Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.

Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa?

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Uko wapi?
 
Hapa shida ni kazi yako inakufanya kua busy sana.
Yes sio wewe tu hata wanawake hukumbana na hii hali,
Kuna baadhi ya kazi hukutanisha na watu wachache mno,na inakua ngumu kutengenexa "soft relationship",ambayo inaweza pelekea mahusiano ya uchumba
Mfano mtu anayefanya kazi hospitali ambapo huja watu wa namna mbali mbali ana chance kubwa ya kutengeneza urafiki na watu kuliko bank teller
Ufanye nini katika hili?
Mi nashauri weka Nia ya kutaka kuoa,kwa kua umri wako ni karibu 30,pia tayari unakazi
Utapataje mchumba?
The "funny fact" kuhusu mchumba wa kuoa,mwenye maadili,bikira,huyu huwezi kukutana naye kirahisi,maana hawa wengi hawazululi na kutembea ovyo ovyo wakiomba hela wanaume,
Hapa lazima uwashirikishe watu wenye busara kwenye circle yako
Sikushauri ulazimishe mahusiano na wanawake wenye njaa,wanaodhani mwanaume ni chanzo cha mapato,"transactional sexual worker"watakudrain,spiritual,physical, economical......utapoteza malengo na focus yako kubwa sana kuhusu malengo Yako ya baadae na pesa kiujumla
Asante sana.
 
Be
Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.

Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa?
Be humble and take care. Over
 
Niliosoma nao.

Primary,
Sina mawasiliano nao, but probably wengi wameolewa au wameshaa pata watoto.

Secondary.
Kama primary.

Advance
Nimesoma boys.

Chuo
wachache nilikuwa karibu nao, siko interested nao.
Mmoja tuu nilikuwa interested naye tatizo siendani nae.
Shida ni hiyo SIENDANI NAYE, umeweka vigezo vikali sana
 
Mwanangu Wewe ni Mzinguaji na kama kweli unataka Mchumba nenda sehemu za Ibada (Msikitini na Kanisani), utakuta pisi zenye hofu ya Mungu, Zingine zina kazi na maisha tayari, zingine familia bora lakini zinahitaji Mwanaume wa kutengeneza familia.
Note: Usiende kutafuta Mchumba kwenye makanisa ya Miujiza na Wokovu, utapoteana mazima. Nenda makanisa kama KKKT,RC, ANGLICAN ,AGT nk
Umesahau TAG ya Mboneke
 
Mwanangu Wewe ni Mzinguaji na kama kweli unataka Mchumba nenda sehemu za Ibada (Msikitini na Kanisani), utakuta pisi zenye hofu ya Mungu, Zingine zina kazi na maisha tayari, zingine familia bora lakini zinahitaji Mwanaume wa kutengeneza familia.
Note: Usiende kutafuta Mchumba kwenye makanisa ya Miujiza na Wokovu, utapoteana mazima. Nenda makanisa kama KKKT,RC, ANGLICAN ,AGT nk
Kanisani nikienda IBada ikiisha sipotezi hata DK naondoka.
 
Back
Top Bottom