Jinsi Eric Shigongo alivyojiunga Chuo Kikuu akiwa na elimu ya msingi

Wabongo roho mbaya zimetujaa kumama*make!!dah!!hii nchii hii!!kila mtu anajikuta wazir wa elimu!!kwani shgongo akifanikiwa udsm wewe ku*ma itasababsha cheti chako kabatini kipotee??dah!!
Watanzania wengi wana majungu, wivu na husuda! Na ndio maana wengi wasikini, kutwa wanaishia ku-fake ili waonekano wanazo. F*ck!
 
Shigongo ni muongo. Pale sikonge hakuhitimu mafunzo ya unesi alikimbia. Kipindi hicho tabora ilikuwa na wagonjwa wengi sana wa ukoma. Kuna muda wanafunzi walitakiwa kufanya mafunzo kwa vitendo ikiwa ni pamoja na kuosha wagonjwa wa ukoma. Shigongo aliingiwa kinyaa akahofia kuambukizwa.
Baada ya hapo, alirudi kijijini akawa anatafasiri mikanda ya video miaka ya 92-94 hivi. Tena alikuwa anatafasiri kiuongo uongo tu.
Baadae alifungua zahanati uchwara akawa anatibu watu na hadi alikuwa analaza kabisa lakini wagonjwa wengi waliokuwa admitted pale waliishia kufa make hakuwa na utaalam wa kitabibu. Katika hiyo dispensary yy alijiita daktari mkuu.
Baadae ikaja kujulikana kwamba jamaa anamiriki genge la majambazi na hospital yake ilikuwa inahusika kutibu majambazi.
 

Mkuu mbona unatumia nguvu kubwa sana?, na kwani kuna mahali nimejilinganisha na Shigongo kielimu?, sasa kwanini ulete jambo ambalo halipo?.

Mkuu ungekuwa unajua kujibu maswali ya essay Form Four ungebaki kwenye hoja ya msingi kwenye uzi. Vipi umeona umuhimu wa elimu ya kidato cha nne sasa?.

Unapoongelea elimu fikiria na kizazi chako Mkuu, ungependa kiishie hapo la saba au kifike mbali kielimu, usiwe mnafiki kufurahisha watu hapa.

Mungu yupo na anawapa watu matamanio yao Mkuu. Usipende kuwa mnafiki itaku-cost

Itakuwa jambo jema tukiishia hapa Mkuu, baki na mtazamo wako na mimi ni baki na mtazamo wangu.
 
Nimeamini kweli watu wanamfahamu Shigongo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeamini kweli watu wanamfahamu Shigongo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namfahamu fika kabla hata hajaanzisha gazeti la uwazi.
Nafahamu mengi yanayomhusu yeye ila ni nje ya mada.
Hicho kiingereza kapigwa brush baada ya kuja mjini.
Kiufupi maisha ya Shigongo kwenye harakati zake za utaftaji yamejaa makandokando yakianikwa hapa hakuna wa kumjibia isipokuwa yeye mwenyewe.
 
Hapo ni chuo au kutengeneza kilaza tu, huwezi kuruka step hivyo eti Std 7 hadi University. That is very wrong, huwezi tengeneza wataalam, that is totally wrong. Tusi entertain huu upuuzi kabisa
 
Duuuuh! Jamaa alikuwa na beaf na Uwoja, sijajua ni beaf la aina gani? Alikiri Irene Uwoya.
 
Hii degree ni Sawa na ile ya Shetani Magufuli
Haifanani hata kidogo Magufuli alifuata utaratibu alianza na alisoma o-level na A- level halafu akajiunga na Diploma, degree, masters na baadae PhD . Yule ameishia la Saba unamfananisheje na Magufuli
 
Kwa mfumo huu wa shigongo ilibidi tuu aachane na first degree ilibimbidi aende tumaini akasomee PhD moja Kwa moja aachane na first degree, na Master
 
Hata sijui kwanini waTanzania tupo negative na mafanikio ya watu wengine......
 
Bora umeongea kaka! Yaani majungu majungu tu, na ndio maana Mjerumani alichapa sana viboko babu zetu!
Yaani watu wana roho mbaya na chuki kali dhidi ya mafanikio ya watu mpaka unashangaa kuwa watu hawa wanawezaje kuishi na roho hizo maana ni hatari kwa afya zao........
 
Yaani watu wana roho mbaya na chuki kali dhidi ya mafanikio ya watu mpaka unashangaa kuwa watu hawa wanawezaje kuishi na roho hizo maana ni hatari kwa afya zao........
Mbaya zaidi ni vijana yaani, imagine tutakuwa na Taifa la namna gani miaka 20+ mbele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…