Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Yani kwakweli napenda kufurahi pekeyangu nawza nisitoke nje sikunzima aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kwakweli napenda kufurahi pekeyangu nawza nisitoke nje sikunzima aisee






Mwanaume thabiti hawezi ogopa kutongoza demuHadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa?
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Mkuu haya maneno ya Gradute unamwambia Njuka huoni kama unapoteza energy yako kuandika tu hapa ?
Dozi nzito hii uliyotoa na unaemwambia ni kichwa Panzi haiiweziNAPE je ? Hawezi kuwa kaangushwa na communication skills ?
Tafuta hela.Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa?
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
mkuu mimi nakushauri utongoze zaidisina namba ya uhakika ila toka huu mwaka uanze.
Nimetongoza wanawake kama 10 ,
Sita hakunipa hata namba.
Wanne wamenipa, but hawaonyeshi ushiriakiano.
Ni kama vile hawataki.
OK Pole sanaAu tukiwa marafiki tunawalisiana vizuri.
Nikikualika kwenda dinner, ukanipanga.
Unategemea nitakutongozaje.
Basi hapo acheze na singo mother kwanza huku akiwa anatafuta chaguo lakeDozi nzito hii uliyotoa na unaemwambia ni kichwa Panzi haiiwezi
Mkuu wanawake wa Dar hawatongozwi unawapa maelekezo tu ya wapi mukakutane mule mvinyo baada ya hapo unamaliza kaziWanawake wa Dar wako fasta wameweka earpods au earphone masikioni + wamekunja sura kama wanadaiwa kodi.
SIo rahisi kukupa nafasi ya kuwatongoza.
hakuna njia sahihi ya kutongoza mkuuHalafu natongozaje, pengine jinsi ninavyotongoza ni tatizo.
Halafu natongozaje, pengine jinsi ninavyotongoza ni tatizo.