Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Source ya hii taarifa please
Hakuwa kijana. Alikuwa mzee mchamungu sana na mwenye hekima.

Yes alikuwa mjane na alibarikiwa watoto 7; Wanne wa kiume na watatu wa kike. Marehemu mkewe alikuwa akiitwa Salome.

Licha ya uzee, inawezekana alikuwa handiiiiii kama JK.. Si ajabu!
 
Ungetoa exactly vifungu....!!!
Hili swali nimeshalijibu mara mbili hapo juu. Soma vizuri Injili ya Luka na Isaiah kidogo.. Pita pita kwenye maandiko yahusuyo nyakari na vizazi kisha unganisha dots..

Mimi nimechukua muda kukusanya na kuweka pamoja tu, sio mawazo yangu binafsi.
 
Mkuu usipotoshe watu rudi ulikochukua hii story,wao wenyewe wamesema hakuna ushahidi wa kutosha kwamba Joseph alikuwa ameoa kabla ya Mary.Unapoandika mambo ya Mungu bila andiko hata moja la kussuport unachokisema hapo shetani huwa anakuwa na nafasi sana.Kuna watu wamekuomba uendelee na hii story,najua huwezi kuendelea nayo kwani ulipoishia ndipo chanzo kilipoishia ndiyo sababu una waambia utaleta story zingine.
Unaombwa maandiko unawaambia watu wasome Luka na Isaya kidogo hii ni kwa sababu hakuna maandiko yanayosupport ulichoandika ila kama ni hadithi hapo sawa.
Pia mwanaume aliyefiwa na mke wake anaitwa "mgane" na siyo "Mjane " kama ulivyoandika kuhusu Joseph, hii inaonyesha lugha ni shida.Kuwa makini ndungu yangu ,utakula matunda ya maneno ya kinywa chako.
 

Napenda maoni mbadala lakini yasiwe conclusive kama hivi. Umeniita Muongo lakini ukashindwa kuweka ukweli sijui unamaanisha nini?

1. Unasema hakuna ushahidi kuwa Joseph alikuwa ameoa, mimi nimekupa clues za ushahidi mpaka jina la mkewe na idadi ya watoto waliozaa (ninayafahamu mpaka majina yao wote). Nadhani hapo palitosha kukupa sehemu ya kuanzia kwenda kufuatilia zaidi mkuu wangu.

2. Sikukataa kuendelea na story kwa sababu ulizozitaja wewe mkuu. Nimeeleza vizuri tu kwamba story inavyoendelea kila mtu anafahamu kwa kuwa masimulizi ya Bikra Maria kupokea ujumbe wa Mungu yapo popular na ndicho kilichokuwa kinafuata. Mimi nilitoa background tu ambayo wengi hawaifahamu kwa sababu haipewi kipaumbele ila IPO.

3. Unasema nimeshindwa kutoa maandiko halafu hapo hapo unakiri nimeeleza kuwa source ni Injili ya Luka, kipi ni kipi boss?

4. Asante kwa kunisahihisha ndugu yangu. Hivi ndivyo yapaswa kuwa. Nilisahau kutumia Mgane badala ya Mjane. Ni makosa ya kawaida hayo boss kikubwa ujumbe umeeleweka.

Cha msingi, naomba nieleweke kuwa sijaweka historia hii kwa lengo lolote baya, ni katika kupeana elimu tu. Nilitoa ruhusa pia ya kuulizana maswali na kueleweshana juu ya niliyoyaandika. Ni vyema sehemu unayohisi nimepotosha, ukaweka usahihi wake ili twende pamoja kiongozi.

Au unaonaje?
 
Ungetoa exactly vifungu....!!!

Heshima yako mkuu Katavi.

Nitajitahidi kufanya kazi ya ziada kukusanya vifungu kadhaa vinavyosapoti hayo niliyoyaeleza. Ningependa uainishe ni eneo lipi zaidi ungependa nikupatie vielelezo vyake.

Naamini hii ni kiu ya wengi pia so nitajitahidi kutafuta wasaa wa kuviweka pamoja hapa..

Asante.
 
Ushahidi kutoka kwenye biblia? au chanzo chohote kinachoaminika?
Ukisema injili ya Luka au Isaya ni too gnereal kuwa specifi,kama ni Luka sema Luka sura ya ngapi mstari wa ngapi?The same applies kitabu cha Isaya.
Watu wamekuuliza maswali kwa sababu umewapa mambo mapya sasa ni lazima uwe na ushahidi wa kutosha siyo mere words mkuu.
 
Umesoma kwenye kitabu gani kwenye biblia? TOBITA?
 
Kumbe Joseph alikuwa kikogwe!!!Ndiomana simsikii tena ktk simulizi za maisha ya Yesu,sijui alikufa mapema kabla ya kukombolewa Msalabani na mtoto YESU?
 
Kwa hiyo maria ni Mungu.?
 
Hili swali nimeshalijibu mara mbili hapo juu. Soma vizuri Injili ya Luka na Isaiah kidogo.. Pita pita kwenye maandiko yahusuyo nyakari na vizazi kisha unganisha dots..

Mimi nimechukua muda kukusanya na kuweka pamoja tu, sio mawazo yangu binafsi.
sa kama umechukua muda kuweka andiko hapa ulishindwaje kunukuu hivyo vitabu unavyovitaja, yaani nisome Luka nzima kutafuta ushahidi wa mawazo yako???? em kuwa siriazi aisee
 
Mtumeee
 
kwahiyo wakati Yesu anaanza kazi ya kutangaza ufalme wa Mungu akiwa na umri wa miaka 30 Yosefu alikuwa ameshagonga miaka 100?
 
Hakuwa kijana. Alikuwa mzee mchamungu sana na mwenye hekima.

Yes alikuwa mjane na alibarikiwa watoto 7; Wanne wa kiume na watatu wa kike. Marehemu mkewe alikuwa akiitwa Salome.

Licha ya uzee, inawezekana alikuwa handiiiiii kama JK.. Si ajabu!

Nafikiri ulimaanisha mgane
 
unarukaruka tu na unashindwa kutetea upuuzi wako uliouleta humu
1. umejibu pumba sana eti nimekupa ushahidi hadi jina la mkewe na idadi ya watotao,kutaja jina ndio ushahidi kwani ungetuambia anaitwa janeth na ana watoto 30 si kila mtu anaweza kutunga tu,huo kwako ndio ushahidi? ***
2.hujaambiwa uendelee kwenye story inayofahamika,umeambia uendelee hapo ulipoishia kwamba mary na huyo mzee joseph ulisema wameona ikawaje maana sisi tunajua walikua wachumba tu na hakuwahi kulala nae ,unauizwa unarukaruka

3.umeambiwa umeshindwa kutoa maandiko maana ukiambiwa unajibu kihuni eti soma luka na kidogo isaya hilo ndio andiko gani,sema kifungu specific watu waende wakaone mary aliolewa akiwa 13yrs na kizee cha miaka 80.maana hiiyo injili ya luka na isaya kidogo ulivyotaja kihuni watu wamesoma hawajaona huo uzushi

usipotoshe uma
 
Ni kweli Joseph was much older than Mary lkn si kwa tofauti hiyo ya miaka. Na Joseph hakuwahi oa wala kuwa na watoto. Soma au sikiliza audio ya kitabu cha "life of virgin Mary".
 
Mzee mbona kama umepaniki hivi? Utaelewa kweli ukiwa na attitude hiyo ya kutusi? Una maswali ya msingi lakini unaharibu kwa kujibebesha mihemko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…