Akafanye mtihani wa O LEVEL ndipo matokeo yakitoka atamwamkia Shikamoo Profesa NdalichakoAnaogopa au? Chuoni unaweza Fanya chochote ukiwa na fedha ila o'level inaugumu sio kidogo
kweli.Ukiwa na vijipesa unaweza nunua chochote!
Ova
Mbona huku haupo kwa watu wote ,kwa mara ya kwanza umesikika kwa Tajiri!!!!!Huu utaratibu hata Ulaya upo, mradi uwe na miaka 21 na unajua kusoma na kuandika. Lakini kuna course unaifanya kwa mwaka mmoja kupata credits za kuingia chuo. Katika hiyo course unafundishwa jinsi ya kuandika essay, kupeleka assignments, hesabu na Lugha ya kufundishia katika nchi uliyopo.
Na wala hakuandaliwa kwa masomo ya juu wala hakupata credits au sifa stahiki.Mbona huku haupo kwa watu wote ,kwa mara ya kwanza umesikika kwa Tajiri!!!!!
kajipatia degree kwa pesa yake.Na wala hakuandaliwa kwa masomo ya juu wala hakupata credits au sifa stahiki.
Acha majungu na fitna, sio ana vihela, ANA HELA yaani! Na kakuzidi sasa.Angekua wa kike ningesema hiyo ni Degree ya chupi.
Kwa kuwa ni wa kiume na ana vihela I bet hiyo ni Degree ya Kuhonga.
Oooh! Why!?Inaweza kuchangia watu kukwepa sekondari na kurukia chuo.
Elimu ya chuo kikuu ilibuniwa for Gold people sio kwa kila mtu.
Vocational ndio for iron people.
Bila pyramd dunia haitatawalika.
Mnayafanya maisha kuwa magumu sana
Necta ndio kitu gani ?!
Mtihani wa Form Four....unamaana gani hasa katika maisha ya Mtanzania?!
Acheni uchawi wa mchana nyie
Ovyo kabisaTusaidie kuficha ujinga wako japo kidogo Mkuu. Unauliza mtihani wa kidato cha nne una faida gani kwenye maisha ya mtanzania?.
Hivi hapa kwetu ukijua kuongea ki-inglishi tayari ni msomi! Mie nadhani inglishi ni lugha tu kama kisukuma au kinyalukolo tu. Kuwa msomi ni kitu kingine kabisa.Nmebahatika kumsikiliza huyu jamaa. by the time alikuja chuoni kwetu so event ilikuwa ya kingereza.
Ana english nzuri kuliko pHD holders wengi ninaowafahamu.
Angepeleka wapi vyeti vya kufoji.Hujui siku hizi kuna mfumo wa kuhakiki.Ataumbuka vibaya kuliko sasa.kwani ajali ina mwenyewe.! Kwanza si mpaka itokee
Tena jamaa ni mstaarabu sana ikitegemea na pesa alizonazo na status aliyonayo kijamii
Wala isingemuwia ugumu kudanganya hivyo vicertificate vyenu vya o'level na advance wala visingekua issue kwake
Ila sema kajitoa kuwapa moyo watu waliojikatia tamaa ya elimu kwa mifumo yenu yakifarisayo
Elimu ya juu huwa naona ni magumashi sana(sababu inanunulika). Kuna mtu anaweza asiwepo darasani zaidi ya mwezi na CA zikasoma poa kuliko mliokaa kitako na kufanya (physically kabisa). Final exams ikija tayari mtu yuko na coverage ya wapi pa kusoma, jiulize amepataje?Kama mtu yeyote akijiunga na chuo kikuu anaweza kusoma na kufaulu, mpaka akahitimu, kwa nini pawepo na ubaguzi wa nani adahiliwe na nani asidahiliwe. Waseme, wewe tu na ada yako. Kama nafasi ipo njoo, jilipie, usome.
Ndio maana mpaka leo Chuo Kikuu Huria kinawekewa mikingamo kuishi kama dhima yake inavyotaka: Huria; kila anayetaka kusoma aje. Siyo kwamba hizo digrii zinatolewa kama sandakarawe.
Kama kweli iko hivyo inanunulika hiyo ni hatari.Elimu ya juu huwa naona ni magumashi sana(sababu inanunulika). Kuna mtu anaweza asiwepo darasani zaidi ya mwezi na CA zikasoma poa kuliko mliokaa kitako na kufanya (physically kabisa). Final exams ikija tayari mtu yuko na coverage ya wapi pa kusoma, jiulize amepataje?
Tupo pamoja, nami nimehisi kuna magumashi yamefanyika.Hongera kwake Erick Shigongo.
Hata hivyo, kuna jambo haliko sawasawa, kupata GPA ya 4.8 siyo kitu cha kawaida. Ni wanafunzi wenye uwezo mkubwa sana darasani ndiyo wanafaulu kwa kiwango hicho, Shigongo anasema alikuwa anapata si zaidi ya 25% akiwa shule ya msingi, yeye ni mwanafunzi wa kawaida. Na hii inakinzana sana na matokeo yake ya shahada.
Mimi sijazungumza habari za usomi. Hivi mbona watu mnakuza mambo?Hivi hapa kwetu ukijua kuongea ki-inglishi tayari ni msomi! Mie nadhani inglishi ni lugha tu kama kisukuma au kinyalukolo tu. Kuwa msomi ni kitu kingine kabisa.
Mimi kuna sehemu nmezunguzia usomi?Na wewe ni muamini wa English mkuu. Yaani iyo ni lugha tu Kama lugha zingine sio kuwa msomi pekee ndiye anayeiongea.
Ungezaliwa uingereza ama kameruni ya kaskazini unaakiongea bila ya kujua kusoma abcd so na hapo tutakuita kuwa wewe ni msomi ama inakuwaje kisa unaongea English.
English sio kuwa wewe ni msomi mkuu.usomi ni kuwa na maarifa fulani ama ujuzi