Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Hapo tatizo linaweza lisiwe upole wako wala uoga wako wa kutongoza
Hapo tatizo itakua ni pesa
Hawa viumbe ukiwa na pesa wao ndio watakutafuta ww, hata uwe mpole na muoga vipi watakuweka sawa tu. Hata uwe na sura personal watakuona handsome, kamuangalie demu wa bukayo saka au wa bacary sagna

Mm nadhani dili na tatizo halisi, ambalo ni hilo nimekuambia
 
Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa.

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Dah,

Haya maisha haya.

Wakati wanaume wengine tuna tatizo la wanawake ving'ang'anizi wanaotaka kuolewa na wasiotaka kuachika, wanaume wengine wanatafuta wachumba wa kuoa na hawawapati.
 
Hapo tatizo linaweza lisiwe upole wako wala uoga wako wa kutongoza
Hapo tatizo itakua ni pesa
Hawa viumbe ukiwa na pesa wao ndio watakutafuta ww, hata uwe mpole na muoga vipi watakuweka sawa tu. Hata uwe na sura personal watakuona handsome, kamuangalie demu wa bukayo saka au wa bacary sagna

Mm nadhani dili na tatizo halisi, ambalo ni hilo nimekuambia
Pesa kiasi gn?

Mfano income yangu iwe ngapi kwa mwezi.?
 
Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa.

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Huna hata uliosoma nae mkuu, Tuanzie hapo Kwanza!
 
Huna hata uliosoma nae mkuu, Tuanzie hapo Kwanza!
Niliosoma nao.

Primary,
Sina mawasiliano nao, but probably wengi wameolewa au wameshaa pata watoto.

Secondary.
Kama primary.

Advance
Nimesoma boys.

Chuo
wachache nilikuwa karibu nao, siko interested nao.
Mmoja tuu nilikuwa interested naye tatizo siendani nae.
 
Back
Top Bottom