Jinsi Eric Shigongo alivyojiunga Chuo Kikuu akiwa na elimu ya msingi

Afanye huo mtihan wa form four anaogopa nn, kama alihonga huko akadhan UD atafanya janja janja aende hukoko alikopata shahada yake
ANAOGOPA KUPIGA ZERO FORM FOUR SIO MCHEZO

Ataibuka na division zero aabishe hiyo degree ya kununua na kufanyiwa research afanye mtihani wa form four kama kweli kichwani zimo

Aende kujisajili vituo vya private afanye tuone
 
Yeye si genius toka la 7 mpk degree afanye tuu masomo saba yale apate hicho cheti. Unajua anag'ang'ania asome UD sbb anataka statasi tuu. UD kazeni alete cheti cha form four tuu tena chenye C tano.
C tano hawezi toboa.MTIHANI WA FORM FOUR HAUIBIWI WALA KUHONGEKA ATARUKA NA DIVISION ZERO HUYO SANA KAJITAHIDI ATAPATA DIVISION FOUR YA MWISHONI

UDSM WAKO SAHIHI AKAFANYE MTIHANI WA FORM FOUR
 
Utakuta asilimia kubwa ya wafanyakazi wa TCU walikuwa UDSM kabla including akina Prof Baregu.
 
Hongera Shigongo.

Uzi huu umejaa mawazo ya kizamani kwamba elimu lazima iwe Darasa la Saba>Sekondari>A-Levo>Digrii. Njia yoyote nyingine mtazamo wa kizamani unaiona ni wa kambo. Sasa ni wakati muafaka kwa serikali kuhuisha mfumo rasmi wa kulinganisha elimu.

Mlenge
 
Elimu haina ujanja ujanja
 
Huu utaratibu hata Ulaya upo, mradi uwe na miaka 21 na unajua kusoma na kuandika. Lakini kuna course unaifanya kwa mwaka mmoja kupata credits za kuingia chuo. Katika hiyo course unafundishwa jinsi ya kuandika essay, kupeleka assignments, hesabu na Lugha ya kufundishia katika nchi uliyopo.
 
Vyuo vikuu vingine ni kichekesho. Utampokeaje mtu wa darasa la 7 chuo kikuu? RPL haisemi hivyo. Kuna gap kubwa sana kutoka darasa la 7 mpaka chuo kikuu. Ni lazima afike Form 4 halafu elimu ya Form 5-6 yaweza kurukwa kwa kutumia RPL au kwa wakati wa zamani kutumia Mature Age Entry processes. Chuo kikuu cha Tumaini kijitafakari kabla ya kujitakafarishwa kwa lazima kwa manufaa ya elimu ya juu wanayoidai kuitoa. TCU toeni ubabaishaji huu wa kitaaluma.
 

New Zealand wana huu utaratibu, lakini mchujo wake si wa kitoto
 
Na hao watu wa kizamani ndio wameshika nafasi nyeti katika maamuzi ya kielimu.

Mimi si muumini wa ujinga huo.
Ila ninachokiona,ni hawa wasomi kutaka kuleta vikwazo ili waendelee kubaki wachache.Wengi wanaogopa changamoto kutoka kwa watu ambao hawakupitia mifumo hiyo
 
Nmebahatika kumsikiliza huyu jamaa. by the time alikuja chuoni kwetu so event ilikuwa ya kingereza.

Ana english nzuri kuliko pHD holders wengi ninaowafahamu.
 
Nmebahatika kumsikiliza huyu jamaa. by the time alikuja chuoni kwetu so event ilikuwa ya kingereza.

Ana english nzuri kuliko pHD holders wengi ninaowafahamu.
Inategemea na Phd ya nini! Kama ni ya sayansi hapo sawa lakini siyo huko kwa malingust
 
ANAOGOPA KUPIGA ZERO FORM FOUR SIO MCHEZO

Ataibuka na division zero aabishe hiyo degree ya kununua na kufanyiwa research afanye mtihani wa form four kama kweli kichwani zimo

Aende kujisajili vituo vya private afanye tuone
Huo mfumo hauwezi ndiyo maana la saba alifeli, Mfumo wa msingi na secondary unapimwa kwa kukariri matakataka mengi sana ambayo kwake siyo kipaumbele,
Anaweza kurudi huko bado watataka kumdahili kwa matokeo ya la saba ambayo hana, alifeli!

Pia hata wakimchukua QT atajikuta anafauli English na kiswahili halafu masomo mengine F, F, ,F kiasi cha kuondoka na zero au div 4, ambapo kwa mliman WATAMKATAA.

Diamond ukimpa mtihani wa kuandika anapata sifuri lakini ukimpima kwa kuimba na kucheza anapata A,
Elimu itambue engo za kuwadahili watu kwa vipaji vyao waache kupimia kipimo kimoja ni kuuwa vipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…