Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Kibarua ninacho otherwise ningekuja kuomba kazi.
Kutoa upwiru hiyo ni kazi ndogo sana, ni pesa yako.
Tusijadili hili
Kwaiyo shida yako ni kutongoza au sio, basi cheki na wazee wakutafutie mke then tuma mshenga amalize mchezo.
 
Hizi sehemu zote zilishavunjwa hazipo labda kwenye Ma Saloon yaliyopo karibu na Manight Club makubwa kama Conner Bar, Ambiance, Meeda (Sinza-Kitambaa Cheupe)
Sawa sawa legend.. maana sikua na update sijapita mitaa ile kitambo sana
 
Acha kulazimisha visivyowezekana kwa sasa muda ukifika wako atakuja na utapata tu mbinu zakumuingia, mapenzi si kama somo la hisabati kwamba kanuni ni zile zile zakupata jibu wako mtaendana karibia kila aina ya vitu bila complain.
 
Mkuu nimekuambia pesa ukianza kuwa nayo tu watajua na utawaona, huwa wana machale sana.
“watoto ni wengi siku hizi hatupigi pulii”
uko vizuri mkuu, una experience ya kutosha kwa hawa warembo
kuna kitu nimepata hapo, “ukishapata pesa utawaona tu wana machale sana”
 
Mkuu uko sawa, wanawake wananusa Hela Iko wapi na kiasi Gani hata kama utajifanya huna. Miaka ya nyuma nilipata mchongo wa kulipwa laki 2 kwa siku kwa muda wa siku 54 aaa mbona nilikoma. Pisi zote nilizokuwa najuana nazo zilikuwa zinanitafuta zenyewe tena mpaka unajiuliza huyu amefufukia wapi.

Kwenye mada Husika...... Ninako kabinti kwenye umri wa miaka 23 mie sitaki kuishi na mwanamke, kananiganda ila mie nimelaza mkuki,, naweza kumpatia apambane Nako.
Kwenye kunusa nimewakubali, huwa hawakosei
Hata uvae rough, ujifanye unapanda bodaboda bado watajua juu
 
Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.

Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.

Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.

Kwa mwendo huu kweli nitaoa?

Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.

Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
All in all the problems start with you bro, iko hivi kuna kipindi niliwahi pitia ugumu kama wako ikabidi nikapitie kozi ya attraction na intimacy aiseee

Anyway, mkuu kwanza jipende mwenyewe yaan uwe smart,
Afu soma vitabu vya mambo ya kuimprove your confidence na piah usisahau kuwa mtu anayefikikaa

Jaribu kuwa attractive kwa ke kwa kujipenda mwenyew kwanza then mengn yatafat
 
Back
Top Bottom