Jinsi Eric Shigongo alivyojiunga Chuo Kikuu akiwa na elimu ya msingi

Hina tofauti na foundation course?
 
Sio huu Uzi Duniani kote ndio utaratibu tokea enzi na enzi,ni kama mwanaume huwezi MPA mimba mwanamke kama hujapitia barehe.
Ni mfumo ya kidunia ipo hivyo,by the way now days unaweza Fanya mitihani ya QT kwa miaka 1 kwa nini asifanye??
 
Kwa hiyo mnataka kumaanisha elimu ya sekondari ni ngumu kuliko ya chuo kikuu?

Kama ndivyo basi kuna tatizo kubwa katika elimu yetu
Kwa darasa la saba kama Shigongo haijalishi ajaribu ndie kitakuwa kipimo
 
Diamond ukimpa mtihani wa kuandika anapata sifuri lakini ukimpima kwa kuimba na kucheza anapata A,
Elimu itambue engo za kuwadahili watu kwa vipaji vyao waache kupimia kipimo kimoja ni kuuwa vipaji
profeesiona l singing na dancing atapata zero wampeleke chuo cha sanaa bagamoyo akapimwe

kifupi hwezi andika muziki huyo uimbaji wake wa kuffoka foka unavutia tu age fulani ya illiterates

yeye sio proffesional musicians hakuna
 
Best student Best student Tumaini?
 
He is just a good story teller. His fight for success ain't that inspirational.
 
Aisee hili linafikirisha na kutafakarisha kwakweli Kuna haja ya Elimu yetu Na mifumo yake kutazamwa Upya
 
Best student
Best student Tumaini?
Haya wamchukue awe mwalimu na hiyo GPA yake ya 4.8 !!! UDSM wameona hatari iliyoko mbeleni kuja kuwa na leturer standard seven!!!!

Kwa GPA waliyompa aweza kuwa mwalimu chuo kikuu!!!!
 
Ukizingatia lugha ya kufundishia ilimpa shida, kama grammar inampa shida amiwezaje kuandika essays za kumpa GPA 4.8!

Kama nmemuelewa ni kuwa kupangilia sentensi anajua ila sasa ukija kwenye sijui hii inaitwa Article, hii Adjective, hii Noun na ile ni Verb ndio anapoteana

Ni kweli kabisa mtu unaweza kuandika sentensi sahihi kabisa ila usijui ni kwanini umetakiwa kuiandika hivyo ulivyoandika.

Ni sawa na hizi comment zetu huku tukianza kuulizana Mofimu zipo wapi mara Viwakilishi na Vitenzi tutapoteana, ila haimaanishi kuwa somo la Kiswahili tulifeli sekondari, na wapo ambao hawakuvisoma kabisa ivyo ila wanaandika Kiswahili safi kabisa.

Swali langu ni alifaulu vipi Communication Skills?, au Course Work ilimbeba beba hapo akapata izo B alizozitaja [emoji848]
 

Mimi si muumini wa wanafunzi kufeli sana ndio ubora wa chuo ila hapa kwa Shigongo imebidi niazime hii falsafa kwa muda TUDARCo hawapo serious.
 
Kwa hiyo mnataka kumaanisha elimu ya sekondari ni ngumu kuliko ya chuo kikuu?

Kama ndivyo basi kuna tatizo kubwa katika elimu yetu
Yeah kwa Tz Elimu ya sekondari ni ngumu kuliko ya chuo, hii ni obvious na inafahamika.
 
Yes, kipindi cha 2012/13 nilidahiliwa na kujiunga course ya namna hiyo, kupitia Kaplan International students programme, nikaenda nikasoma kwa muda huo na nikafanikiwa kufaulu vizuri tu...elimu ya wenzetu kimfumo inalenga kumuinua mlengwa kiuelewa na ufahamu, wakati ya kwetu inalenga kukaririsha na kuchuja waliofaulu na wasiofaulu.
 
Kwa dara la saba kama Shigongo haijalishi ajaribu ndie kitakuwa kipimo
kwani wewe hujawahi kuona tingo wa roli akiendesha scania 113 kabla ya kujifunza rand rover109 ndoki wala ist.!

Wacheni kukariri elimu ni uwekezaji mwengine ni jukumu la anayetaka kuwekeza kwa faida yake sio Dini hiyo
 
kwani wewe hujawahi kuona tingo wa roli akiendesha scania 113 kabla ya kujifunza rand rover109 ndoki wala ist.!
Kuendesha porini sio barabarani akikutana na Traffic anaanza kujiharishia.KUENDESHA GARI SI TU KULIPELEK MBELE NA KURUDISHA REVERSE!!!
 
Hii degree ni Sawa na ile ya Shetani Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…