pia nivute pumzi kwaajili ya badae. Kipindi niko barabarani kurudi home nilipigiwa simu na Kizoka na alitumia namba ngeni.

Jamaa alinambia kwasasa yuko bush shambani na anapatikana kwa tabu sana kutokana na mazingira aliyopo. Nilimwambia akirudi anitafute ili nimpe gari tuingie mkataba na alisema kufikia jumatano atakuwa karudi tayari.

Baada ya kurudi home mama alikuwa nje akicheza na mjukuu wake junior na baada ya kusalimiana alinambia badae twende kanisani kwaajili ya mkesha. Sababu nilikuwa nina ratiba zingine nilimwambia sitafanikiwa na nikampa mkanda mzima na yeye akabariki mimi kwenda kujumuika na wenzangu.

Mida ya saa 9 mchana hivi Iryn alinipigia simu na tuliongea kama lisaa hivi, alikiwa anajua kinachoendelea kuhusu mkesha wa mwaka mpya na yeye kwa upande wake alitamani sana angekuwepo pale.

IRYN: “Baby mama anaendeleaje?”

MIMI: “Yuko salama anaendelea vizuri.”

IRYN: “Na anaondoka lini?”

MIMI: “Baada ya mwaka mpya ataondoka.”

IRYN: “Baby nikuombe kitu, please.”

MIMI: “Niombe mummy na kuwa huru.”

IRYN: “Naomba niongee na mama nimsalimie, nisikie hata sauti yake tu. Naamini nitafunga mwaka vizuri sana nikisikia sauti yake.”

Nilinyamaza kwa sekunde na nilikuwa nikijifikiria jibu la kumpa maana niliona Iryn anataka kucheza faulo kwenye eneo la hatari.

EPISODE 14
 
SEASON 02:
CHAPTER 13:

“BY INSIDER MAN”

PREVIOUS:
MIMI: “Mimi nilikuwa sina hata habari kama umefuta picha, you're so ingenious. Leo umenifurahisha sana baby nambie nikupe zawadi gani, chochote unachotaka nitafanya.”

IRYN: “Nipeleke kwenu nikaijue familia yako, sihitaji kingine zaidi ya hili.”

CONTINUE:

MIMI: “Mummy hilo ondoka shaka nilisha kuahidi tayari, wewe kuwa na subira tu, naweka mambo sawa hata tukienda isiwe tatizo.

IRYN: “Sawa mimi sina usemi but I will be right here to remind you again.”

MIMI: “I promise mummy, tell me umepataje hizi tickets?”

IRYN: “Baby hivyo ni vitu vidogo sana visikuumize kichwa.”

MIMI: “Ahsante mummy ngoja niingie ndani maana ushanipa jeuri tayari.”

Tuliishia kucheka kwa pamoja na tukaagana pale, lakini nilipata wazo niziprint zile tickets ndo itapendeza zaidi kuliko zikibaki mle kwenye simu. Nilimpigia simu bodaboda ambaye huwa tunamtumia sana pale home na nilimtumia kwa whatsapp zile tickets ili aziprint, kisha aniletee home.

Mimi niliendelea kumsubiria bodaboda pale nje na muda huu nilikuwa nikitafakari sana kuhusu Iryn. Niliona Iryn ni mwanamke sahihi kwangu na pia tumetoka mbali mpaka kufika hapa, na nilijisemea isingekuwa kulipa mahali kwa mama J, ningepindua meza.

Baada ya dakika 20 bodaboda aliwasili akiwa na tickects kwenye bahasha na nilimpa pesa yake na nikazitoa zile tickets kwenye bahasha nikaziweka mfukoni, nilikuwa nimevaa cargo jeans.

Niliingia ndani straight chumbani na wife alikuwa amekaa kitandani, amevaa bikini rangi ya blue na nilisogea pembeni yake nikamshika karioo lake, lakini alinishika mkono na kunizuia, kuonesha hapendezwi na ninachofanya,

MIMI: “Una maanisha nini kunizuia?”

WIFE: “Sitaki tu, naomba nioneshe tickets.”

MIMI: “Nikigoma kukuonesha utanifanya nini?.”

WIFE: “Unasema nini?”

MIMI: “Sikia naona kwasasa huna imani na mimi kabisa na hii stage uliyofikia sio nzuri. Kuna umuhimu gani wa kuendelea kuishi pamoja kama huniamini?”

WIFE: “Kuna tatizo gani ukionesha hizo tickets? Wewe ndo unataka kufanya mambo kuwa magumu.”

MIMI: “Naona una jeuri wewe mwanamke sababu mama yupo, unafanya kila mbinu nionekane mbaya kwa mama yangu. Tickets nakupa ila kuanzia leo utaanza kuona mabadiliko yangu live maana wewe ndo umeyataka kwa kushindwa kuniamini.”

WIFE: “Sawa haina shida, naomba hizo tickets.”

Nilimuangalia kwa jeuri na nikatoa tickets kwenye suruali niliyokuwa nimevaa nikamkabidhi pale,

MIMI: “Ulitaka tickets ni hizo, zikague na ukiridhika nambie umeridhika, afu nikuoneshe na picha za wanawake niliokuwa nao hotelini.”

WIFE: “What? Yaani unaongea mbele yangu upumbavu wako na huogopi?.

Na muda huu alikuwa akivaa nguo,

MIMI: “Baada ya tickets kinachofuata ni hoteli niliyofikia, nakujua vizuri unapenda sana violence.”

Kwa upande wake alianza kufoka na mimi nilimshika mkono kwa nguvu na nikatoka naye mpaka sebleni, mama alikuwa yuko pale na alishangaa sana kuona kinachoendelea,

MAMA: “Nyie nyie wanangu, shida nini tena?.”

MIMI: “Kaa hapa! Mama kuna haja gani ya kuoa mwanamke ambaye haniamini? Si napoteza muda tu, nimemuelekeza sana ila wapi na amenikosea sana tena mbele yako.”

MAMA: “Mwanangu usifike huko huyu anakupenda ndomana anakuuliza, au unataka mwanamke ambaye hana habari na wewe?”

MIMI: “Mara 100 nikaoa mwanamke wa dizaini hii kuliko huyu.”

Wakati muda wote naongea na mama, wife alikuwa kimya na nilimbeba Junior nikaondoka kurudi chumbani.

Nilichukua simu yangu na nika-mtext Iryn na alikuwa online,

MIMI: “Baby, are you there?”

IRYN: “I’m right here. Did everything go well.?

MIMI: “Yes mummy, thank you for everything.”

IRYN: “I’m always here for you.”

MIMI: “I miss seeing your boobs, can you send me a picture.?”

IRYN: “I can send it, but the problem is that you can’t even protect your phone very well. Today, let me make a video call, and you can see my boobs.”

Nilimsikia mama J akija usawa wa chumbani na nilimtext chap Iryn,

MIMI: “She’s is coming, I will see you soon.”

IRYN: “You’re not lucky.”

Mama J aliingia chumbani na alikuja mpaka usawa wangu akakaa kitandani na alianza kuomba msamaha kwa kunikosea. Kwa upande wangu sikutaka shari naye, hivyo nilimsamehe na nilimwambia asirudie tena kufanya kitendo kama hiki. Nilishangaa akimwambia Junior aende kwa bibi yake na alivua nguo zote akanikalia kwa juu na siku ndo ikaisha kwa namna hii.
***
Asubuhi nilichelewa kuamka na nilijiandaa kwa haraka sana nikaondoka kwenda Masaki, lakini nilianza kwanza kupitia Mikocheni ili nionane na Lucy, nimpashe na habari za jana usiku.

Baada ya kuwasili pale Mikocheni nilionana na Lucy, nikampa story nzima jinsi ilivyokuwa na yeye aliishia kufurahi sana muda huu.

Baada ya kuachana na Lucy niliendelea na safari yangu ya kwenda Masaki na nilipitia tena ofisini kwa Sumaiya ili nijue maendeleo yake, kama ameanza mafunzo ya udereva au laah. Baada ya kuwasili pale ofini kwake alinipa mrejesho kuwa ameanza mafunzo na bado anajifunza taratibu.

Maongezi yalibadilika na nilishangaa kusikia akiniuliza kuhusu habari za Ethiopia,

MIMI: “Nani kakwambia nilikuwa Ethiopia?”

SUMAIYA: “Naona umeenda kutambulishwa ukweni mwanaume, chezea mambo ya ukweni wewe! Kweli unamkuna vizuri Queen mpaka amejaa mazima.”

MIMI: “Mimi sikuwa Ethiopia unazingua.”

SUMAIYA: “Insider mimi ni shem wako hata usiwe na wasiwasi, mimi ndo mtu pekee ambaye nilikuwa nakusisitiza umgonge queen. Alipost kwenye snapchat yake picha hii hapa…”

Na muda huu nilikuwa makini kuangalia picha ambayo Iryn aliipost kwenye snap yake na ilikuwa ni moja ya picha ambayo tulipiga kama ukumbusho pale hotelini tukiwa watatu mimi, Iryn na Jimmy.

MIMI: “Sasa picha inathibitisha mimi kuwa huko?”

SUMAIYA: “Nilichat naye akanambia ulikuwa Ethiopia, so Queen amekuwa muongo?”

MIMI: “Yaishe haya, hata hivyo hayakuhusu mind your business.”

SUMAIYA: “Nifundishe kuendesha gari na nikijua mapema nitakutunuku, ahadi yangu bado ipo sijaghairi.”

MIMI: “I'm never f*cking you, so take that out your plans.”

SUMAIYA: “Kuna siku utaingia 18 zangu, na ukiingia tu hutabaki salama, kila siku utakuwa unataka.”

Niliishia kucheka tu pale, maana Sumaiya ni mshenzi sana.

Niliachana na Sumaiya na muda ambao niko njiani kuelekea ofisini, Iryn alinipigia simu na kunisisitiza nianze taratibu mapema kufuatilia mzigo utakao fikia Zanzibar.

Baada ya maongezi naye, pia nilikumbuka lile sakata la Asmah nikawaza huenda Iryn anamfuatilia Asmah kimyakimya, alijuaje Asmah yuko home?.

“Mama J hawezi kumwambia Iryn kuwa Asmah alikuja home kwanza huu ujinga hanaga, ni nani aliyemwambia? How did she know?. Kuna something fishy Iryn anakifanya kwa Asmah, sasa I have to do something bila hata yeye Asmah kujua.”

Wazo lililonijia ni ku-reset simu ya Asmah bila yeye kujua, na kwa upande wangu niliwaza kuna umuhimu wa kusajili line nyingine kwaajili ya kuchat na Asmah, pindi atakapo nikubalia na kuwa mpenzi wangu.

Baada ya kuwasili ofisini nilimkuta Hilda amekaa reception akiongea na simu, nilimkonyeza na yeye aliishia kufurahi muda huu. Nilikwenda ndani ofisini na sikuweza kumuona Asmah, hivyo nikaamua kutoka, nimuulize Hilda kama Asmah alitoka na alinipa ishara ndiyo. Nilimuuliza mlinzi kama amemuona Asmah akitoka, akanambia hajamuona na nikawaza atakuwa around hapahapa.

Nilizunguka upande wa nyuma na nilimuona akiongea na simu na nilimsogelea nikambana kwenye corner, alikuwa ananipa ishara kuwa niache lakini hakuwa na jeuri ya kuongea sababu ya simu. Nilianza kumbinyabinya makalio yake pale taratibu na ni malaini kwelikweli, baada ya kumaliza kuongea na simu alinigeukia,

ASMAH: “Insider una matatizo gani? Mbona huna adabu.”

MIMI: “Nilikumiss ndomana, nimekuja ofisini sijakuona Roho yangu ikaanza kudunda Puuh-Puuh!.”

Asmah alianza kucheka muda huu na aliendelea kuongea,

ASMAH: “Bhasi acha kufanya hivo, huoni ni ofisini hapa italeta picha mbaya na matatizo?”

MIMI: “Bhasi mama nisamehe, twende tukale lunch it’s time.”

Tuliongozana mpaka kwa gari hao tukaondoka kwenda kupata lunch na tulienda Pantaleo maana ndo eneo ambalo Asmah analipenda sana na nilitaka afurahi.

Tulivyowasili pale uzuri wafanyakazi wa pale wanatujua na huwa wanatuhudumia haraka sana wanavyotuona. Nilimuagizia Asmah mishikaki ya Kuku kwa chips yai na mimi nikaagiza mishikaki ya beef kwa chips kavu.

Asmah alikuwa akionesha uso wa furaha sana na tuliendelea na maongezi mengine na kubwa nilitaka kujua kuhusu familia yake,

MIMI: “Hivi Asmah wewe originality yako ni ipi? Huwa nashindwa nikuweke kundi lipi.”

ASMAH: “Baba yangu mimi ni Muarabu na mama yangu alikuwa mtu wa Pemba-Zanzibar.”

MIMI: “Aisee! ndomana una rangi flani hivi amaizing, na unavyosema mama alikuwa unamaanisha kwasasa hayupo?”

ASMAH: “Simjui mama yangu alifariki nikiwa mdogo sana nina miaka 4, simkumbuki zaidi ya kuona picha zake tu.”

MIMI: “Pole sana, na mpo wangapi kwa mama?.”

ASMAH: “Mimi na dada yangu tu, aliyekuja kipindi kile hospital.”

MIMI: “Pole mummy, nimekumbushia vitu ambavyo ulikuwa umesha visahau.”

Mimi na kawaida ya kutouliza maswali sana hasa kwenye scenario kama hizi na huwa na tabia ya kuweka kipolo maongezi. Niliamua kuweka kipolo maongezi yangu na Asmah kwa lengo la kuendeleza siku nyingine, mpaka nimchimbe vizuri na nikaridhika.

Baada ya kumaliza kula tuliondoka kurudi ofisini kuendelea na majukumu ya ofisi. Pia hii siku niliwapa taarifa team zote kuwa siku ya mkesha wa mwakampya tutakutana wote kwa mama Janeth na mwaka mpya tutakuwa na chakula cha pamoja.

Kipindi tuko ofisini nilikuwa niko busy sana kumwangalia Asmah jinsi alivyo na kasura ka upole na ushombe shombe wake uwii ndo nilikuwa nadata. Nilianza kuwaza namna ya kumfanya awe mpenzi wangu kwa vyovyote vile japo niliona ngumu, lakini nilisema lazima nimpate.

Hii siku tulifanya kazi mpaka saa 2 za usiku maana tulikuwa tunaandaa anual report, kwahiyo tulikuwa tunasaidiana. Wakati wa kuondoka nilimpa kampani mpaka kwake na nikarudi home.

Baada ya kurudi home niliweza kukaa na mama tukaongea na kubwa alinambia baada ya mwaka mpya ataomba kuondoka ili arudi mkoani, sababu mambo yake yatafeli. Mimi sikuwa na usemi na nilikubaliana na wazo lake kwa upande mwingine alisema kabla ya kuondoka ataomba kukaa na sisi.

Kwa upande mwingine wife hakuwepo pale home na baada ya kumpigia simu na kuzungumza naye alinambia yuko dukani anafanya mahesabu.

Muda ambao niko chumbani Iryn alinipigia video call na alikuwa uchi na alianza kunionesha jinsi tumbo linavyozidi kuwa kubwa,

IRYN: “Unaona tumbo linazidi kuwa kubwa eeh.”

MIMI: “Naona mambo yanazidi kuwa moto na kwanini upo uchi? Huoni kama utanipa mizuka tu na wewe upo mbali.”

IRYN: “Mhh! Baby, ni kitu gani kipya hapa?.”

MIMI: “Mimi kila siku nakuona mpya na hunikinai.”

IRYN: “Mwezi ujao uje South nimekumiss pia.”

MIMI: “Ngoja nione mambo yatakavokwenda then tutawasiliana mummy.”

Niliagana na Iryn baada ya kusikia sauti ya mama J akiongea na mama na kweli haikuchukua muda alikuja chumbani kunambia tukale.
******
Ratiba zangu kwa asubuhi zilikuwa contant ni kuamka mapema sana kwaajili ya kuwahi ofisini kuendelea kuandaa maripoti na hii siku tulipanga na Asmah tuwahi kufika, saa 2 asubuhi itukute pale.

Nilipata kifungua kinywa kwanza kabla ya kuondoka na nilirudi chumbani kuchukua funguo ya gari pamoja na simu ili niweze kuondoka na kwenye screen zilionekana missed call 2, moja ya Kizoka na nyingine ya Prisca.

Nilianza kumpigia simu Kizoka lakini cha ajabu ilisikika sauti ya mwanamke ambaye alijitambulisha ni mke wake na baada ya mazungumzo, alinambia Kizoka yuko shamba ndomana hapatikani. Nilimuomba ampe taarifa jamaa kuwa Insider anakutafuta sana maana kuna jambo muhimu nataka kuongea naye.

Baada ya kumalizana na Mrs Kizoka nilimpigia simu Prisca, habari mbaya aliniambia jumatatu aliumwa sana mpaka kupelekea kulazwa, ila kwasasa yuko kwao na hali yake sio mbaya sana. Prisca alikuwa anafikiri mimi nina taarifa ila sikutaka kwenda kumuona sababu alimwambia Mary anipe taarifa.

Ukweli Mary hakunipa taarifa yoyote na sikutaka kusema chochote kwa Prisca, hivyo nilikubali kupokea lawama na nilimuomba msamaha kuwa nilikuwa nimetingwa sana. Kumpa ahadi ya kwenda kumuona niliona ni uongo na isingewezekana, hivyo nilimtumia elfu 50 ya pole na yeye alifurahi.

Baada ya kuachana na Prisca, niliwaza kuhusu Mary maana muda ulikuwa unakwenda hatuna mawasiliano yoyote yale na nilijisemea huyu nitadeal naye tu, na tutamaliza tofauti zetu.

Baada ya kuwasili ofisini nilimkuta Asmah kafika tayari na alikuwa kaninunulia tea cup pamoja na cake, alikuwa kaniwekea mezani kwangu. Nilimshukuru pale na nikaanza kuzifakamia cake maana zilikuwa ni tamu sana.

Nilianza kumtizama Asmah na mawazo ya ngono yalianza kutawala akili yangu, yaani ndani ya muda mfupi nilikuwa nishamvua nguo tayari kwenye akili yangu. Nilishindwa kuelewa hizi tamaa zinatokea wapi? Mbona before sikuwa na haya mawazo ya ngono juu ya Asmah? Niliwaza pale, au kaniroga huyu mwanamke?, maana si kawaida.

Mimi ni aina ya mtu ambaye huwa naliangalia jambo kwa jicho la tatu pamoja na kureason kwa kina sana. Hata itokee nimelewa, akili yangu huwa ina function vizuri kabisa na nina weza kufanya maamuzi. Kwa upande wa Asmah niliona kama something wrong na sio akili yangu hii,

Tuendelee, nguvu ya mwili na matamanio ilikuwa ni kubwa sana na nilijikuta natamani nimle Asmah pale ofisini. Bhasi niliinuka na kwenda mpaka usawa wa Asmah, na yeye alikuwa akiniangalia tu muda huu,

MIMI: “Asmah, kwanza ahsante kwa chai embu nyanyuka tuongee pale kwenye coach.”

Asmah bila hiyana alisimama na tukaenda kukaa kwenye coach,

ASMAH: “Nakusikiliza Insider, what do you want to tell me?”

MIMI: “Asmah hivi unapenda mimi niwe nateseka kwaajili yako? Au unataka niandike pale getini kuwa nampenda Asmah?”

ASMAH: “No Insider! No Insider please, hata sijui niseme nini, unanifanya niwe kwenye wakati mgumu sana.”

Na nilimshika mikono yake,

MIMI: “Wewe ndo unafanya mimi niwe katika wakati mgumu, please don’t do that. Mimi nakupenda serious na wewe ndo mwanamke ambaye unafaa kuutuliza moyo wangu.”

Asmah alikuwa kanyamaza kimya na nilimvuta usawa wangu tukaanza kulana mate kwenye coach na sikuchelewa nikaanza kukanda vifuu vyake. Kwa upande wake alikuwa kashaanza kutoa sauti za lugha nyingine, lakini niliamua kumuachia maana akili zangu zilirudi kwa kasi ya 5G.

MIMI: “I’m sorry.”

Nilianza kujutia kwa ujinga niliotaka kufanya pale ofisini na nilitoka kwenda washroom, nikanawa uso wangu nikarudi tena.

Baada ya kurudi, Asmah alinambia simu yangu inaita sana, ile kucheki alikuwa ni dada wa clearing na Mama Janeth wamepiga simu.

Nilianza kumpigia kwanza Bossy wangu mama Janeth na alikuwa akikumbushia kama tayari tumeandaa gifts kwaajili ya royal customers. Nilimwambia tulishaanza kuandaa na soon tutaanza kuwatumia mails pamoja na kuwapigia simu.

Baada ya kuongea na mama nili-turn kwa Asmah na nilimuuliza kama ameshalifanyia kazi hili suala na akasema list ipo kwa Hilda, alishamkabidhi tayari. Baada ya kumalizana na Asmah nilimpigia agent na tukaongea kuhusu mzigo unaofikia Zanzibar ili process zianze mapema.

Ipo hivi kila mwisho wa mwaka kampuni huwa ina utaratibu wa kutoa gifts kwa royal customers, hawa ni wale wateja muhimu na wathamani kwa kampuni. Actually kila kampuni inakuwaga na aina hii ya wateja, ni wale ambao tunawapa first priority mfano ikija product mpya wao ndo wanakuwa wakwanza kutumiwa.

Kwa kampuni yetu huwa tunatoa gifts kwa customers 10 na huwa tuna wa categorize kwenye groups mfano, group namba 1 hawa ni diamond, group namba 2 hawa ni gold na group namba 3 hawa ni silver.

Packages zao pia zinatofautiana kati ya group, kwa diamond package yao ni million moja, kwa gold package yao ni laki sita, na kwa silver package yao ni laki tatu. Hizi packages watatumia kwenye huduma yoyote pale salon wanayoitaka kutokana na amount ya package husika.


Baada ya kumaliza majukumu yangu nilimuaga Asmah, nikaanza safari ya kurudi home na lengo kubwa nikaongee na mama yangu. Saa moja usiku ilinikutia getini nikiwa nawasili home na baada ya kuingia ndani, mama alikuwa jikoni na dada wakipika na tulisalimiana, nikampa funguo Elena akatoe mazaga kwenye gari.

Niliendelea kuongea na mama pale jikoni na mimi nilikuwa nawasaidia kazi, mambo ya jikoni mwenyewe niko vizuri, napenda kupika.

Nilikwenda chumbani ili nioge na nilimkuta wife akijisomea, nilimsalimia kwa kumpiga na ngumi ya mgongo na alianza kuongea,

MAMA J: “Baba J hii simu ni yako?”

Wife alikuwa akinionesha simu niliyopewa na Iryn kama zawadi, kipindi kile tunakwenda Ethiopia, afu nilikuwa nishasahau kama nilipewa zawadi ya simu.

MIMI: “Ndio yangu.”

MAMA J: “Umeitoa wapi?”

MIMI: “Yaani unauliza nimeitoa wapi? Are you serious?”

Wife alinyamaza kimya maana alikuwa kauliza swali la kijinga sana, na mimi nikaichukua nikaifungua nikaiweka kwa charge kwaajili ya kuanza kuitumia.

****
Jumamosi ilikuwa ni siku ya mkesha wa mwaka mpya ambapo wafanyakazi wa ofisi zote mpaka ofisi ya usafi tungekutana Masaki kwa mama Janeth.

Asubuhi nilitoa taarifa ya kuwakumbusha kuwahi kufunga ofisi mapema na nilisema kufikia saa 20:00 usiku, bhasi ofisi zote ziwe zimefungwa kwaajili ya kwenda kwenye mkesha.

Mida ya saa 4 asubuhi nilitoka ofisini kwenda kuonana na mama Janeth pale kwake maana alikuwa kanipigia simu ili tuonane.

Baada ya kufika pale kwake niliona mazingira yakiandaliwa kwaajili ya tukio la badae na palikuwa busy sana. Mama Janeth pale kwake ana eneo kubwa sana la garden, kwa sherehe ndogo kama hizi, huwa zinafanyikia pale kwake na eneo bado likabaki.

Nilionana na mama tukasalimiana na alinikabidhi funguo za gari ya Iryn Audi na alisema twende Mlimani city tukanunue mazaga. Mama Janeth ni mtu ambaye anajipenda sana akitupia mikato yake utamsahau mbona, yaani yuko vizuri sana.

Mama alikuwa kavaa skin jeans ya blue, chini alikuwa katupia Airmax, juu alikuwa katupia kishati chekundu cha draft, glass nyeusi na juu alikuwa kavaa cap yenye logo ya UN.

Tuliondoka kwenda Mlimani city na nilikuwa nimeshikilia usukani, kipindi tuko njiani tulikuwa tunapiga sana story za hapa na pale mpaka tunawasili Mlimani city.

Tulikwenda straight mpaka Shoppers na tulianza kufanya shopping ya vinywaji vya gharama maana vya kawaida kuna mtu alipewa tenda ya kuleta ila hivi vya gharama ndo tulinunua.

Tulinunua ma hennessy, Moet, Vodka, bila kusahau wine za kutosha na tukanunua glass, then tukaondoka kurudi Masaki.

Baada ya kuachana na mama Janeth niliwaza nirudi home nikapumzike, pia nivute pumzi kwaajili ya badae. Kipindi niko barabarani kurudi home nilipigiwa simu na Kizoka na alitumia namba ngeni.

Jamaa alinambia kwasasa yuko bush shambani na anapatikana kwa tabu sana kutokana na mazingira aliyopo. Nilimwambia akirudi anitafute ili nimpe gari tuingie mkataba na alisema kufikia jumatano atakuwa karudi tayari.

Baada ya kurudi home mama alikuwa nje akicheza na mjukuu wake junior na baada ya kusalimiana alinambia badae twende kanisani kwaajili ya mkesha. Sababu nilikuwa nina ratiba zingine nilimwambia sitafanikiwa na nikampa mkanda mzima na yeye akabariki mimi kwenda kujumuika na wenzangu.

Mida ya saa 9 mchana hivi Iryn alinipigia simu na tuliongea kama lisaa hivi, alikiwa anajua kinachoendelea kuhusu mkesha wa mwaka mpya na yeye kwa upande wake alitamani sana angekuwepo pale.

IRYN: “Baby mama anaendeleaje?”

MIMI: “Yuko salama anaendelea vizuri.”

IRYN: “Na anaondoka lini?”

MIMI: “Baada ya mwaka mpya ataondoka.”

IRYN: “Baby nikuombe kitu, please.”

MIMI: “Niombe mummy na kuwa huru.”

IRYN: “Naomba niongee na mama nimsalimie, nisikie hata sauti yake tu. Naamini nitafunga mwaka vizuri sana nikisikia sauti yake.”

Nilinyamaza kwa sekunde na nilikuwa nikijifikiria jibu la kumpa maana niliona Iryn anataka kucheza faulo kwenye eneo la hatari.

TO BE CONTINUED.
Mkuu INSIDER MAN hili swala la Mama J na IRYN unachokifanya Ni kuukumbatia Moto😅 sijui itakuaje
 
Back
Top Bottom