INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
- Thread starter
-
- #61
Mjukuu Hana kosa na Wala siezi mnyooshea kidole mjukuuMjukuu huyo mpokee, hata mama yake ulipomzalisha kuna baba alipata mjukuu. KARMA.
Nalipinga Sana hili swala la mwanamke kutaka usawa na mwanaumeMwanamke hakutakiwa kabisa kuishi nje ya mamlaka ya mwanaume, basi tu ndio hizi sera za usawa na ufeminia zimekuja na kituaribia ustawi wa jamii.
Asante mkuuPole sana mkuu
Mkuu jinsia ya kike ya hovyo sana sasa hivi yenyewe inataka kushindana na mwanaume kukojoa na yeye anataka kukojoa huku amesimama wima huo si wehuTujitahidi kutojumlisha wanawake wote , sio kweli wote wanatabia mbaya
Kwani amesema binti ana umri gani?!Atapoteza muda na pesa Bure,Bora asamehe TU mkuu!akaripoti polisi Kwa ushahidi tu halafu aiache jamhuri kama itahangaika na hiyo kesi!!
Waache wakojoe wakiwa wamesimama...lazima wajikojolee miguuni!!Mkuu jinsia ya kike ya hovyo sana sasa hivi yenyewe inataka kushindana na mwanaume kukojoa na yeye anataka kukojoa huku amesimama wima huo si wehu
Ana miaka 18 mkuuKwani amesema binti ana umri gani?!
Siezi kuacha hili jambo lipiteWaache wakojoe wakiwa wamesomama...lazima wajikojolee miguuni!!
50/50 na feminism ni nadharia ambazo haziwezi kuwa practicable bila kuziangamiza taasisi za familia na ndoa.Nalipinga Sana hili swala la mwanamke kutaka usawa na mwanaume
Ubaya mliuanza wenyewe 😅Wanawake ni Shetani nanusu..we yaone hvhv yakiwa Yana Cheka ila ni kama pete ya dhahabu kwenye pua yangurue..
Mkuu nilifata taratibu zote za kuachana na binti yao na wao waliridhia kuwa binti yako alikosea walikuwa radhi kunirudishia pesa yangu ya kufungua uchumbaPole sana mkuu kwa hayo.
Lakini ninakuuliza, walijisikiaje wazazI wa mzazi mwenzio pale ulipo mpa mimba Binti yao na hukumuoa baada ya kumuona huendani nae?
Ni dhahiri tusiyoyapenda yatutokee basi tusiwafanyie wengine, ulimharibu binti wa watu na hukumuoa halafu leo kwako una anza kulia lia.
Sisi wanaume ikiwa unawageuza geuza watoto wa wenzio ndivyo nawe mtoto/watoto wako wa kike watakavyo geuzwa geuzwa ukubwani mwao.
"Mkuu hukusikia malipo ni hapahapa"
Mkuu huyo bazazi mpige tukio la kubaka mwanafunzi kama binti Yuko tayari kutoa ushirikiano!!Ana
Ana miaka 18 mkuu
Nashukuru mkuu kila mtu na maono yakeUbaya mliuanza wenyewe 😅
Kakimbia mji na hajulikani alipoMkuu huyo bazazi mpige tukio la kubaka mwanafunzi kama binti Yuko tayari kutoa ushirikiano!!
Mkuu huu sasa ndio wakati wakuonyesha kuwa wewe ni BABA, Bahari yenye mawimbi ndio hupima ubora wa Nahodha.muda wote simu mkononi mguu na njia yaani ile miezi minane ilitosha kabisa kumbadilisha mwanangu na kuwa kiumbe tofauti kabisa wiki hii ninavoongea na nyinyi binti yangu amebainika mjamzito kumbana ananiambia ni rafiki wa mama yake ndo aliyemtia ujauzito ule.
Wewe na wewe kwa dunia ya sasa hivi utamuachaje mtoto unaemjali kwa mtu tu zaidi ya miezi 8 bila kumtembelea kwa karibu?. Nimesema kumuachia kwa mtu baki ksbb yule hakuwa mamake tena ksbb alikubwagia mtoto akiwa bado anahitaji malezi ya mama. Pili umemlea toka mdogo kwa maadili yako utamuachaje aende miezi zaidi ya 7 kwa wengine?.Haikuwa na sababu ya kumuacha miezi miwili atange tange kwa shoga yake natamani nimfanye kitu kibaya yu mwanamke