Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

Kwa kweli MUNGU awape utambuzi wa mapema

Unajua watu wengi wamejikuta wanatafuta njia ya mkato hapo ndio wanapo pigwa kama hawa
 
Kumbuka ndio walikufanya unabwabwaja hapa nilikwambia wewe akili zako ndogo sana . Taasisi gani haitapeliwi tuanzie hapo
Wingi wa walimu na status walio nayo ktk jamii,na namna rahis ya kuwapata km kundi inachangia wao kuonekana sana.Lkn si kweli kwamba wao ndio waliotapeliwa tu.Qnet imetapeli wengi sana,kuanzia wajasiria mali,wafanyabiashara wa kati na hata machinga watu wamenyooshwa sawa sawa.Ila kikubwa watu hawajifunzi na hata ukiwaambia hueleweki kisa hela za chapchap.

Kwa jinsi pyramid schemes zilivyo watu wa mwanzo wachache huwa wanafaidika lkn kundi likishakuwa kubwa sir rshisi kujiendesha tena.Na Ndio wakat wa wale wajanja wachache kupiga hela za kutosha.
 
Hahahaaaaa......gud morning to you! Nmecheka sana 🤣🤣🤣
 
Lazima ni Caty huyu.. keupe kembamba kalinunua BMW anadanganya sana watu.. kana Masters mwalimu wa UDSM na kaliacha kazi.. kashenzi sana. Bora umekatia
 
[emoji106][emoji106]Best inference! Mkuu itafutie hati miliki! Awesome!
 
We jamaa huwa sikuamini, sijui ni kwa nini
 
Q net ni biashara mtandaoni. Na ipo huru
Kweli ipo huru kuwalaghai na kuwatapeli watu kwa ahadi ya kuwa mamilionea.

NB. Huwezi kutajirika kwa kuchangishana pesa, bali utatajirika kwa kuuza bidhaa/huduma sahihi kwa wakati sahihi
 
Kuna manesi pia wamepigwa sana,namkumbuka nesi mmoja pale mnazi mmoja hospital ndiyo alikiwaga dalali wao.alikuwa anaimbisha manesi wa kike ili wawe conected. anaye shitukia deal na kuchomoa kabbla hawajampiga alikuwa ana mchukia balaa.
sema pia nadhani walikuwaga conected na loan oficers.sababu inasemekana walikuwa wanakuunganishia mkopo NMB unaupata ndani ya mda mfupi sana,ilimradi wewe ni mtumishi wa umma na umekubali kujiunga nao.

Serikali ifanye uchunguzi wa kina itapata mengi humo
 
Mafufuli ashasema mambo ya kwenda na Camera kila mahali yashapitwa na wakati
 
Wenzenu wanaenda Betting kuweka mikeka


Ila nyie mnaenda Qnet[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…