Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 25

“A TRUE STORY BY INSIDER”

Mary hata hakutusemesha bali aliomba nifungue gari ili atoe mkoba wake ndani ya gari. Na baada ya kuchukua mkoba wake aliondoka eneo lile.

MIMI: “Hivi Mary anajua kinachoendelea kati yetu?”

PRISCA: “Hapana hajui ila leo kajua na kuprove kabisa. Si unakumbuka nilikwambia kuhusu da Mary?”

MIMI: “Sawa bhana kazi kwako na dada yako. Mimi naondoka naomba utanambia kinachoendelea na urudi home mapema sawa?”

PRISCA: “Sawa haina shida”

Na mimi niliondoka eneo lile kurudi zangu nyumbani kulala, kwa upande mwingine nilifurahi Mary kufahamu kinachoendelea kati yangu na mdogo wake.
***

Jumatatu asubuhi Msomali alinipigia simu na akaniuliza maamuzi niliyoyachukua kuhusu lile deal na mimi nilimdanganya kuwa sipo na niko mkoani mara moja, hivyo nikirudi ningemcheki. Na yeye alisema hakuna shida ananipa muda wa mimi kuendelea kufikiria ili nifanye maamuzi sahihi.

Kwa upande wa wateja zangu nao wabeba, ambao tulikuwa na mikataba, nilikuwa na Mama wa2 na Maggy tu kwa kipindi hiki, maana hata madogo wa kule shule Masaki walikuwa likizo ya Pasaka.

Baada ya kuwapeleka wateja zangu Posta muda ule nilimpigia simu Prisca ili nijue kama walirudi home salama. Na baada ya kumpigia alipokea simu na tukaanza maongezi,

PRISCA: “Hi baby”

MIMI: “Umeamkaje na Unaendeleaje?”

PRISCA: “Niko salama Insider hofu wewe.”

MIMI: “Jana mmerudi sangapi?”

PRISCA: “Tulikaa mpaka saa 8 usiku.”

MIMI: “Aiseeh, yale mambo uliyokuwa unafanya jana bila aibu unakumbuka?”

PRISCA: “Hahahaa kwani vibaya Insider?, Wale ni watu wazima washajua kinachoendelea. Siwezi kuficha hisia zangu kwako kisa wao.

MIMI: “Sawa bhana umefanya vizuri, see you letter. Nilitaka kukujulia hali.”

PRISCA: “Ahsante Insider I love you.”

MIMI: “Byee”

Hii jumatatu pia niliongea kwa simu na Muajemi kupitia Whatsapp na yeye alikuwa bado yuko Saudi Arabia na alikuwa akinijulia hali. Muajemi aliendelea kunisisitiza niendelee kuongea na Iryn ili waende Zanzibar akitoka huko, na alisema hataki kwenda nyumbani ikiwezekana aunganishe moja kwa moja mpaka Zanzibar. Na alisema angerudi mwisho wa mwezi huu April, kwa upande wangu sikutaka kumwambia chochote kinachoendelea kati yangu na Iryn.

Biashara ya Uber ilianza kuwa ngumu hasa upande wa request maana abiria walikuwa wa tabu sana. Kilichokuwa kinanisaidia kipindi hiki ni wale wateja zangu wa bank kuwapeleka sehemu mbalimbali. Wateja wengi walikimbilia kwenye bajaji ili kupunguza gharama za maisha, maana nauli zilikuwa juu sana.

Jumatano Mama wa2 alinipigia simu na akaomba tuonane kwake usiku nikiwa natoka kwenye mishe zangu bhasi nipitie pale nyumbani kwake, na mimi niliukubali ule wito.

Baada ya kumaliza mishemishe zangu saa 2 usiku nilikuwa nimewasili kwa mama wa2 na nilikaribishwa ndani nikakaa seblen na yeye alikuwa jikoni. Na muda huu Pili alikuja seblen na alinisalimia pale,

“Shikamoo.”

“Marahaba mke wangu nimekuja hapa kwaajili yako ujue.”

Pili alionekana kuwa na aibu sana maana hta kuniangalia alikuwa anashindwa. Na wakati huu mama wa2 alikuwa dining akiandaa chakula mezani.

MAMA WA2: “Pili umemwona mme wako? anasema anasubiri umalize shule akuoe.”

Pili hakuwa na chakusema maana alishikwa na aibu sana, nilihisi huenda pili ni Virgin bado sio kwa zile aibu na pia alionekana kujipenda sana, Mama wa2 alikuwa na binti mzuri sana.

MIMI: “Mama mkwe mbona Pili ana aibu hivi? Ana umri gani?”

MAMA WA2: “Sema anakuonea aibu wewe hana lolote. Mwaka huu september anafunga miaka 18.

MIMI: “Pili unasomea nini?”

PILI: “PCB”

MIMI: “Nice kumbe nitaoa doctor.”

Na muda huu Pili alionesha kutabasamu, ila ni lile tabasamu la aibu.

Na muda huu nikaribishwa dining kwaajili ya kula dinna na sikuweza kukataa, japo nilisema nitakula kidogo ili nikirudi home nisigombane na Mama J.

Mimi ndo nilikuwa wa kwanza kumaliza kula na Mama wa2 alishangaa sana.

MAMA WA2: “Insider ongeza chakula hata kidogo maana nilipika kingi kwaajili yako.”

MIMI: “Mama mkwe hata usijali na unanijua vizuri mimi, ukweli ni kwamba navyotoka huko nilikuwa nimekula tayari.”

Nilikwenda kukaa seblen na baada ya dakika 10 Mama wa2 alikuja ili tuongee na alikuwa na bahasha mkononi.

MAMA WA2: “Insider mzigo wako huo hapo.”

Aliiweka ile bahasha mezani na mimi nikaichukua na nilivyoifungua nikaona kuna hela ndani.

MIMI: “Mama mkwe nilijua nina jaza mafomu ya mikopo.”

MAMA WA2: “Insider mkopo mdogo huo huna haja ya kujaza forms nimekusaidia kwa njia nyingine na hakuna riba. Wewe utarejesha hio hio amount, kama utakuwa unakwama marejesho bhasi uwe unasema tujue tunasaidianaje kurejesha.”

MIMI: “Ahsante sana mama mkwe, mimi sikujua unaniitia hili kabisa.”

MAMA WA2: “Kuwa na amani Insider”

Sikutaka kabisa kuuliza maswali sana, niliendelea kukaa pale huku tukipiga story mbalimbali na alisema weekend hii tutakwenda kuangalia nyumba yake anayoijenga Madale.

Niliaga pale kwake na nilimshukuru sana Mama wa2 kwa lile jambo na nikaondoka kurudi nyumbani. Wakati niko njiani nilikuwa na furaha sana kwakweli sikutegemea kupata kile kiasi cha pesa kwa haraka vile.

Habari mbaya kwenye hii week ya kwenda Pasaka, Uber walisitisha huduma za usafiri wa TAX kwenye Application yao, ila huduma za Bajaji na Bodaboda zilikuwa zikiendelea kama kawaida na ilikuwa 14/04/2022 alhamis kitu kama hicho, ila waliendelea na wateja wa Card tu na kampuni ambao walikuwa wameingia nao mikataba.

Hizi zilikuwa ni habari mbaya sana kwa madereva tulikokuwa tukitumia hii App. Kitendo cha Uber kusitisha huduma kwa upande wa magari kilinipa stress sana maana kwa Tanzania wateja wengi wanalipa kwa cash, nikawaza hapa itabidi nitumie Bolt ambayo nilikuwa siipendi.

**********

Ijumaa jioni Mzee Pama alinipigia simu na akaomba jumamosi jioni tuonane kwani ana mazungumzo muhimu na mimi, nilimkubalia na akasema tutakutana pale Budget Bahari Beach. (Mzee wa Ununio mwenye mchepuko wake Kigamboni)

Ijumaa mimi nilikomaa na Bolt na nilipiga kazi mpaka saa8 usiku ndo nikarudi kulala, biashara ilianza kuwa ngumu sana wateja walikuwa wakuokoteza sana. Yaani unaweza kaa hata saa2 bila ya kupata request na hapa ndo nikapata wazo la kununua bajaji, maana nilikuwa nikiwasiliana na madereva wa bajaji walikuwa wanasema kwa kipindi hiki wanapiga sana hela.

Nikakumbuka wife ana pesa kwa Baba yake na kuna kipindi alitaka kuzichukua nikamkatalia, nilimwambia aziache kwanza Baba yake azitunze. Baba yake aliahidi kumpa milion 5 ili zimsaidie kwenye mambo yake. Mzee wake alimwambia zile pesa ambazo anampa zilikuwa ni ada zake za masomo, sababu aliamua kuolewa bhasi atampa zimsaidie kwenye mambo yake.

Nikaplan nitaongea na wife ili tununue Bajaji na itakuwa ya kwake pesa itakayokuwa inapatikana itaingia kwenye mfuko wake. Niliona pale ni wazo zuri maana kama jambo litafanikiwa bhasi nitaweza kupunguza gharama nyingi sana.

Jumamosi ndo siku ambayo nilikuwa na miadi na Mzee Pama, niliamka saa11 asubuhi na hii siku nilipiga sana kazi na angalau pesa niliipata, japo Bolt niikuwa siipendi ila nilikuwa sina jinsi.

Saa11 jioni nilikuwa niko pale Magufuli stand mbezi mwisho nikisubir request na hapo nilikuwa nimeset destination ya Bahari Beach ambako nilikuwa nina miadi na Mzee.

Nilisubiri sana pale lakini sipati request na kuchoma mafuta kutoka mbezi mpaka Bahari beach niliona ni mbali sana afu hasara. Nilisubiri kwa saa 1 na nusu hivi ndo nikapata mteja alikuwa anaelekea Tegeta nyuki karibu na shule ya Canossa.

Baada ya kumshusha abiria nilikwenda na ile barabara ya nyuki inayokuja kutokea Bahari beach ndo nikaunga kwenda Budget.

Nilifika pale saa 2 kasoro lakini kwa upande mwingine mzee alikuwa bado hajafika, na ilimchukua dakika 20 Mzee Pama kufika eneo lile. Mzee Pama alifika moja kwa moja nilikokuwa nimekaa maana nilimuelekeza,

MZEE PAMA: “Nimeona gari yako hapo parking nikajua umefika muda sana, kwanza nisamehe kwa kukuchelewesha najua bado upo kazini.”

MIMI: “Usijali Mzee wangu kuwa na Amani kabisa.”

MZEE PAMA: “Kulikuwa na foleni kali sana pale Africana mpaka najuta kwanini sikupita barabara ya chini.”

MIMI: “Leo ni weekend lazima pawe na foleni, za siku na pole na majukumu Mzee wangu.

MZEE PAMA: “Ahsante sana kijana, kazi zinaendelea vipi kwa upande wako?”

MIMI: “Mzee kwa upande wangu ni ngumu, maana juzi tu hapa Uber wamefunga ofisi yao na wateja wamekimbilia bajaji, nauli ziko juu sababu ya kupanda kwa mafuta.”

MZEE PAMA: “Kweli kabisa bei za Petrol na diezel nimeona ziko juu sana hii ni hatari sana.”

Na muda huu dada alikuwa amefika kutusikiliza, wakati mara ya kwanza amekuja nilimwambia asubiri kidogo.

MZEE PAMA: “Kijana unaweza agiza chochote unachotaka kuwa huru.”

MIMI: “Dada naomba mchemsho wa Kuku na maji ya kunywa”

MZEE PAMA: “Niletee windhock na kuku choma nusu.”

Dada aliondoka na sisi tuliendelea na mazungumzo yetu,

MIMI: “Mzee uliniambia una jambo muhimu unataka kuniambia.”

MZEE PAMA: “Kuna jambo nilitaka unisaidie maana nalifanya kwa siri na sitaki ndugu au mtu yoyote wa karibu yangu alijue. Kwa muda mfupi tuliofanya kazi nimetokea kukuamini sana kijana na wewe ndo unajua siri yangu ya ule mchepuko hakuna anayejua mwingine zaidi yako.”

MIMI: “Kumbe! ni jambo gani mzee usiwe na wasiwasi mimi nitakusaidia kama litakuwa chini ya uwezo wangu.”

MZEE PAMA: “Ile nyumba ya Mbweni nayojenga bila shaka utakuwa unaikumbuka, tulikwenda wote kabla ya kwenda Kigamboni.”

MIMI: “Naikumbuka vizuri kabisa hata sasa naweza kukupeleka, ile mitaa yote ipo kichwani.”

Na muda huu mzee alicheka sana,

MZEE PAMA: “Kijana uko vizuri, sasa ile nyumba ni ya yule mke mdogo, niliamua kumjengea Mbweni ile niwe naye karibu ili hata nikitaka kumwona iwe rahisi. Kwasasa iko kwenye finishing kuna vitu vya kumalizia (kama kuweka makabati jikoni, masink, taa za ndani na nje, kuweka pavings, tiles, kupaka rangi na kutengeneza bustani nknk). Nataka wewe unisaidie kusimamia mpaka finishing ikamalike maana mimi ninasafari na nitarudi 26/04.

Nilishangaa kuona ule mjengo mkali ni wa yule mchepuko wake wa Kigamboni.

MIMI: “Mzee hilo halina shida ni jambo dogo sana kwangu nitalisimamia vizuri kabisa na wewe utafurahi.”

MZEE PAMA: “Sasa nitakukabidhi pesa na nitakupa list ya vitu na material nayohitaji kuweka mle ndani, nakuomba usimamie manunuzi na usitoe hela mpaka kazi iwe imefanyika, Constructor wa kwanza tuligombana alikuwa muhuni huyu ni mpya simwamini bado.”

MIMI: “Mzee hilo ondoa shaka kila kitu kitakwenda vizuri”

MZEE PAMA: “Ahsante sana gharama zako tutaongea nikirudi wewe usiwe na wasiwasi.”

MIMI: “No problem Mzee wangu.”

Tulimaliza maongezi pale na mimi nilikuwa nimemaliza kunywa soup yangu, alifanya malipo na tukaongozana kwenda kwenye gari yake, ilikuwa ni Fortuner mpya kabisa na namba zake za usajili zilisomeka DY.

“Kijana fungua mlango ingia”

Nilivyoingia ndani Mzee alifungua drow na akatoa bunda za pesa ambazo alisema jumla ni 37 million.

MZEE PAMA: “Makubaliano yetu ni 36.5 million, hapo itabaki laki 5 hiyo itakusaidia mafuta, chakula na mambo mengine.”

Na muda huu akatoa karatasi ambayo imeandikwa mahitaji ya kununua kwaajili ya ujenzi.

MZEE PAMA: “Na haya ndo mahitaji yenyewe naomba uwe makini sana kwenye hizi materials, huku ndo tunakopigwa hela sana na unaweza wekewa fake, hakikisha fundi hakuzidi ujanja.”

MIMI: “Mzee hili halina shida kwangu wewe fahamu umekutana na mtu sahihi.”

MZEE PAMA: “Nikirudi tutaonana na ujenzi unaendelea kule, jumatatu unaweza kwenda kuanza kukagua, nitampa namba yako na wewe nitakupa namba ya fundi, mimi naondoka kesho ila tutakuwa tunawasiliana kwa whatsapp”

Mzee alinipa namba ya simu ya constructor na alitoa bahasha ili niweke zile pesa na tukaagana muda huo.

Mimi nilikwenda kwenye gari yangu na nikaziweka zile Pesa kwenye drow na nikaanza safari ya kurudi home. IST ilikuwa imebeba pesa za kununua wenzake kama watatu hivi, zilikuwa Pesa nyingi sana na sikuelewa kwanini Mzee Pama kaniamini sana vile.

Barabarani niliendesha gari kwa spidi sana maana niliogopa nisije kutekwa na Pesa za watu muda ule, na mapema tu nilikuwa nimefika home.

Na huu usiku Mama wa2 alinipigia simu akafanya booking ya gari kwaajili ya kesho ambayo ni Pasaka na tukakubaliana tuonane kwake 08:00 asubuhi.

********

Asubuhi nilimka mapema nikafanya mazoezi ya viungo kwa ujumla na baada ya hapo nikaingia bafuni kuoga na muda huo mama J alikuwa amelala bado.

Wakati navaa ndo nasikia Mama J akiniita,

WIFE: “Baba J asubuhi yote hii unakwenda wapi? Inamaana hujui leo kuna sikukuu?”

MIMI: “Mke wangu nakwenda kutafuta hela si unajua leo sikukuu kazi ni nyingi, hata leo na kazi na mtu.”

WIFE: “Sawa ila sisi tunakwenda kula sikukuu nyumbani.”

MIMI: “Mimi sina tatizo kama umeridhia ni jambo jema kuwa na familia labda unambie utahitaji kiasi gani cha pesa nikupe.”

WIFE: “Tutatoka out pia wewe utakayoona inatosha sawa tu.”

MIMI: “Afu naomba tuongee jambo ili ukienda huko nyumbani uone unafanyaje.”

WIFE: “Jambo gani?”

MIMI: “Nataka tununue Bajaji maana Uber imekuwa ngumu kwa sasa wateja wamekimbilia Bajaji. Ulisema kwa mzee wako kuna hela kama unaweza ongea naye akupe hizo hela, lengo langu hio bajaji iwe yako na Pesa itakayokuwa inapatikana itaingia kwako. Nataka kupunguza gharama si unaona tuna ujenzi kule na pesa zinaishia kule?. Ukifanikisha hili sasa hapo nitakupa mpango mzima.”

WIFE: “Sawa ni jambo zuri sana nitaongea na Mzee na nitakupa mrejesho badae nikirudi.”

MIMI: “Ila usiseme lolote kwa Mzee, wewe angalia ni namna gani utaongea naye ili akupe hizo hela, usiongee masuala yoyote.”

WIFE: “Nimekuelewa Baba J usiwe na wasiwasi.”

Nilitoa laki moja nikampa zimsaidie kwenye matumizi yake ya sikukuu na mimi nikaondoka kuelekea kwa Mama wa2.

Nilifika mapema kabisa pale nyumbani na nilikuwa getini pale nje, nilipiga honi na Mama wa2 alitoka haraka ni kama alikiwa akinisubiri na alitoka na mwanae Pili wakaingia kwenye gari.

“Insider mambo, nataka twende sokoni sasa sijui twende wapi nahitaji na Kuku wa kienyeji wawili wakubwa”

“Hapa uhakika na soko kubwa twende Tegeta nyuki naamini utapata unachotaka.”

“Sawa twende bhasi chap.”

Tulikwenda Tegeta Nyuki sokoni kufanya manunuzi na siku hii soko likikuwa na wateja sana hata parking zilikuwa za shida. Tuliingia sokoni kufanya manunuzi na mimi nilikuwa nikimsaidia kufanya manunuzi na kupeleka mizigo kwenye gari.

Mimi hata niwe smart vipi kwenye suala la kuwasaidia wateja nilikuwa active sana, na hiki kilifanya wateja wanipende sana.

Tulitumia kama 1 hour hivi mpaka kumaliza manunuzi na baada ya hapo tulirudi home.

MIMI: “Mama mkwe mbona leo umenunua vitu vingi sana?”

MAMA WA2: “Na wageni leo ndomana, kuna rafiki zangu wa kazini wanakuja na pia kesho nina ugeni wa mdogo wangu kutoka Moshi.”

PILI: “Mama kumbe mamdogo Joana anakuja kesho.”

MIMI: “Kumbe una mdogo wako hongera sana.”

MAMA WA2: “Ehh Pili anakuja kesho…..Insider kesho tutakwenda AirPort kumpokea wote.”

MIMI: “Sawa haina shida Mama mkwe.”

Tulirudi pale kwa Mama wa2 na nikawasaidia kutoa vitu kwa gari na nikaingia ndani kupata Breakfast.

Na wakati niko kwa Mama wa2, Maggy pia alinipigia simu kuniwishi Pasaka na akanambia kama sitojali niende kwake maana hana kampani.

Mama wa2 hii siku alionekana kuwa busy sana na mimi sikutaka kuendelea kukaa pale na nilitamani sana kuondoka.

MIMI: “Mama mkwe kuna kazi yoyote ya mimi kufanya? Nataka nikukimbie.”

MAMA WA2: “Insider kwakweli hakuna nilitamani sana twende kule Madale ila tutakwenda kesho. Unataka kuondoka na hujala? Subiri chakula.”

MIMI: “Usijali nitakula kesho acha nikawasalimie ndugu zangu.”

Nilitoka pale kwake ilikuwa saa 7 mchana na wakati niko kwenye gari nilimpigia simu Prisca kumuwish sikukuu ya Pasaka. Na pia hii siku nilitamani sana ningeimaliza na prisca.

MIMI: “Hi bae, happy Easter”

PRISCA: “Thank you honey nilikuwa naogopa kukupigia maana nilijua upo nyumbani na mke mkubwa.”

MIMI: “Yeah sure ulifanya vizuri.”

PRISCA: “Honey karibu home bhasi hapa napika vitamu kwaajili yako, are you coming?”

MIMI: “Mmmh hata wewe unajua kupika? Hahahahahaha.”

PRISCA: “So unanicheka kwamba sijui kupika?, Insider hizo dharau has to stop.”

MIMI: “Baby utani tu unachukia, nilitaka kuspend na wewe leo vipi it’s possible?”

PRISCA: “Kwa leo ngumu maana mzee yupo na amesema tutatoka out kama family badae, pia niko period hapa mwenzako.”

MIMI: “Oohh sawa haina shida have funny mummy.”

Niliona Prisca hana deal tena kaanza kuniletea story za period tena na nikasepa zangu kwenda kwa Maggy Mikocheni.

Baada ya kufika Mikocheni kuna duka niliingia nikanunua wine na soda na mazaga mengine huyo nikaelekea kwake. Nilivyofika pale kwake nilifungua geti na nikaingia ndani na nikapark gari usawa wa apartment yake.

Niligonga mlango haikuchukua muda alitoka kufungua lakini alishangaa baada ya kuniona mimi ni kama hakuamini hivi.

MAGGY: “Yaani Insider sikujua kama unakuja ujue.”

MIMI: “Unipe mwaliko afu nisije? haiwezekani kabisa.” Na muda huu nilikuwa nampa ule mfuko.

MAGGY: “Waow! Umenunua nini?, Jamani thank you, karibu ndani.”

Niliingia ndani akafungua ile wine na akaniletea glass.

MAGGY: “Insider wewe endelea mimi napika huko jikoni. Nimefurahi kukuona maana nilikuwa bored hatari kuna best yangu kanipiga chini.”

MIMI: “Wewe endelea usijali.”

Maggy alionekana kufurahi sana muda huu ni kama nilimsaprize sana kwa upande wake. Na mimi nilikaa seblen nikaona acha niende jikoni tukaendelee na story.

MIMI: “Nakuona upo busy mwenyewe.”

MAGGY: “Nataka nimalizie kupika chap hapa vitu vingine nilikuwa nishapika tayari.”

MIMI: “Leo nitaonja mapishi yako kwa mara ya kwanza.”

MAGGY: “Hahahaa hivi hujawai eeh”

MIMI: “Sijawai zaidi ya mayai ya kukaanga”

MAGGY: “Usijali mimi niko vizuri sana jikoni. Insider nimefurahi sana ujio wako ujue maana niliona siku ishaanz kuwa mbaya.”

MIMI: “Usijali mimi nipo na wewe mpaka majogoo kama utataka, I’m not going anywhere.”

MAGGY: “Badae itabidi tutoke out bhasi au unaonaje.”

MIMI: “Nishasema nipo hapa kwaajili yako wewe utakachosema mimi nitakusikiliza leo.”

MAGGY: “Umetoka kazini?”

MIMI: “Hapana leo sikukuu napumzika, pesa zipo tu.”

MAGGY: “You are right.”

MIMI: “Ukiwa jikoni unaonekana kuwa sexy sana.”

MAGGY: “Mmmh Insider kweli? mimi naona unanizingua tu hapa.”

MIMI: “Kweli you look so sexy”

MAGGY: “Mmhh”

Tulipiga sana story hii siku na Maggy ila kwenye mazungumzo yetu nilikuwaga sithubutu kabisa kuongelea suala la mahusiano yake. Maana ningempa greenlight ya kuuliza mahusiano yangu na mimi sikutakaga wateja zangu wajue maisha yangu.

Saa 11 jioni tulitoka na tulikwenda “Cape Town Fish Market” tulikaa pale mpaka saa 5 usiku. Sikutegemea kuona Maggy kuwa mnywaji mzuri wa pombe kiasi kile na alizipeleka Savannah 8. Kwani nilikuwaga namchukuliaga mwanamke ambaye yuko busy na mambo yake. Maggy alionekana kulewa sana hii siku.

Tulitoka pale Capetown mpaka saa 6 usiku kasoro na nilidrive mpaka Mikocheni anakoishi. Nilifungua geti na nikaingiza gari ndani, na muda huu Maggy alioneka kalewa sana tofauti na wakati tunatoka kule Capetown. Japo alikuwa anajitambua, nilimsaidia kumtoa kwa gari na tukaingia ndani.

TO BE CONTINUED
Du nimesoma Hadi MWISHO.......... Next iryn vipi?
 
SEASON 02:
CHAPTER 16

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

FLASHBACK
Nikiwa kwenye ratiba zangu za kila siku za kupakia na kuwashusha abiria kupitia Uber, kwa upande mwingine nilipigiwa simu na Iryn na aliniomba niende kwake Kijitonyama.

Baada ya kuwasili pale kwake, alinikabidhi bahasha kubwa ya kaki ambayo ndani ilikuwa na pesa nyingi tu na kwa hesabu ya haraka ni kama 50M na alinambia nizipeleke Masaki, nitamkabidhi dada anaitwa Asmah na alinipa namba zake.

Asmah nilikuwa simjui kwakweli, lakini kwangu mimi ilikuwa ndo mara ya pili nakwenda pale ofisini, mara ya kwanza kwenda ulikuwa ni utambulisho wa Iryn kwenye kampuni.

Nilitoka Kijitonyama na nilikwenda na uelekeo wa Bagamoyo Road nikaunga na Alli Hasan, huyo nika turn left kwenda na uelekeo wa Haile selasie road. Nilivyofika pale St. Peters kanisani nilimpigia simu Asmah kumpa taarifa na alipokea tukaanza maongezi;

Hello, mambo? Bila shaka naongea na Asmah.”

“Yes ni mimi, nani mwenzangu?”

“Mimi naitwa Insider nina mzigo wako kutoka kwa Iryn.”


Asmah baada ya kusikia Iryn alikuwa mpole ghafla,

“Ooh Iryn amekuagiza wewe mzigo? Karibu sana.

“Ahsante, niko hapa njiani nakuja na soon nitakuwa hapo.”

“Sawa wewe karibu.”


Ni sauti nzuri iliyokuwa ikisikika muda huu na baada ya kukata simu niliendelea kukimbiza gari kwa fujo sana.

Baada ya kuwasili pale Salon, mlinzi alinifungulia gate na nikaingiza gari ndani, na haikuchukua muda Asmah alitoka na alianza kuja usawa wangu.

Karibu sana.”

“Wewe ndo Asmah?”

“Ndo mimi karibu ndani.”


Aisee! yaani ningejua naongea na mrembo kama wewe shombeshombe, ningakata simu maana sina hadhi ya kuongea na wewe.”

Asmah alicheka pale na aliendelea kunisisitiza nikaribie ndani kwa maongezi zaidi na mimi nilimwambia palepale panatosha, kwani nina haraka na ratiba zingine.

Nilitoa ile bahasha nikamkabidhi na kwa upande wake alinishukuru, nikamwambia ampigie simu Iryn ili a-confirm kuwa amepata mzigo. Alifanya kama nilivyoelekeza na baada ya kuongea na Iryn, sekunde chache zilipita Iryn alipiga simu na alisema mzigo umefika nisiwe na wasiwasi.

Tuliagana na Asmah na nikasave namba yake, huyo nikaondoka na niliwasha App ya uber ili kuendelea kusaka requests.

Baada ya week kupita kipindi nasubiri request nilikuwa naangalia status za watu na niliiona status ya Asmah “Nikajisemea kumbe huyu shombeshombe amenisave” na palepale nikareply status yake na nilimtext “Hello shombe.”

Ilipita kama lisaa hivi alinijibu “Salama za wewe?”

Muda alionijibu mimi nilikuwa busy na baada ya lisaa kupita nilireply “Freshy unaendeleaje?”

Ilipita tena kama masaa 3 ilikuwa usiku tayari na alinitext “Hi.”

Bila kuchelewa nilireply na tulianza kuchati sasa,

MIMI: “Niambie shombe shombe.”

ASMAH: “😹😹😹😹😹😹😹
Mimi sio shombe bhana”

MIMI: “Toka tuachane ile siku l’m still f*cking thinking about you😭.”

ASMAH: “Karibu ofisini anytime mimi nipo.”

MIMI: “Bossy wako haniagizi huko, hataki nikuone mrembo.”

ASMAH: “Hujataka kuja tu dear, hiyo sio sababu.”

MIMI: “Siku nitakuja kwaajili yako

ASMAH: “Sawa karibu.”

Baada ya hii siku, bhasi tulianza kuzoeana pamoja na kuchati kwa kasi sana. Nilianza kumuuliza relationship status yake akanambia yeye ni single kwasasa, na yeye aliniuliza nikamwambia complicated.

Baada ya week kupita nakumbuka tulikwenda na Iryn pale saloon na mimi nilikaa nje kibarazani, nilikuwaga siingii ndani kabisa. Asmah alitoka kunikaribisha niingie ndani na alisema kwanini naishia nje?

Kwa upande wangu nilimwambia niko comfortable hapa nje kibarazani na tuliendelea kupiga story, japo alisema hana muda mrefu ataondoka.

Kipindi ambacho napiga story na Asmah muda huu Iryn alitoka ili tuondoke na alituona na Asmah tunaongea pale kibarazani maana story zilikuwa tamu. Ofcourse hata yeye alishangaa kuona kwa muda mchache nishazoeana na Asmah, hakusema kitu na alinipa ishara tuondoke.

May 2022 ndo nilimla Asmah kwa mara ya kwanza tena kimasihara na sikutegemea maana nilichukulia utani na akajaa kwa mfumo. Ilikuwa ni wiki moja nyuma kabla ya kwenda Zanzibar na Muajemi pamoja na Iryn.

Ilikuwa hivi, nilikwenda pale ofisini kama kawaida na that time nilikuwa ndo naanza kazi ya operation manager ila sikuwaga mtu wa kushinda ofisini zaidi ya kufanya delivery ya bidhaa.

Hii siku nilipeleka mzigo pale Masaki na nilikuwa napiga story na Asmah, sasa hii siku nilimwambia tunaondoka kwenda kupata dinna na alikubali maana alisema kamaliza majukumu yake tayari.

Ilikuwa saa 12 jioni na tulikwenda pale Levant kupata dinna na nilitumia nafasi hii kuanza kumtongoza maana alisema yuko single. Baada ya kumaliza kupata dinna nilimpa kampani ya kumpeleka kwake na baada ya kufika niliendeleza mashambulizi.

Kwa upande wake alisema nimpe muda wa kufanya maamuzi kwani hataki tena kurudi alikotoka. Nilimwambia kabla ya kuondoka anikiss na akawa mgumu dizaini kama ananionea aibu na mimi ndo kuanza mautundu yangu.

Nilikuwa namuomba game, lakini wapi alikuwa anagoma na nilikuwa nafanya kila kitu kasoro kushika apple lake. Baada ya kufanikiwa kuijua weakness point yake hapa ndo alilegea na nilianza kuchezea tunda lake, tukashuka kwenye gari kwenda ndani.

Licha ya kuingia ndani bado aliendelea kunipa upinzani, kwanu alikuwa hataki nimvue nguo na nilirudia mbinu zangu zilezile za mwanzo nikafanikiwa, ilikuwa ni kurupushani. Hatukuwa na game ndefu sana maana alisema muda huu dada yake ndo huwa anarudi na aliniomba niondoke haraka before it’s too late.

Baada ya hapo tulianza mahusiano ya siri sana, lakini hatukuwa serious na mahusiano yetu yaliisha kama mshumaa, na sikufanikiwa kumla tena kwa mara ya pili.


CONTINUE WITH CHAPTER 16

Nilitoa simu kumpigia na hakupoea simu zangu, maana nilipiga mara tatu bila majibu. Niliamua kufungua mails za ofisi ili nione kama kuna taarifa yoyote kutoka kwake, lakini hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Asmah,

Hilda kaendelee na majukumu yako, Asmah kakuzingua, kama kweli kaachishwa kazi lazima angenipigia simu.”

Nilichukua simu mezani na nilimpigia simu Iryn, hakupokea na nilimpiga mara 3. Nilimpigia tena simu Asmah, hakupokea pia, bhasi nikaamua kuendelea na majukumu yangu.

Baada ya saa 2 kupita hakukuwa na response yoyote kutoka kwa Asmah na Iryn, hivyo niliamua kumpigia simu Iryn kwa mara nyingine na muda huu alipokea,

IRYN: “Nenda kwenye point.”

MIMI: “Nadhani ushajua hii simu ni ya nini.”

IRYN: “Insider go straight to the point, sauti yako inanikera tu hapa.”

MIMI: “kwanini umemsimamisha Asmah kazi bila utaratibu? tena bila kunishirikisha? Amefanya kosa gani mpaka kumwachisha kazi?.”

IRYN: “Insider unaongea nini? Una uhakika unachoongea? Mpigie simu akuambie you are wasting my time.”

MIMI: “Acha dharau, huwezi kumuachisha kazi bila idhini yangu, tena umemuachisha kazi m bila kufuata kanuni na utaratibu. Unaleta mambo yako binafsi kwenye masuala ya kazi, hapa ndo unakofeli. Unakumbuka kwa Sumaiya ulifanya huu upumbavu na nikakuvumulia leo hii tena umerudia kwa Asmah….”

IRYN: “Insider….”

MIMI: “Kuna maana gani mimi kuwa manager kama unafanya maamuzi bila kunishirikisha. Asmah yuko expericenced unamtoa, hii nafasi nani atacava mapema? Unarudisha nyuma maendeleo ya kampuni.”

IRYN: “Hilda atacover, sioni sababu ya kucomplain kwa mtu aliyeacha kazi mwenyewe, unanipa maswali kuna something fishy kinaendelea kati yenu, kwanini umeumia sana?”

MIMI: “I don’t care, kufikia saa 8 mchana Asmah awe amerudi kazini, otherwise nakuachia kampuni yako.” Na nilikata simu.

Nilikuwa nina hasira sana kwakweli na kilichokuwa kinaniuma ni kwamba Asmah alikuwa yuko vizuri sana kazini na very experienced, alikuwa ana nicover sana pindi nakuwa sipo.

Nilisema naacha kazi, nianze kufanya mishe zangu na hapa nikawa napata mawazo ya kumtafuta Sia yule dada tuliokutana kule Cocobeach, lakini kwenye kumpata ndo kimbembe. Lengo langu kubwa niingie Kariakoo nianze biashara, siku ambayo nilikaaga na huyu dada alinipaga mawazo mazuri sana.

Nilianza kuandika barua ya kuresign position yangu, kwa upande mwingine simu ilianza kuita, ni Asmah alikuwa anapiga,

MIMI: “Hey, are you ok? Nini kinaendelea kati yako na Iryn?.”

ASMAH: “Nothing Insider.”

MIMI: “Upo wapi? Nataka nije tuongee.”

ASMAH: “Hamna haja wewe endelea na majukumu yako niko sawa.”

MIMI: “Asmah utanikera nambie ulipo ni muhimu sana.”

Baada ya kumbana ndo kunambia yuko Orysterbay, nikamwambia anitumie location ili niende tuonane.

Ilikuwa ni saa 7 za mchana na nilitoka pale ofisini kwa speed sana na huyo nikachoma mafuta mpaka Oysterbay kwa kutumia location aliyonitumia.

Baada ya kufika destination mbele yangu ilionekana jina la Organization ambayo jina lake halikuwa geni machoni pangu, na nilimpigia simu Asmah kumpa taarifa nimewasili.

Niliendelea kukaa nje ya geti na baada ya nusu saa kupita, Asmah alitoka akaja usawa wangu na alinipa ishara nishushe kioo cha gari,

ASMAH: “Insider nakusikiliza, nini unataka kuongea?”

MIMI: “Mbona sikuelewi naona umeshika bahasha, afu unampa taarifa Hilda kuwa umeachishwa kazi na mimi huniambiii, serious?”

ASMAH: “Mimi sijaachishwa kazi ila nimeamua kuacha.”

Sikutaka kuendelea kuongea naye sana,

MIMI: “Ushamaliza mambo yako?”

ASMAH: “Yeah nataka niende home kupumzika.”

MIMI: “Get inside nikupeleke tukaongee vizuri.”

ASMAH: “Hapana nita request wewe kaendelee na kazi zako, sahivi utakuwa na majukumu mengi.”

Niliona Asmah kama kabadilika haraka sana yaani leo hii ndo wa kunizingua namna hii?. Ilibidi nishuke kwenye gari na nilimnyang’anya ile bahasha aliyokuwa ameshika,

MIMI: “Kama unaringa nachana chana hii bahasha mbele yako afu tuone nani mjanja.”

ASMAH: “Insider please leave me alone.”

Na muda huu mlinzi alitoka akaanza kuja usawa wetu,

MIMI: “Asmah real?, sawa mimi nashukuru, chukua bahasha yako mimi naondoka.”

Asmah alianza kulia na mlinzi alikuwa kashawasili eneo la tukio,

MLINZI: “Dada kuna tatizo?”

ASMAH: “Tuko sawa.”

MIMI: “Mind your business na nilimshika Asmah mkono nikamfungulia mlango wa gari, then tukaondoka kwenda kwake.”

Nilitoka kwa speed sana maeneo yale na kipindi chote tuko njiani mpaka tunafika pale kwake hatukuwa tunaongea.

Tuliingia ndani na ile kufunga mlango wa sebleni nilimkamata nikamsukumia kwenye coach na nilianza kumpa makiss, lakini nilikuwa nakutana na upinzani wa hali ya juu sana maana alikuwa hataki.

ASMAH: “Insider naomba uniache tafadhali.”

MIMI: “Nataka Iryn ajue mimi nakupenda na nimekujua wewe before yeye.”

ASMAH: “But I can’t do, please.”

Nilikuwa namuelewa bhasi, japo alionesha kuwa serious sana na mimi nilifanikiwa kuanza kufungua vifungo vya shati yake, ila ndo kwa shida sana na kurupushani. Kurupushani ziliendelea pale seblen maana Asmah alikuwa hataki kabisa kuliwa na mimi niliendelea kukaza.

Nilifanikiwa kumkamata vizuri na nilimuweka begani tukaingia chumbani na nikamtupia kitandani, kwa upande wake alikuwa ameshaanza kuchoka na zile hekaheka za sebleni, alikuwa akihema sana.

Skin jeans aliyokuwa kavaa ndo ilikuwa inachelewesha mambo na nilianza kuifungua pale, ajabu alinikamata mkono akaanza kuning’ata, lakini hata maumivu nilikuwa siyasikii, ila nilikuja kuyasikia badae.

Nilifanikiwa kuishusha skin yake mpaka usawa wa kati wa paja zake na alionekana kuwa tepetepe, nikajisemea ina maana kurupushani zote hizi ndo zimemlowanisha namna hii?. Kwa upande wake alikuwa kashaanza kunipa greenlight ya kuendelea na mipango yangu na hata sikuchelewesha na kazi ikaanza, ilikuwa ni kuweka risasi kwenye magazine.

Tulipiga game ya muda mrefu sana hii siku asee maana ilikuwa ni vita ndefu sana, dizaini kama tulimisiana sana. Tulilala afu mida ya saa 12 tuliamka, tukaendeleza game mpaka saa 2 za usiku ndo kuachana na alikwenda kupika.

Kipindi tunakula tulianza maongezi na nilitaka kujua ni nini kinaendelea?

MIMI: “Sahivi unaweza kuongea sasa, Iryn amekuachisha kazi lini?.”

ASMAH: “Hajaniachisha kazi, ni mimi nimeamua kuacha na yeye ndo kuniomba niende kwenye organization.”

MIMI: “Sio kweli inaonesha umeforciwa ila hutaki kusema, ukweli.”

ASMAH: “Hamna, wewe ongea na mpenzi wako atakwambia na hii organization ni yake kama sikosei.”

MIMI: “Huwezi sema ukweli she manipulated you.”

ASMAH: “Ni kweli Insider siwezi kudanganya hili.”

Muda ulikuwa umekwenda sana, saa ilikuwa inasoma saa 4 kasoro za usiku, kimbembe kwenye simu nilikutana na missed calls za kutosha kutoka kwa Iryn na message juu iliyosomeka “Baby, please usiache kazi, pokea simu tuongee.”

Niliweka simu pembeni na niliagana na Asmah huyo nikaondoka kurudi home. Kipindi niko njiani nilihisi kwenye hii ishu ya Asmah lazima kuna mtu anahusika na nitafanya kila mbinu kumjua huyu snitch.

Baada ya kuwasili home nilikwenda moja kwa moja chumbani kulala maana nilikuwa nimechoka sana, ukizingatia nilikuwa nimetumia energy kubwa sana kwa Asmah.

Mida ya saa 6 usiku wife aliniamsha na sababu ya kuniamsha ni Iryn ambaye alikuwa anapiga simu za mfululizo,

MAMA J: “Iryn anakupigia simu usiku huu what do she want?.”

Nilivyosikia Iryn anapiga simu nilishtuka na niliona Iryn anazingua anataka nini usiku huu? Kama sio kutaka kunichonganisha na mke wangu,

MIMI: “Achana nae nitaongea naye kesho.”

MAMA J: “Unajua anapiga mara ya 4 hii, kwanini usimsikilize?, kama anashida utajuaje?”

MIMI: “Najua anachotaka kuongea wewe achana nae, hakuna ishu ya maana anataka kuongea.”

Muda huu simu ilikuwa imeita mpaka imekata na aliendelea kupiga kwa mara nyingine,

MAMA J: “Baba J sikuelewi kabisa na huyu Bossy wako, naomba upokee hio simu tutagombana.”

MIMI: “Bhasi pokea kama unataka kuongea nae.”

Wife si akapokea simu yake na akaanza kumuwashia moto pale,

MAMA J: “Hivi ni ustaarabu gani, unampigia mume wa mtu simu, tena usiku huu.?”

Waliendelea kuongea pale kama dakika 1 moja hivi na baada ya kumaliza alinigeukia,

MAMA J: “Anasema nikwambie usiache kazi, nini kinaendelea?”

MIMI: “Umeshindwa kumuuliza nini kinachoendelea, afu unaniuliza mimi? Embu niache nilale.”

Usingizi ulikuwa umekata kwakweli na nilianza kumuwaza Asmah kuhusu mustakabali wetu na kwa upande wangu niliona hakuna haja ya kuacha kazi, ukizingatia Iryn ana mimba yangu. Nilipanga asubuhi niende ofisini kwaajili ya kuliweka jambo sawa, ilibidi moyo wangu ukubali kuondoka kwa Asmah.
*****

Saa 12 asubuhi niliamka kwenda jogging, kuuweka mwili sawa na baada ya kurudi nilijiandaa nikaondoka kwenda Masaki. Nilitaka nimalize mambo yangu mapema ili niende nikaonane na Mzee Juma ambaye alikuwa akinihitaji tuonane pale kwake.

Kwa upande mwingine Lucy alikuwa kanipigia simu ile jana wakati niko na Asmah lakini sikuzipokea, hivyo wakati nakwenda ofisini nilimpigia. Kwa upande wake baada ya maongezi aliniomba tuonane na alisema anakuja Masaki ili tuongee.

Muda ulikuwa ni saa 3 za asubuhi wakati nakatisha chocho za mitaa ya Masaki na nilipata wazo nikaonane na Sumaiya ofisini kwake ili nijue na maendeleo yake kwa ujumla.

Baada ya kuwasili pale ofisini kwake tulioanana na alisema bado hajaanza kuendesha ile gari yake, kwani bado anafanya mafunzo. Nilimwambia akimaliza mafunzo aniambie ili twende wote barabarani nimbrash brash vizuri.

Niliondoka kwenda ofisini maana nilikuwa nimeshawatumia ujumbe Hilda na Rebby tutakuwa na kikao saa 5 asubuhi. Pale getini alikuwepo mlinzi na nilisema acha nipark gari ili tuongee vizuri maana alisema ana maongezi na mimi na sikufanya hivo kutokana na ratiba kuingiliana sana.

Nilikwenda kuonana na mlinzi pale getini na tulianza maongezi,

MIMI: “Nambie mzee wa kitengo.”

MLINZI: “Kazi yangu ni kuhesabu warembo wanaoingia na kutoka humu ndani, kuna siku nitabahatika na mimi.”

Tulianza kucheka pale kwa pamoja maana mlinzi alinifurahisha sana. Jamaa alisema ukweli mtupu, pale ofisini warembo wengi wanaingia na kutoka kwaajili ya kupata huduma na asilimia kubwa ni foreigners.

MIMI: “Usiende mbali sana kuna akina Rebby, Winny mbona wako vizuri?”

MLINZI: “Kaka shida ni hii jezi nayovaa, hakuna mrembo wa kunikubalia labda nikivua hapa naweza wadanganya. Rebecca kila siku anafuatwa na gari hapa nje, sio level yangu huyo mtoto labda Winny, lakini atanikubalia?”

MIMI: “Tuachane na haya, kuna jambo ulitaka tuongee lakini mambo yalikuwa mengi sana.”

MLINZI: “Naelewa Bossy wangu, unajua wewe ni mtu poa sana na unaishi na sisi vizuri kwa hili tunashukuru sana. Nje na kuwa Bossy wangu, pia ni mwanaume mwenzangu, kuna mambo nikiona yanakwenda kinyume, itakuwa si busara kama nitanyamaza.”

MIMI: “Nakubali upo sahihi, kuna jambo gani mkuu.”

MLINZI: “Unajua mimi mambo yanayoendelea humo ndani huwa siyajui, lakini kipindi uko Zanzibar ulitokea ugomvi mkubwa kati ya Asmah na Rebbeca. Walianza ugomvi hapo kibarazani na mimi ndo kwenda kuwasuluhisha, sababu kubwa Asmah alikuwa anamwambia Rebecca aache kumfutilia mambo yake, kwani hapendi tabia zake za kufuatilia maisha yake.”

MIMI: “Aisee hii taarifa sina mkuu.”

MLINZI: “Namjua Asmah vizuri sana, ni mtaratibu na muda mwingi sana yuko kivyake, kuona anagombana na Rebby ilibidi nisogee ili nijue tatizo ni nini, lakini sikuweza kujua tatizo.”

MIMI: “Hizi taarifa mpaka sasa sijui kabisa hata Asmah hajasema.”

MLINZI: “Rebby aliniomba nisiseme lakini nimeona kukaa kimya bila kutoa taarifa inaweza kuja kuleta shida baadae.”

MIMI: “Ahsante sana kwa taarifa, bad news Asmah hatuko naye, ameacha kazi ila kapelekwa ofisi nyingine.”

MLINZI: “Mbona ghafla sana? Ameshindwa hata kuniaga?.”

MIMI: “Atakuja kuwaaga msijali, nafikiri huu ugomvi ni moja ya sababu kuacha kazi, laiti ningelijua mapema huenda yasingetokea.”

MLINZI: “Bossy usikose raha sababu ya hili, sometimes Mungu anakuwaga na mipango yake, cha muhimu kuwa makini sana na huyo Rebecca. Mara nyingi huwa simuelewi pale anapokuwa na Dada (IRYN), nahisi kuna kitu kinaendelea.”

MIMI: “Nashukuru mkuu, nilikuwa na kikao na mama juzi, kuna gawio tutawapa kutoka kwa kampuni, ninakosa muda wa kwenda Bank, utampa taarifa dada.”

MLINZI: “Ahsante kiongozi tunashukuru sana kwa hili.”

Niliwaza pale huenda Asmah kaamua kuacha kazi sababu ya hii maana hapendagi chokochoko, kuhusu Rebeca nimeongea nae juzi tu hapa, ngoja nimuache, nitadeal nae in friendly way.”

Baada ya kuingia ndani niliomba kuonana na Hilda, pamoja na Rebby ili tuzungumze juu ya mabadiliko yaliyotokea. Nafasi ya Asmah nilimpa Hilda na kwa upande wa Rebby majukumu yake yalibaki vilevile ya kusimamia wenzake na kukusanya reports.

Kwa suala la reception nilimwambia Hilda aendelee kukaa mpaka pale ambapo tutapata mtu wa kucover ile nafasi na tutakuwa tukisadiana majukumu kwa kipindi hiki kifupi.

Baada ya kumaliza kikao chetu kifupi, Rebby alitoka na nilibaki na Hilda tukaendelea na maongezi. Hilda alisema alifanikiwa kuongea na Asmah na alimwambia sababu ya kuacha kazi ni ugomvi wake na Rebby, maana alimtamkia maneo mabaya.

Kipindi tunaendelea na maongezi yetu, Lucy aliingia ofisini na nilimkaribisha akae kwenye sofa na Hilda alitupisha akaondoka,

LUCY: “Nakuona Bossy wangu, pole sana kwa kuondokewa na mrembo Asmah.”

MIMI: “Nishapoa tayari.”

LUCY: “Sikutegemea kama ungekuja ofisini, kazi kumpa presha Iryn na unajua ni mjamzito, sio vizuri Insider. Iryn hausiki na Asmah hata yeye ameshangaa kutokana na maamuzi ya Asmah ndomana alimwomba aende ofisi nyingine.”

MIMI: “Iryn anahusika indirectly asingekuwa anamtumia Rebby kumchunguza Asmah haya yote yasingetokea. Sababu ya kuondoka kwa Asmah ni ugomvi wake na Rebby japo hajataka kufunguka sana, ukisema Iryn hausiki si kweli,”

LUCY: “Hii taarifa ni mpya nadhani Iryn hajui pia maana hajanambia kabisa.”

MIMI: “Hawezi kukuambia taarifa kama hizi, sababu ya ugomvi wao ni kwamba Asmah alichoka na chokochoko za Rebby ndo kugombana.”

LUCY: “Nitaongea na Asmah kwa hili, lakini Iryn anaomba upokee simu zake muongee.”

MIMI: “Ndo akaona bora apige simu saa 6 za usiku ili atugombanishe na mama J?”

LUCY: “Nafikiri sababu ulikuwa hupokei simu zake ndomana.”

MIMI: “Ofcourse nilikereka sana kwa hii ishu ila so mbaya ndo maisha.”

LUCY: “Insider unamtesa sana Iryn hujui ni kiasi gani anaumia kwaajili yako, afu you don’t care. Kumbuka amebeba kiumbe chako, wewe ni mambo mengi hueleweki unataka nini, acha kum-manipulate Asmah sio vizuri.”

MIMI: “Manipulate how?

LUCY: “Unachomfanyia Asmah ni kumtesa tu na kuumiza hisia zake mpe distance, kitendo cha kuwa naye karibu sana na unajua fika mnahistoria si vizuri. Mtoto wa watu anajitambua na wewe utaishia kumchezea tu na kuharibu maisha yake, please leave her alone.”

MIMI: “Nahisi kuna kamchezo mnenifanyia, anyway Asmah ni mtu mzima tayari na ana akili zake, anajua kukubali na kukutaa. Nashangaa kuona unaumia juu ya hisia za Asmah, wewe ndo umuache na maisha yake, siku zote mti wenye matunda ndo unapigwa mawe.”

LUCY: “What do you mean? Insider mimi siko huko kwanza mahusiano yako na Iryn mimi hayanihusu na sitaki kuonekana nawaingilia. But remember what’s goes around comes around, mimi nimekuja sababu nilitumwa nikupe taarifa hii.”

MIMI: “Nashukuru nimepata ila naomba umwambie Iryn aache kufuatilia moves zangu hapa ndo anakwama.”

Saa 6 za mchana niliondoka na Lucy kwenda Mikocheni, lakini nilimdrop kwanza ofisini, then nikaenda kwa mzee Juma.

Baada ya kuwasili kwa mzee nilikaribishwa ndani sebleni na alitoka baada ya dakika 10 na alisema tunakwenda moja kwa moja site, na tutamalizia kwa Jane.

Mzee alimuita camila na tulianza safari ya kwenda Bahari Beach na mimi nilikuwa nimetangulia mbele na IST yangu.

Baada ya kuwasili pale site ndo kwanza ilikuwa inafanyika levelling pamoja na vipimo. Mzee alikwenda kuongea na engineer na baada ya dakika chache kupita tuliondoka kwenda Mbweni.

Ndani ya muda mfupi break yetu ilikuwa pale nje getini kwa Jane na tulifunguliwa gate tukaingiza magari ndani. Jane alitoka kutukaribisha kwa upande wake hakutarajia kama nakuja na mzee Juma.

Baada ya kuingia seblen mimi nilikwenda jikoni kuangalia msosi, nilikuwa nina njaa sana na nilifanikiwa kupata wali na njegere, nikaanza kula kulekule jikoni.

Mzee Juma alikuwa anamuaga Jane kwamba tayari kamaliza likizo na anatarajia kuondoka ijumaa kwenda nje kwaajili ya majukumu ya kikazi.

Kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na ile kuitoa mfukoni alikuwa ni Iryn akipiga na nilitoka nje kwenda kuipokea,

MIMI: “Hello bae.”

IRYN: “Insider una matatizo gani? Unaweza kunambia sababu za kunichukia?”

MIMI: “Kivipi?”

IRYN: “Sihusiki kwa suala la Asmah she made her decisions.”

MIMI: “Unahusika sana, Asmah ameondoka sababu ya kugombana na CIA wako, she was tired of Rebby's bullshit.”

IRYN: “Hili sifahamu na hakuna jambo lolote nyuma ya pazia linaloendelea kati yangu na Rebby ni wasiwasi wako tu.”

MIMI: “I don’t trust you.”

IRYN: “Duniani hakuna siri, kama kuna lolote mnafanya na Asmah nitajua na I promise, huyu mtoto hutakuja kumuona machoni pako, even me.”

MIMI: “Unaendelea na vitisho vyako, ugomvi wetu mtoto anahusikaje? Labda huyo mtoto sio wangu, ila kama kweli mimi ni baba yake kwanini nisimuone?”

IRYN: “Alright.”

MIMI: “Kingine, ukome kupiga simu usiku kama ulivyofanya leo, tafadhali sana.”

Maongezi yetu yalikuwa ni mafupi sana na nilirudi ndani.

Baada ya masaa 2 mzee aliaga anaondoka lakini kwa upande wangu nilimwambia bado nitaendelea kubaki na Jane maana tulikuwa tuna vitu vingi sana vya kuzungumza.

Baada ya mzee kuondoka tulianza kuzungumza suala lake la kukutana na mama mkwe wangu kuhusu kufungua biashara na nilimwambia jumapili tutaonana naye, kwani yeye hana shida na alisema muda wowote tumtafute, kwa jumapili ndo itakuwa vizuri zaidi.

Tuliendelea na mazungumzo na nilimuuliza kama Mary anakuja kwake na alisema juzi jumapili wameshinda wote siku nzima. Jane alisema aliongea na Mary kuhusu jambo letu na ameonesha sign nzuri ya kuyamaliza, na aliniomba sana tuyamalize mapema.

Mida ya saa 12 jioni, Asmah alinipigia simu na alisema anajiskia vibaya kama niko around nimpelekee Pizza na dawa, sikutaka kumkatalia na nilimwambia nitampelekea baadae kidogo.

Simu ya Asmah ilinivuruga sana na sikuona umuhimu wa kuendelea kubaki kwa Jane na nilimuaga naondoka, kisha nikaanza safari ya kwenda Upanga. Nilianza kupitia Mikocheni Plaza, nikanunua large pizza na juice ya minute maid nikaendelea na safari.

Nilivyowasili pale kwake nilikwenda straight kwenye apartment yake na niligonga akatoka kunifungulia mlango na alikuwa kajifunga taulo jeupe.

Baada ya kuniona alifurahi nikamkabidhi pizza yake na alianza kuila maana alionekana kuwa na njaa sana.

MIMI: “Nimetoka Mbweni kwaajili yako.”

ASMAH: “I thought utakuwa ofisini.”

MIMI: “Unasumbuliwa na nini?”

ASMAH: “Nahisi uchovu wa jana, nimeongea na doctor ndo akanambia ninywe hizi pills.”

MIMI: “Kwahiyo umemwambia doctor kuwa jana ulit****na sana?”

ASMAH: “Insider acha ushenzi wako bhana.”

MIMI: “Naomba unambie sababu ya ugomvi wako na Rebby ni nini?”

ASMAH: “Rebby ni mshenzi tu, achana naye ni mambo yaliyopita sitaki kuyazungumzia.”

MIMI: “Sawa twende chumbani huenda huko utaongea vizuri.”

ASMAH: “Chumbani kufanya nini?”

MIMI: “Leo nalala kwako, nataka nikaoge na wewe utaniogesha leo, kama hutaki sema ili niondoke.”

ASMAH: “Tangulia nakuja.”

Mimi niliingia bafuni kuoga na ile kutoka namkuta yuko kitandani amekaa, nilimuomba taulo alilokuwa amejifunika na ile kujifungua alikuwa full naked. Ustaarabu ulinishinda na palepale nilimkamata tukaanza show show mpaka tukalala, mida ya saa 6 za usiku ndo nikarudi home.
*****

Asubuhi nikiwa ofisini nilipigiwa simu kutoka kwa Iryn na alinipa taarifa ya kuja Dar kesho ambayo ni alhamis.

Pia, nilifanya mawasiliano na mama Janeth kuhusu gap la dada wa pale reception na alinipa go ahead ya kutafuta dada wa kureplace nafasi ya Asmah. Mama alisema yuko safari na kama itatokea sijafanikiwa kumpata mtu, bhasi atanisaidia kutafuta mtu wa kureplace.

Sikuwa katika mood nzuri ya kukaa pale ofisini na niliondoka kwenda Cocobeach kufikiria mustakabali wa maisha yangu.

Nilikwenda kukaa palepale kwa siku zote na jamaa alikuja kunisikiliza,

“Tajiri mambo vipi, huonekani sikuhizi.”

“Salama tajiri, sema nimekuwa na mambo mengi sana ila tupo pamoja kama hivi.”

“Wewe ni mteja wangu nisipokuona nakuwa nawaza labda nimempoteza mteja.”

“Hapana bossy wangu mimi ni wako hili ondoka shaka.”

“Shemeji nae ni kitambo sana ujue, yupo kweli?”

“Yupo masomoni ila this time akija nitamleta, vipi kuhusu yule dada yetu hajajaga tu?”

“Kaka ukweli sijawahi kumuona kabisa kapotea kama jini. Vipi ulikuwa una shida naye?”

“Nina shida naye sana.”

“Ikitokea kaja mimi nitakushtua tu.”

“Haina noma, niletee Heineken 3 na mishikaki.”

Baada ya jamaa kuondoka nilianza kuwaza kuhusu Asmah na niliyakumbuka maneno ya Lucy vizuri sana. Niliona Asmah kaanza kukolea tararibu, mwisho wa siku atajaa mazima na nitamuweka mtoto wa watu kwenye wakati mgumu, lakini sikuwa na choice.

Niliendelea kukaa Coco mpaka mchana nikarudi ofisini tena kuangalia maendeleo na nilikuta mambo yanakwenda sawa, Hilda kwa upande wake alikuwa anaupiga mwingi sana.

Nilimuaga Hilda nikarudi home na baada ya kuwasili nilimkuta wife anajisomea chumbani, tulisalimiana na story zingine zikaendelea. Kwa upande wake aliniomba nimfundishe kuendesha gari, niliona ameongea jambo la muhimu na nikamwambia aanze kwanza na driving school, nitampa pesa.

Kwa upande wangu nilikuwa ninawaza namna ya kumpiga sound kwa siku ya kesho ambayo Iryn anakuja. Nilimwambia wife nitakwenda Zanzibar kwa mara nyingine tena na sitokawia kurudi, kwa upande wake hakuwa na tatizo.
*****

Alhamisi saa 6 mchana nilikwenda Mikocheni na nilimwomba Lucy anipe kampani, bila kumwambia tunakwenda wapi. Lucy alisema nimpe dakika 10 ajiweke sawa ili tuondoke, japo alitaka kujua ni wapi tunakwenda.?.

Tulianza safari ya kwenda Airport na kipindi tuko Morocco, uvumilivu ulimshinda akaomba kujua ni wapi tunakwenda?. Nilimwambia tunakwenda Airport kumpokea mgeni wangu, nilitaka iwe surprise.

Saa 8 kasoro za mchana tulikuwa tumewasili tayari pale JNIA Terminal 3 na tulikaa kwa pale nje tukipiga story za hapa na pale,

MIMI: “Iryn anasemaje kuhusu Asmah.”

LUCY: “Anasema anafuatilia akijua ukweli, atakuacha na maisha yako. Ni kweli hakuna kinachoendelea kati yenu? Be honesty Insider.”

MIMI: “Nothing kinachoendelea mummy.”

LUCY: “Mmh sawa, mwenzako anafanya investigation.”

Simu yangu ilianza kuita na alikuwa Asmah akipiga na baada ya kupokea taarifa kubwa aliniomba badae niende kwake, pia anajifikiria this summer kurudi shule.

15:00 Iryn aliwasili pale Airport na baada ya Lucy kumuona akitoka ndani alikwenda spidi wakakumbatiana maana ilikuwa ni surprise, hata Iryn naye hakutegemea kama ningeenda na Lucy.

Kwa upande mwingine tumbo lake lilikuwa linazidi kukua taratibu na alizidi kuonekana kuwa mrembo zaidi.

LUCY: “Wifi yangu leo mmeamua kunifanyia surprise?”

IRYN: “Hata mimi sikujua kama unakuja na Insider.”

LUCY: “Unazidi kung’aa na kuwa mrembo.”

IRYN: “Bhana Lucy huoni nimechoka hapa, mtoto ananichosha, baba yake naye bado mambo mengi ni shida.”

MIMI: “Guys let’s go.”

Tuliondoka kwenda Serena Hotel na baada ya kufika, tuliacha mabag tukaondoka kwenda Masaki.

Tulikwenda na Haile Selasie road, tukaenda kutulia Lock & Barrel, tangu tumetoka Airport mpaka tunafika pale hatukuwa na maongezi yoyote na Iryn,

MIMI: “Mummy unakwenda lini Ethiopia?”

IRYN: “Nitaondoka kesho jioni.”

LUCY: “Na kurudi?”

IRYN: “Jumapili nitarudi, sidhani kama kutakuwa na mambo mengi.”

MIMI: “Unafanya guessing, suala la kuwa na mimba mpaka uende Ethiopia hii sio nzuri.”

LUCY: “Kwamba walishindwa kukuelewa mpaka uende huko?”

IRYN: “Kumbuka wale ni kama wazazi na walezi na ndo ukoo wangu, kwa jambo kama hili ni busara nikaenda.”

MIMI: “Mzee ana kazi gani? Mimi nilitegemea yeye ndo angekuwa na uzito kwa hili.”

IRYN: “Mzee hana shida, lakini kumbuka mama mkubwa ndo kama mama kwangu, siwezi kumdharau ndomana hata nikiwa kwake nina behave kama mtoto.”

MIMI: “Ni sawa lakini wewe umeshakuwa mtu mzima tayari, una maamuzi yako na wanatakiwa kuheshimu. Umekuja Dar naomba umwambie mama Janeth kuhusu ujauzito wako before it’s too late.”

IRYN: “Mama nitamwambia lakini sio leo.”

LUCY: “Mpenzi, Insider yuko sahihi ujue, ili kuondoa sintofahamu zitakazoweza kutokea hapo baadae kati yake na mama.”

IRYN: “Sawa nitaangalia namna ya kudeal naye. Insider kilichofanya unichukie ni nini?”

MIMI: “Wewe unajua sababu ni nini.”

IRYN: “Asmah kanipigia simu anaacha kazi na hasemi sababu, ikabidi nimwombe aende kwenye organization ndo akakubali.”

MIMI: “Tatizo unamfuatilia sana mtoto wa watu acha hizo mambo, sijui unashida gani.”

LUCY: “Unajua Insider alikuwa anajua wewe ndo unahusika kwa 100%, ukizingatia Asmah ni mshikaji wake wa karibu. Naona myamalize haya, sioni sababu ya kuendelea kuliongelea hili suala na kumuwazia vibaya.”

IRYN: “Actually nilijua Insider ana hasira ndomana nilinyamaza kimya.”

Saa 2 za usiku tuliagana na Lucy maana alisema anakwenda kwanza ofisini kuweka mambo sawa, then aende home na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini aliingia washroom kuoga ili akitoka tuanze kuongea kuhusu habari za kwenda huko Ethiopia.

Baada ya kutoka tulianza kupiga story,

IRYN: “Baby, jumatatu tulikuwa tuna Corporate networking event kwa wanafunzi wote wa faculty za biashara and I was executive speaker, watch my speech and rate me.”

Alinipa simu yake na nilianza kuangalia ile speech yake afu alikuwa kapendeza sana na confidence ya hali ya juu. Ilikuwa ni speech nzuri ambayo alikuwa anawaambia colleagues kuhusu mbinu mbalimbali za kuwa good manager.

Ilikuwa ni speech nzuri sana ambayo ilipostiwa youtube kwenye account ya chuo na chini yake kwenye comments alipata replies nyingi sana ambazo zilikuwa zikimsifia kwa ile speech na nyingine zilimpa sifa kwa uzuri wake aliobarikiwa.

Wakati nasoma zile comments nilikuwa nacheka sana maana zilikuwa zinafurahisha kuzisoma. Muda huu Iryn alikuwa busy na laptop yake maana aliniomba amalizie kazi yake ya chuo ili tuanze kuongea.

Sijui ilikuwaje nilijikuta naanza kuangalia simu yake na nilianza kuangalia picha zake, then nikafungua whatsapp nikaona kuna namba anachati nayo lakini haijaseviwa. Na kilichonishtua ni baada ya kusoma text ya mwisho kutoka kwa jamaa aliyokuwa ameandika “Take care I will see you tomorrow.”

Baada ya kufungua na kusoma zile conversations zao ndo kujua hawa watu wapo kwenye mahusiano. Nilijikuta naanza kuumia maana sikuamini kama kweli Iryn ananicheat na ana mtu mwingine zaidi yangu….

TO BE CONTINUED WITH CHAPTER 17
Asmah atapata mimba.....
 
EPISODE 63

PREVIOUS
Kile kibao kiliniingia sana maana alinipiga cha sikio hivyo nilikuwa nasikia “nziii nziii…..”., ukweli sikuamini kama Iryn angenipiga kibao cha nguvu kama kile. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki maeneo haya maana ningeleta matatizo zaidi hivyo niliamua niondoke.

WARNING,
Parental Advisory Under 18s Explicit Content
(Kama Umri wako ni chini ya Miaka 18, Tafadhali usisome, endelea na Episode 64).


CONTINUE
Wakati nakaribia mlango wa seblen Iryn alikuwa anakuja kwa spidi kwangu huku akitoa sauti ya kuniita,

“Insider stop please, I am sorry, where are you going?…. I feel bad about what happened.” It wasn’t me. I am sorry, please don’t go.”

Muda huu hata mimi nilikuwa pia na hasira sana na ile nataka kufungua mlango wa seblen ili nitoke aliniwahi akanivuta afu akasimama mbele yangu, dizaini kama ananizuia nisitoke.

“I’m really sorry and I don’t know why I hate you”.

“Yaani umenipiga na kibao cha nguvu kama kile afu unataka kunambia ni bahati mbaya?, embu nipishe before sijakubadilikia hapa.”

“Insider unajua ni namna gani unaniumiza?, ndomana nakuchukia.”

Kwa upande mwingine machozi yalianza kumtoka taratibu na yakaanza kushuka mashavuni, kwa upande wangu ilibidi nimsogelee na nikamshika mashavu yake ya kulia na kushoto kwa mikono yangu na nikaanza kumfuta machozi kwa viganja vyangu.

“Iryn reason ya mimi kuja hapa nilitaka tukae chini tuongee lakini ulichofanya kwangu sio heshima hata kama una hasira, umenikosea sana.”

Muda huu tulikuwa tukiangaliana tu maana yeye alikuwa bado ameegemea mlango na mimi kwa upande wangu nilikuwa bado nimemshika mashavu, lakini nilikuwa bado namfuta machozi kwa vidole gumba vyangu.

Tuliendelea kuangaliana pale na hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake na muda huu nilijikuta mapigo ya moyo yameanza kuongezeka taratibu. Kufumba na kufumbua nilijikuta lips zangu zikishambuliwa na zilikuwa zikitekenywa na ulimi wake na alizungusha mikono yake nyuma ya shingo yangu na akanivutia kwake. Lilikuwa ni shambulio la haraka sana na mimi nilimkamata barabara, na tuliendelea kuchapana makiss huku tuna badilishana mate. Zoezi liliendelea pale mlangoni kwa muda mrefu na niseme mate niliyokuwa nakunywa hapa ni matamu balaa na nilitamani niendelee kuyanywa maana mrembo ana kinywa kisafi afu kinanukia vizuri bado lips zake ni laini sana, nyie acha tu.

Zoezi likahamia kwenye coach na hapa sasa nikaanza kupenyeza mkono wangu kwenye boobs zake, kwanza alikuwa amevaa “sport braa” ile kuipandisha kwa juu nakutana na vifuu ya mviringo afu yamesimama wima. Kwanza nilikuwa siamini bado hivi ni mimi kweli?, nyie ilibidi niyatizame matiti yake vizuri na nilikuwa nashangaa jinsi yalivyo mazuri, kwa upande mwingine Iryn alikuwa akiniangalia tu kwa macho yaliyolegea sana ni kama alikuwa ananipa green light ya kuendelea na zoezi.

Kwanza nilisema sitakiwi kuwa na pupa maana nitaharibu hili zoezi, hivyo nilianza kwanza kupitisha mkono taratibu kwenye matiti yake. Niliendelea kuzifikicha chuchu zake taratibu kwa mikono yangu na kwa ustadi wa hali ya juu, nikaanza kuzungusha ulimi wangu taratibu kwenye maungio ya pembeni ya boobs zake na nilikuwa nazungusha kwenye boobs zote na kipindi nafanya haya, nilianza kuona mabadiliko yake kwa kasi na miguno ilianza kusikika kwa mbali. Zoezi liliendelea vizuri na muda huu nilianza kuziminya chuchu zake kwa vidole yaani taratibu na nikaanza kuzichezea chuchu na ulimi wangu na nilivyoanza kuzinyonya miguno ya utamu ilianza kuongezeka kwa kasi na alinishika kichwa akawa ana nikandamiza na hapa nikajua hii ni moja ya sehemu zinazo mpa muwashawasha.

Niliendelea kuzinyonya chuchu zake taratibu na kwa ufundi wa hali ya juu na nikaanza kupitisha ulimi kwenye masikio yake na nikashuka mpaka shingoni, yaani daah hapa nilikuwa nikiona mapigo yake ya moyo yanaongezeka spidi na miguno ya utamu ili endelea kutawala muda huu. Nilikuwa naaply mbinu za KITALIBAN na sikutaka kufanya makosa.

Wakati nataka kupenyeza mkono wangu kwenye pant yake alinizuia kwa kunishika mkono ni kama alikuwa ananiambia “Insider unawahi nini? Mimi ni wako tayari, you need to slow down”. Na muda huu nilimvua ile brah ili zoezi langu lisipate kikwazo, na upande wa juu alikuwa kama alivozaliwa, na nikaanza kupitisha ulimi wangu kwenye tumbo lake kitovuni taratibu, na nikaanza kushuka mpaka kiunoni na zoezi la kuchezea boobs lilikuwa linaendelea kwa mkono wangu wa kushoto. Maeneo ya kiunoni yalikuwa yakimpa muwashawasha sana na alikuwa akihangaika sana na hapa ndo niligundua weakness point yake ilipo, maana alikuwa anainua kiuno chake na dizaini kama alikuwa ana kizungusha kwa kupanda na kushuka na kelele zilianza kuongezeka, muda huu nilikuwa naitwa majina mengi sana (Baby, sweetheart, honey, Darling, Insider) yote yalikuwa yangu.

Alikuwa amevaa pant ya kijeshi na nilifungua kifungo kwa haraka sana muda huu, kwa upande mwingine hata mimi nilikuwa niko sayari nyingine, Iryn naye alikuwa tayari kalaanika vya kutosha na baada ya kufungua pant yake alikuwa ananitazama kwa macho yaliyolegea sana,

“Insider what do you want to do now, f**ck me?”

Na mimi nilimsogelea nikaanza kumnyonya tena mate na muda huu chemchem yake ya mdomoni ilikuwa imejaa maji ya kutosha. Kwa upande mwingine nilipitisha mkono wangu wa kulia na nilianza kutalii ikulu yake, kwanza ch*pi yake ilikuwa tayari chapachapa na baada ya kuanza kutalii kwa pembeni aliinuka,

“Baby, let's go in my bedroom.”

Na tuliongozana pale na yeye akiwa mbele na mimi nikiwa nyuma yake na alikuwa amenishika mkono. Baada ya kuingia chumbani nilikaa kitandani huku miguu yangu imegusa sakafu na nilianza kumvua pant yake taratibu na alikuwa kavaa bikini nyeupe. Damn!, nilijikuta nimeanza kupagawa kwa uzuri niliokuwa nau-ona kwa huyu mwanamke muda huu na ilibidi kwanza nianze kumtizama vizuri kuanzia chini mpaka juu. Palepale nilimvuta kwangu na nikaanza kuyachezea makalio yake na nilikuwa nayabinya binya. Nyie sio poa mtoto ana makalio malaini kama spochi yaani unayabinya huku unasikia raha, uvumilivu ulinishinda ilibidi nimgeuze ili niyatizame live, damn! nilianza kupagawa na nilikunja magoti nikaanza kuyalamba huku nayang’atang’ata na meno na nilimuwasha na kibao cha kimahaba “PAAH”.

Iryn aligeuka na mimi niliinuka nikakaa kitandani, na mimi niliendelea kuyachezea makalio yake huku nayaslap, kwa upande wake alianza kunivua T-shirt yangu na alianza kunichezea mabegani kama ananikanda-kanda na alinipush kitandani akakaa juu yangu na akaanza kuninyonya vichuchu vyangu taratibu na kwa madaha, aisee raha nilizokuwa nazisikia hapa hata ningetiwa risasi nisingesikia maumivu. Alianza kunichezea kifua kwa mikono yake laini afu ya moto na akahamia mgongoni kama ananifanyia massage nyie muda huu nilikuwa Sayari ya Pluto huko raha nilizokuwa napata hapa hata ningeambiwa nihonge nyumba ya Dodoma, ningehonga walahi.

Taratibu alianza kunivua surual yangu ya jeans na alivyomaliza alihamia kwenye boxer na kilichoendelea alianza kuifikicha mashine yangu na viganya vyake laini, na alianza kupitisha ulimi wake taratibu kwenye kichwa na baadae akaanza kuimeza mdomoni. Muda huu ilikuwa zamu yangu kuanza kutoa kelele za utamu, maanina hapa hata ningeambiwa tukana watu wote duniani ningewatukana. Alikuwa ana suck d*ck yangu kwa taratibu na ufundi wa hali ya juu na pale alipokuwa anahisi nataka kupizz alikuwa ananituliza then anaendelea na zoezi lake. Muda huu nilimvuta kwangu na nikamvua bikini yake, sikuwa na papara na nilianza kumchezea paja zake na miguu kwa kupitisha ulimi wangu nyuma ya maungio ya paja zake na nilianza kulamba vidole vyake huku naviweka mdomoni kwa upande wake alikuwa akisikia raha sana na alionekana kupagawa sana.

Niliendelea kumchezea mgongo gently kama namfanyia massage na niliendelea kumchezea ass yake kwa nyuma huku napitisha ulimi wangu kwa ustadi wa hali ya juu. Kwanza mwili wake ulikuwa unanukia vizuri sana, yaani unakupa mzuka wa kuendelea kufanya mashambulizi na nilikuwa napitisha ulimi Kwenye kwapa zake na zilikuwa zinanukia vizuri sana.

Nilimgeuza na nilimtanua miguu yake aisee! nilichokuwa nashuhudia muda huu niseme Mungu anajua kuumba na kuna watu amewapendelea. Kwanza p*ssy mpaka paja zake ni nyeupe hakuna ma-alama yoyote na coochie yake imetuna vizuri ina afya, nilihisi kupaniki sio kwa uzuri wa hii coochie, kwa upande wangu mnara ulikuwa unasoma 5G tayari muda sana.

Muda huu nilimtanua miguu na coochie ilionekana kuwa nyekundu kwa ndani tena safi na alikuwa kashave na the way ilivyotuna nilikuwa nahisi kuchanganyikiwa *****. Muda huu nilijikuta natamani kupiga deki maana coochie ilikuwa ikivutia sana na pia ilikuwa inasmell vizuri sana hata ile harufu/shombo ya coochie nilikuwa siisikii kabisa. Nilipiga deki taratibu pale na nilisogelea antena yake nikaanza kama napiga kigeregere na ndani ya muda mfupi antenna ilisimama wima na muda huu mikono yake ilionekana kukunja kunja mashuka kitandani, kiuno chake kilikuwa kinazunguka kwa mahaba na alianza kucheka muda huu, ilibidi nimtizame kwanini anacheka? Ooh shit! alikuwa kafumba macho anasikia raha na mimi niliendelea kupenyeza ulimi wangu kuingia ndani pangoni kwa ustadi, na muda huu kelele na miguno vilizidi kutawala chumbani.

“Baby please I’m cumming…oooh! ohhh, ash ashh ashhh…”

Na mimi niliendeleza maunyama yangu tena kwa spidi na nilishangaa kuona risasi imeruka usawa wa uso wangu na muda huu alikuwa nyapanyapa,

“Baby please f*ck me… put your d*ck inside..”

“Do you want this d*ck…?”

“Yes babe f**ck me please……”

Na mimi nilimuwekea mto chini na nikamkunja miguu yake na ile nataka kuingiza wazungu walishindwa kuvumilia na walitoka shwaah!. Ooh! shit niliwaza inamaana nataka kumaliza hii game mapema hivi? wakati ndo kwanzaa tuko half-time dakika ya 15 tu, nikasema hapana sitakiwi kupaniki this coochie is mine.

Ilibidi nimkunje vizuri na muda huu nilianza kuchapa antena yake na fimbo huku nasugua na mashine taratibu, ndani ya dakika mnara ulianza kusimama kwa kasi mpaka ukafika 10G na nilindelea kuichapa antena yake huku naingiza kichwa kama nachungulia ndani kuna nini tena natoka, ulikuwa ni mchezo wa muda mrefu mpaka akaanza kuhangaika tena na mimi niliendelea na hili zoezi kwa makini na ustadi wa hali ya juu, kwa upande wake kelele za utamu zilizidi na muda huu kiuno chake kilikuwa kinazunguka kama pia na haikuchukua round aka squirt viliruka vimaji na alikuwa akihema balaa.

Na muda huu niliiweka miguu yake mabegani tayari kwa kuanza mashambulizi ya KITALIBAN na nilisikia akitoa sauti ya taratibu,

“Babe slowly…. Gently…. Please!..”

Na mimi niliingiza taaratibu aisee joto nililokuwa nalisikia humu ndani lilikuwa linafanya mnara uendelee kukumata mawimbi vizuri na nikaanza kupump taratibu na kadri dakika zinavyo kwenda nilikuwa naongeza spidi. Ndani ya muda mfupi chumba kilibadilika maana kelele zilizokuwa zinasikika ni za mahaba na utamu, kwa upande wangu hata mimi nilikuwa natoa kelele sio kwa utamu wa ile coochie. Nilibadilisha style na nikamweka “The Flatiron style” ile analalia tumbo afu unambinua kalio na nilikuwa na hit from the back. Baada ya muda akaja akakaa juu yangu na alikuwa kanipa mgongo asee hapa alianza kuizungusha mashine na alikuwa anaifinyia kwa ndani, muda huu raha nilizokuwa nazipata hapa ni balaa.

Baada ya dakika kadhaa alinigeukia na mimi nikamshika kiuono na yeye aliendelea kufanya mambo yake, na alizidi kuongeza spidi na alinisogelea kunipa ishara niwe namnyonya boobs zake, na kadri nilivyokuwa namchezea na yeye alizidi kuongeza spidi na niliona akianza kutoa miguno tena. Kwa upande wangu na mimi nilianza kusikia wazungu wanagonga hodi na mimi nilianza kutoa sauti maana nilikuwa nasikia raha sana,

“Baby are you cummin…?”

“Yes baby drive it crazy and I want you to f*ck me like it's my last night in this world.”

“Baby I am cummin too…”

“Me too, do you want me to cumm inside?”

“Yes baby….cumm .”

Haikuchukua muda wazungu hao na nilikuwa hoi sana hata yeye kwa upande wake alifunga bao muda huu hivyo tulikuwa tunahema wote kwa pamoja. Kwa upande mwingine alionekana kuchoka sana na aliishia kunilalia kwa juu mpaka tukapitiwa na usingizi, maana ilikuwa ni game ndefu sana.

Iryn ni mwanamke mwenye hisia kali sana za mapenzi na ukimchezea vizuri anapiga bao nyingi na hachelewi kukojoa na tuliishia kulala pale huku tumekumbatiana.

Nilishtuka usiku lakini Iryn alikuwa bado kalala juu yangu ilikiwa ni giza hivyo nilisogeza mkono wangu nikawasha taa za bedsides na muda huu nilianza kumwona live akiwa kalala hoi kwenye kifua changu. Kwanza nilikuwa siamini kama ni kweli nimefanikiwa kumla maana nilikuwa naona kama ni ndoto, sikuwai kuwaza kama kuna siku Iryn atakuja kulala kwenye kifua changu tena akiwa uchi namna hii na mimi muda huu niliishia kumchezea nywele zake.

Kwa upande mwingine niliendelea kushangaa uzuri wake pale na yeye muda huu aliamka,

“Mummy umeamka pole.”

Kwa upande mwingine Iryn alianza kuwa na aibu kwangu na tulikwenda kuoga wote, muda huu tulikuwa tunanyeshewa na bomba la mvua na yeye alianza kuniogesha taratibu na baada ya kuanza kunishika mnara ulisimama tena. Na muda huu uvumilivu ulinishida nikamgeuza nikaingiza na nikaendelea kuhit from the back mpaka akanambia ni stop maana alisema anaumia pia kachoka.

Baada ya kutoka bafuni na kujiandaa nilikuta missed call za kutosha na saa ilikuwa inaonesha ni saa 4 usiku. Kulikuwa na missed call 2 za mama J, Lucy alikuwa kapiga mpaka kachoka, sumaiya naye alipiga, Asmah, Mary na Prisca pia walikuwa wamenicheki, na mimi niliamua kumpigia wife tu.

Baada ya kumpigia wife alikuwa anasema alikuwa ananipigia ili niongee na bibi yake alikuwa anataka kunisalimia hivyo muda umekwenda mpaka kesho, tuliongea masuala mengine ya kule na tukaagana. Nilitoka kwenda seblen na nilimkuta Iryn amelala kwenye coach na akasema yeye hajapika chochote na hawezi kupika kachoka hivyo tuliamua kwenda kula Tripple 7.

Nilirequest usafiri wa kutupeleka maeneo yale maana funguo ya gari ilikuwa na Mlinzi, na haikuchukua muda jamaa alikuja kutufuata. Kutoka kwa apartment mpaka Triple 7 hata sio mbali na baada ya kuwasili pale tuliagiza soup, kwa upande mwingine Iryn alikuwa kimya na alionekana kuwa na aibu sana, kwa upande wangu ilibidi nianze kumsifia pale,

“Mummy wewe ni mzuri sana kwakweli leo nimeenjoy, una coochie tamu sana, una umbo zuri kwakweli unavutia na hii siku itabaki kuwa historia kwenya maisha yangu.”

Kwa upande wake aliniangalia afu akatabasamu lakini hakusema kitu. Tulitumia kama nusu saa maeneo haya na kabla ya kuondoka tulinunua wine 2 na tukarudi home.

Baada ya kurudi home muda huu tulianza kunywa wine na tulikuwa tumekaa kibarazani upande wa nyuma wa seblen tukipulizwa na upepo mwanana wa Bahari ya hindi. Kama kawaida Iryn alikuwa anaona aibu sana hata nikimuangalia machoni alikuwa anapepesa macho.

“Mummy usiniambie leo umeanza kunionea aibu hata kuongea na mimi hutaki, mimi nitaondoka zangu.”

“Don’t go please..”

Iryn alibadilika na alikuwa mpole sana na muda huu aliniangalia na mimi nikamvuta kwangu tukaanza kuchezana ndimi zetu pale kwa dakika kadhaa na tukaendelea kunywa. Baadae kidogo alinambia anakwenda chumbani kulala na nitamkuta huko, na mimi niliendelea kukaa pale mpaka nikamaliza chupa yangu ndo nikaingia ndani.

Baada ya kuingia chumbani nilimkuta kalala na alikuwa kavaa night-dress ambayo ilikuwa ikimchora maungo yake vizuri sana. Baada ya kumwona kalala kizembe kitandani mnara ulianza kisoma frequency tena na ulisimama wima kwaajili ya mashambulizi. Muda huu nilivua nguo nikabaki na boxer nikapanda kitandani, uvumilivu ulinishinda nikaanza kumshika na kuchezea makalio yake na yeye alianza kunichezea mgongo na kifua changu.

Tulianza kubadilishana lita za maji pale kwa kasi sana na mimi muda huu nilianza kuzinyonya chuchu zake taratibu, kwa upande mwingine alikuwa kashalowa muda sana na mlango ulikuwa upo wazi tayari kwa kuanza mashambulizi ya KITALIBAN. Muda huu sikutaka kuwa na madoido sana bali nilitaka kuanza kazi maana AK-47 yangu ilikuwa imesimama barabara tayari kwa mashambulizi.

Nilimbetua nikamweka “Doggy style” na nikaanza mashambulizi ya nyuma na muda huu nilikuwa naenjoy sana kulishika kalio lake laini, baada ya muda kazaa akajiposition kwenda “Leap frog style” muda huu P*ssy was so tight na joto nililokuwa nafeel ni hatari.

Kwa upande wa Iryn yeye miguno na kelele za utamu zilikuwa nyingi sana na baadae alianza kulalamika kuwa amechoka na nina muumiza na alikuwa akihema kwelikweli. Kwa upande wangu nilikuwa nawasikilizia wazungu lakini walikuwa bado hawataki kutoka, hivyo niliendela kuongeza spidi maana nilikuwa nasikia raha sana.

“Baby I am tired you’re hurting me.”

“I’m cummin soon baby I can feel it.”

“Don’t take so long please…”

Haikuchukua muda mrefu na wazungu wakatoka shwaah!, match haikuwa ndefu sana lakini nilikuwa hoi sana na Iryn naye aliishia kulala huku amenikumbatia.

******
Asubuhi baada ya kuamka pale kitandani nilikuwa peke yangu, Iryn alikuwa kanitangulia kuamka, nilicheki muda na ilikuwa saa 3 asubuhi na kwa upande mwingine Mama mlinzi alikuwa kanipigia simu. Nilim-call back na kubwa alikuwa anataka kunikabidhi key ya gari, kwa upande wake hakuwa na maswali sana maana kama mtu mzima alikuwa kashaelewa kilichokuwa kinachoendelea. Nilimshukuru sana kwa kunipa ruhusa na nilimwambia tumeyajenga tayari na kwa upande wake alifurahi sana kuzisikia hizi taarifa. Huyu mama mlinzi ni tunapatana sana kwakweli hizi elfu 10, 20 nampaga sana ndomana hakusita kuniruhusu kuingia ndani.

Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nikasema nivae nguo kabisa lakini cha ajabu sikuziona nguo zangu na nilitafuta kote sikuziona. Nilitoka chumbani kwenda seblen na Iryn alikuwa jikoni anapika na baada ya kumuuliza nguo zangu akanambia amezifua,

“Mummy sasa naondokaje?”

“Utabidi usubiri zikauke sawa? Nisingeweza kukuruhusu utoke na nguo chafu pia nataka mchana twende wote ofisini.”

“Sasa mbona umesahau kufua boxer?”

“Ulikuwa umeivaa afu sikutaka kukuamsha maana kama kazi jana umeifanya, leo ndo nimejua kwanini mama J anakupenda sana.”

Kwa upande wangu sikuwa na cha kusema ilibidi niwe mpole tu na nilikaa seblen nimetulia na boxer yangu kama baba mwenye nyumba. Baada ya dakika fupi niliandaliwa soup dining na alikuwa katengeneza na chapati za maji, tukawa tunakula pale kwa leo hakuwa na aibu kabisa na tulikuwa tunaongea sana,

“Mummy wewe ni mtamu sana nimetembea na wanawake tofauti ila wewe ni kiboko hata hukinai.”

“Insider unajua umenichubua sana jana usiku, hata kukojoa tu nasikia maumivu.”

Ukweli hata mimi muda ule nilikuwa nasikilizia maumivu maana mashine yangu ilikuwa inauma balaa,

“Pole sana si unajua na ugwadu sana wife hayupo.”

“Na mdogo wake Mary mwenye mimba yako?”

“Prisca hana mimba yangu lakini ukweli alikuwa mchepuko wangu.”

“Insider nilikuwa nawasikia vizuri mnavyoongea hivi mama J akizipata hizi taarifa atajisikiaje?”

“Iryn ukweli yule demu hajui kinachoendelea kati yangu na Prisca, ni kwamba Prisca Mimba iliharibika toka kipindi kile niko Dodoma hata home nilikwenda sababu ya hili na ilibidi niongee na mama.”

Na muda huu nilijifanya kama nimeumizwa sana na lile tukio hivyo niliinuka nikaacha kula nikaenda kukaa kwenye coach, muda huu Iryn naye aliinuka akaja kwenye coach.

“Insider pole what happened?”

“Hata sijui mimi nilipigiwa simu na Mary na akanipa hizi taarifa ila mama yake anasema Prisca ana matatizo yake binafsi kwenye uzazi.”

“Mhh! haimake sense watakuwa wametoa. Na alikuwa anajua kuwa una mke?”

“Na ndo kitu cha kwanza kumwambia before hatujaamua kuwa kwenye mahusiano, na kusema wametoa mimba sidhani kama wamefanya hili maana imeharibika ina miezi 3. Hata hivyo ilitokea bahati mbaya kwanza najuta sana kuingia naye kwenye mahusiano na huyu mwanamke lakini haya yote alisababisha mama J, mpaka nikaanza kuchepuka. Tumeachana hata hivyo.”

“I don’t trust you, since nikutane naye pale Palm village I knew nyinyi ni wapenzi ila ulinikatalia, nimekuja kujua live lakini bado unanidanganya.”

“So you don’t trust me?”

Nilitoa simu yangu kumuonesha chats zake alizokuwa ametuma kuhusu kuniomba nisimwache na yuko tayari kufuata sheria zangu zote. Iryn baada ya kuziona zile texts za Prisca alianza kuhuzunika na alikuwa anatoa kejeli,

“So mmeachana jana?”

“Jana ndo ilikuwa officially ila nilimwacha toka sakata la mimba litokee sema sikutaka kumwambia direct kipindi kile maana ningeweza kumsababishia matatizo ya kiafya.”

“Okay but sidhani kama mtaachana maana anaonekana bado anakupenda na hataki kukupoteza, unajua baada ya kusex na wewe nimebaini kwanini hawa wanawake wanakupenda?. Kwa muda mrefu nilikuwa najiuliza sana haiwezekani akina Lucy, Sumaiya, Asmah na huu mchepuko wako wakung’ang’anie hivi, Insider You’re fuckin’ beast.”

“Kwahiyo unataka kusema nimetembea na rafiki yako Lucy? na Asmah bado unaamini?”

“Atleast can I trust Lucy but not for Asmah, najua mnakutana kwa siri hata kwenye apartment yake huwa unakwenda, hizi taarifa nazipata.”

“Sio kweli na huyo anayekwambia haya anakudanganya mummy, mimi na Asmah hatuna kitu chochote tunachofanya, kuwa makini sana yasijekuwa kama ya Muajemi.”

“Tuachane na haya, mama anasemaje kuhusu hili suala la huyu b*tch?”

“Mama alimind sana na alinisitiza sana tuachane before it’s too late.”

“Kwa upande wako ulikuwa tayari kuwa na mtoto wa nje? na vipi kama mama J angejua unafikiri ingekuwaje?”

“Ndio nilikuwa tayari maana mtoto ni baraka na kuhusu mama J ningekuja kumwambia hata badae huko nadhani angeelewa tu, maana yeye ndo aliyasababisha.”

“Insider kwa hili pole sana, nimekuonea huruma ina onekana lilikuumiza sana but kila kitu ni mipango ya Mungu huwezi jua pia alikuepusha na nini, twende tukale.”

“Na siku ile ulitaka kuongea nini?”

“Hata usithubutu kutaka kuniuliza kuhusu ile siku maana uliniumiza sana, na pia naomba kwa hiki tulichofanya ibaki kuwa siri yetu na hakitakuja kujirudia tena, ni accident hata sijui imekuaje tumesex.”

“Sawa haina shida mimi sijakuforce kunipa coochie ni wewe uliyenipa kwa ridhaa yako, nafurahi leo nimeweka historia ya kumla moja ya mwanamke mrembo hapa Duniani. Hii siku sitokuja kuisahau hapa Duniani mpaka nakufa, nashukuru sana kwa kunitunuku mummy, mimi naheshimu sana mawazo yako, najua unanipenda sana lakini una act like you don’t care.”

“Insider una vituko sana wewe.”

“Naona furaha yako imerudi maana jana umepiga bao nyingi sana.”

“Mimi naenda kulala mpaka naamka nguo zako zitakuwa zimekauka.”

Iryn alikwenda kulala na mimi nilikuwa nimekaa pale seblen na muda huu nilikuwa nawaza “ni nani ambaye anampa Iryn udaku?, Maana mimi na Asmah tunakutana kwa siri sana, hapana hili lazima nilifanyie kazi na nitaanza research.”

Kwa upande mwingine utamu wa Iryn ulinipagawisha na nilijikuta natamani kuendelea kuwa naye maana utamu nilioupata ni wa kipekee, hivyo niliona bora nimtongoze tu ifahamike moja maana hata yeye ananipenda maybe anasubiri mimi nimfungukie. Ukweli nilikuwa nimetembea na wanawake tofauti lakini sio sana maana mimi sio muhuni, lakini Iryn ana utofauti sana asee ni mlaini, ananyumbulika kitandani, anajua mapenzi afu coochie yake ni hot, Prisca alikuwa ananipagawisha lakini Iryn funga kazi. Naomba tuishie hapa, that night was crazy.

BETTER LATE THAN NEVER

[emoji444] Drake- Virginia Beach

EPISODE 64 [emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Iryn KALIWA KIMASIHARA AISEEEE,HAPA MOVIE NDO MWISHO STERLING KAFA
 
Jamaa anaringa sana kama mtoto wa kike.
Jisomew hata neno la Mungu achana na mitandao isikutumie Bali uitumie. Kwani tokea umeanza kusoma story yake Kuna nini umepata cha kurithisha kwa wajukuu zako ama kuwadithia. Wala hajakuita ,yaani nyie ndio mnaofanya internet inaongezeka Bei Mana inatumika kwa Mambo ya kutafuta Raha.
Tafuta elimu how to invest na ununue hisa za kuja kurithisha wajukuu zako. We've a lot to do in this universe before leaving it than reading and seeking cheap brain dopamine to raise your level of boredom so you wanna feel happy and excited.
Tafuta kitabu usome about our brain utafaidika kuliko kusoma hadithi za namna ya kula mbususu ambazo hazikusaidii.
Soma namna ya kula vyakula vya asili kunavyoweza kuondoa magonjwa mengi ambayo yanatokana na life style.

Najua ubongo ambao mother nature utakuja ku criticize,kunitukana,kunishauri kuwa siko sahihi, ama kuwa namie nimekosa cha kufanya, najua Mana hisia,Imani,mawazo na mtizamo wetu umekinzana. Hakuna marafiki ambao wanakinzana Kila Jambo Bali Kuna maadui.
Njoo unipinge Mana najua ubongo uliopo ni kutafuta pleasure na kukwepa maumivu hata ya ukweli tu hautaki.
 
Jisomew hata neno la Mungu achana na mitandao isikutumie Bali uitumie. Kwani tokea umeanza kusoma story yake Kuna nini umepata cha kurithisha kwa wajukuu zako ama kuwadithia. Wala hajakuita ,yaani nyie ndio mnaofanya internet inaongezeka Bei Mana inatumika kwa Mambo ya kutafuta Raha.
Tafuta elimu how to invest na ununue hisa za kuja kurithisha wajukuu zako. We've a lot to do in this universe before leaving it than reading and seeking cheap brain dopamine to raise your level of boredom so you wanna feel happy and excited.
Tafuta kitabu usome about our brain utafaidika kuliko kusoma hadithi za namna ya kula mbususu ambazo hazikusaidii.
Soma namna ya kula vyakula vya asili kunavyoweza kuondoa magonjwa mengi ambayo yanatokana na life style.

Najua ubongo ambao mother nature utakuja ku criticize,kunitukana,kunishauri kuwa siko sahihi, ama kuwa namie nimekosa cha kufanya, najua Mana hisia,Imani,mawazo na mtizamo wetu umekinzana. Hakuna marafiki ambao wanakinzana Kila Jambo Bali Kuna maadui.
Njoo unipinge Mana najua ubongo uliopo ni kutafuta pleasure na kukwepa maumivu hata ya ukweli tu hautaki.
Ili maisha yakamilike kwa binaadam lazima pande zote za maisha ziwepo. Social ni moja ya pande hizo na ndo maana tuko hapa tunaburudika na hii hadithi iwe ya kutunga ama ya kweli. Inge kuwa haina maana basi fasihi is Inge kuwa inadundishwa mashuleni
 
Back
Top Bottom