Jinsi Chelsea wanavyoongea mitandaoni unaweza dhani ni Yanga kumbe hamna kitu

Jinsi Chelsea wanavyoongea mitandaoni unaweza dhani ni Yanga kumbe hamna kitu

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
FT
Chelsea 1 - 1 Crystal palace

Hii timu ilishajifia kitambo ila kabla ya game jinsi inavyosifiwa mitandaoni unaweza dhani ni Young africans sc inacheza, kumbe kiuhalisia ni ukolo mtupu! Kuondoka kwa tajiri Abramovich litaendelea kuwa pigo!
 
FT
Chelsea 1 - 1 Crystal palace

Hii timu ilishajifia kitambo ila kabla ya game jinsi inavyosifiwa mitandaoni unaweza dhani ni Young africans sc inacheza, kumbe kiuhalisia ni ukolo mtupu! Kuondoka kwa tajiri Abramovich litaendelea kuwa pigo!
Naona unatumia kila UPENYO, kuusifia UTOPOLO! Huna tofauti na yule Waziri aliyeokotwa jalalani!
 
Laana ya kumnyang'anya timu Abromovic Ila yanga haijafikia hata level ya kufananishwa na Esperance halafu wanairukia Chelsea kweli huko wenye akili ni watatu ukiongeza Mzee Magoma.
 
Back
Top Bottom