Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vigezo hua wanaweka kama ushahidi tu mkuuSCams wengi na vigezo na mashariti haviendani.
Una kibarua cha kukuingizia kipato? Ikiwa jibu ni ndio basi kama ukibanwa na stimu nenda kitambaa cheupe, uwanja wa fisi, mwananyamala hospitali au chimbo lolote lilipo karibu nawe au kama shida yako ni mchumba wa kuanza nae maisha ongea na wazee wakutafutie mke.Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa.
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Kikao kilifanyika kwenye korean drama 😂😂Unazungumzia movie za wafilipino ama raia wa watanzania watoto wa suluhu😂😂🤔🤔🤔
Hizi sehemu zote zilishavunjwa hazipo labda kwenye Ma Saloon yaliyopo karibu na Manight Club makubwa kama Conner Bar, Ambiance, Meeda (Sinza-Kitambaa Cheupe)Una kibarua cha kukuingizia kipato? Ikiwa jibu ni ndio basi kama ukibanwa na stimu nenda kitambaa cheupe, uwanja wa fisi, mwananyamala hospitali au chimbo lolote lilipo karibu nawe au kama shida yako ni mchumba wa kuanza nae maisha ongea na wazee wakutafutie mke.
Basi, endelea kubahatisha utampata anayekufaaHali ya upole hainikeri.
Na haijawahi kunisumbua kwenye mahusiano machache niliyobahatisha.
Kibarua ninacho otherwise ningekuja kuomba kazi.Una kibarua cha kukuingizia kipato? Ikiwa jibu ni ndio basi kama ukibanwa na stimu nenda kitambaa cheupe, uwanja wa fisi, mwananyamala hospitali au chimbo lolote lilipo karibu nawe au kama shida yako ni mchumba wa kuanza nae maisha ongea na wazee wakutafutie mke.
Sawa, uko wapi......Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa.
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Mkuu nimekuambia pesa ukianza kuwa nayo tu watajua na utawaona, huwa wana machale sana.TAtizo hamsemi pesa kiasi gani.
Mfano per month niingize kiasi gan, 700K, 1M?
Tongoza.TOka mwaka jana mwenzi wa pili sijawahi kuwa kwenye mahusiano.
Hii ndio shida kwangu.