Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mother wabarikiwe sana.
Ok hii kanuni nimeielewa.Kama unafatilia mpira ndo kutongoza kupo hivyo
Unaposhambulia Sana ukapiga mashuti 20 on target basi uhakika wa kupata gori moja upo.
Pia jifunze kupanda mbegu -hii kanuni huitwa 'Farmers perspectives'
Wakulima huwa hawalimi mahidi ya kula siku moja Ila wanalima mahindi ya kula hata miezi 3 hadi minne.
So unapotongoza Leo tarh 26/7/2023 maana yake unaandaa mazingira ya kula tunda miezi ijayo so endelea kutongoza Sana utaondoa ukame
Then hiyo kanuni ya 'Farmers perspectives' waweza kui-apply ktk maisha kuwa hela unayo-save ni kwa ajili ya siku zijazo so save more money .
Ok hii kanuni nimeielewa.
Shida kazi ninayofanya hainipi furusa ya kukutana na wanawake wengi.
Route yangu ni
Home(0730)- kituoni- mwendokasi- kazini(1700)- kituoni-mwendokasi-home.
Hili ni punga limechachaKwani wale wadada huleta threads za kusaka waume hua huzioni!?
Yaaani mwendoKasi hao mashangazi wote huoniOk hii kanuni nimeielewa.
Shida kazi ninayofanya hainipi furusa ya kukutana na wanawake wengi.
Route yangu ni
Home(0730)- kituoni- mwendokasi- kazini(1700)- kituoni-mwendokasi-home.
Kwahyo jesca amefariki ?Mengi yalikuwa lengo ni kuondoa upwiru.
Walikuwa ni wanawake ambao siwezi kuwaoa.( wengi single mothers)
Except
1. Ilikuwa chuo, alikuwa awe demu wa jamaa angu, within that process jamaa akpata majanga akasepa chuo.
Mimi nikatake ova. Baadae tuliachana.
2. Jesca(RIP), nilikutana nae kitaa nikamtongoza akakubali, sikumpenda kivile. So nilikuwa napita tuu.
Mwaka jana mwezi wa pili tukaachana.
Eeh wakat wa Mungu ndio wakat sahihi utapata inshallahKwahiyo unanishauri niendelee hivivi.
Mkuu uko sawa, wanawake wananusa Hela Iko wapi na kiasi Gani hata kama utajifanya huna. Miaka ya nyuma nilipata mchongo wa kulipwa laki 2 kwa siku kwa muda wa siku 54 aaa mbona nilikoma. Pisi zote nilizokuwa najuana nazo zilikuwa zinanitafuta zenyewe tena mpaka unajiuliza huyu amefufukia wapi.Wao wanajua na wana machale sana ukianza kuwa nayo tu utawaona
Angalau net income ya 1 mil per month.Pesa kiasi gn?
Mfano income yangu iwe ngapi kwa mwezi.?
🤓🤓🤓 sa umepewa ushauri maswalimaswali ya nini hahahaaaa. Ila we jamaa nimecheka sana hii comment. Acha tu usipate mtu wa kuoa 😌😌😌Kwahiyo ninyi wote wenye wachumba, mademu na wake mlikuwa na 100K ambayo haina kazi.?
Duh jamani apumzike kwa amaniNdio.
Hapa shida ni kazi yako inakufanya kua busy sana.Ok hii kanuni nimeielewa.
Shida kazi ninayofanya hainipi furusa ya kukutana na wanawake wengi.
Route yangu ni
Home(0730)- kituoni- mwendokasi- kazini(1700)- kituoni-mwendokasi-home.