Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa.

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Una kibarua cha kukuingizia kipato? Ikiwa jibu ni ndio basi kama ukibanwa na stimu nenda kitambaa cheupe, uwanja wa fisi, mwananyamala hospitali au chimbo lolote lilipo karibu nawe au kama shida yako ni mchumba wa kuanza nae maisha ongea na wazee wakutafutie mke.
 
Mwanangu Wewe ni Mzinguaji na kama kweli unataka Mchumba nenda sehemu za Ibada (Msikitini na Kanisani), utakuta pisi zenye hofu ya Mungu, Zingine zina kazi na maisha tayari, zingine familia bora lakini zinahitaji Mwanaume wa kutengeneza familia.
Note: Usiende kutafuta Mchumba kwenye makanisa ya Miujiza na Wokovu, utapoteana mazima. Nenda makanisa kama KKKT,RC, ANGLICAN ,AGT nk
 
Una kibarua cha kukuingizia kipato? Ikiwa jibu ni ndio basi kama ukibanwa na stimu nenda kitambaa cheupe, uwanja wa fisi, mwananyamala hospitali au chimbo lolote lilipo karibu nawe au kama shida yako ni mchumba wa kuanza nae maisha ongea na wazee wakutafutie mke.
Hizi sehemu zote zilishavunjwa hazipo labda kwenye Ma Saloon yaliyopo karibu na Manight Club makubwa kama Conner Bar, Ambiance, Meeda (Sinza-Kitambaa Cheupe)
 
Una kibarua cha kukuingizia kipato? Ikiwa jibu ni ndio basi kama ukibanwa na stimu nenda kitambaa cheupe, uwanja wa fisi, mwananyamala hospitali au chimbo lolote lilipo karibu nawe au kama shida yako ni mchumba wa kuanza nae maisha ongea na wazee wakutafutie mke.
Kibarua ninacho otherwise ningekuja kuomba kazi.
Kutoa upwiru hiyo ni kazi ndogo sana, ni pesa yako.
Tusijadili hili
 
Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa.

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Sawa, uko wapi......
 
Back
Top Bottom