Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Nimejisikia vibaya sana.Achana nae ...anaishi na maumivu 🤣🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejisikia vibaya sana.Achana nae ...anaishi na maumivu 🤣🤭
Pengine ndio maana mama yake kamgeuza akili haraka anyway tuwaombee wavuke salamaUnaachaje mtoto wako afeli mtihani mkuu? Watoto wa kike kipindi hiki Cha mama wamepewa kipaumbele wanafaulu kweli mitihani.Mpaka amefeli hakuwa katika mikono salama ya walezi.
What goes around comes around 🤣🤣🤣🤭Ulitia mtoto wa watu mimba nawe mtoto wako katiwa mimba.....dah kwahiyo soon unaitwa babu!!!
Ana matusi mnoPengine ndio maana mama yake kamgeuza akili haraka anyway tuwaombee wavuke salama
Mmmh au mama ake alikuwa keshapanga mipango ya kumuozesha binti yake kwa huyo jamaa.Ndio mkuu
🤣🤣🤣Kachanganyikiwa kweli, first born kakosa masomo na kazalia home.Apunguze matusiKamharibu mwenyewe, hapa anatafutwa ya kubwagiwa zigo.
Anakushindaje mtoto mmoja mkuu.Kufeli mtihani ndo kutolea vizuri??
Tumia akili kidogo tu.
Mkuu siwezi kutengua kauli jinsia ya kike ni mmoja tu duniani NI Jambo la muda kuja kukutwana janga kupitia hicho kiumbeKwa hiyo na huyo uliye naye - aliyekuhurumia, akakulelea bintiyo, licha ya kwamba hukuwa umemficha ukweli - ni mbaya pia? Mbona uwajumuishe wanawake wote kwenye kosa la mmojawapo?
Unakuwaje mzembe kiasi hicho kutofuatilia vizuri maisha ya mtoto wako?
Mwanzoni kabisa wakati mnadanganyana na huyo mzazi mwenzio, alikuwa mbaya hivyo, au ubaya wake umekuja baadaye ulipomchoka na kumwacha kwenye mataa?
^Saa nyingine,^ (in Anko Joni's voice), wanaume ndio chanzo cha matatizo makubwa katika mahusiano, ndoa na familia.
Tunaomba mawasiliano ya mzazi mwenzio ili tumsikilize yeye pia kwamba anasemaje, maana hapa naona dalili za kuvutia ngozi kwako.
Anakushindaje mtoto mmoja mkuu.
Tumia akili vizuri mkuu.
Mkuu hata sielewi nashindwa kipi Cha kufanyaMmmh au mama ake alikuwa keshapanga mipango ya kumuozesha binti yake kwa huyo jamaa.
Kumuita hivyo Cinderella wangu ni kunikosea sana 😎🤝🏽Mavi ya ngombe mbona ni mbolea nzuri tu
Una matatizo ya akili, wewe. Nenda Mirembe haraka.Mkuu siwezi kutengua kauli jinsia ya kike ni mmoja tu duniani NI Jambo la muda kuja kukutwana janga kupitia hicho kiumbe
Mkuu hata nikienda mirembe siezi badilisha uhalisia subiri yakukute kwa hawa viumbe ndo ujueUna matatizo ya akili, wewe. Nenda Mirembe haraka.
Nikjiuliza Hilo swali nakosa jibumwanamke hana akili kabisa anamuacha mtoto wa kike kwa rafiki yake wa kiume?
Asante mkuuPole mkuu