Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.

Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa?

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Mwanaume thabiti hawezi ogopa kutongoza demu
 
Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.

Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa?

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Tafuta hela.
 
Halafu natongozaje, pengine jinsi ninavyotongoza ni tatizo.


Kama unafatilia mpira ndo kutongoza kupo hivyo


Unaposhambulia Sana ukapiga mashuti 20 on target basi uhakika wa kupata gori moja upo.


Pia jifunze kupanda mbegu -hii kanuni huitwa 'Farmers perspectives'

Wakulima huwa hawalimi mahidi ya kula siku moja Ila wanalima mahindi ya kula hata miezi 3 hadi minne.

So unapotongoza Leo tarh 26/7/2023 maana yake unaandaa mazingira ya kula tunda miezi ijayo so endelea kutongoza Sana utaondoa ukame


Then hiyo kanuni ya 'Farmers perspectives' waweza kui-apply ktk maisha kuwa hela unayo-save ni kwa ajili ya siku zijazo so save more money .
 
Back
Top Bottom