Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Yani angel nyigu huyu hapa🤣🤣🤣🤣Mbele za watu unazuga hujui kudance ila ukiwa mwenyewe room ww ni Angel Nyigu mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani angel nyigu huyu hapa🤣🤣🤣🤣Mbele za watu unazuga hujui kudance ila ukiwa mwenyewe room ww ni Angel Nyigu mtupu
Ukifuzu kudance humo room usisahau kushiriki challenges mbali mbaliYani angel nyigu huyu hapa🤣🤣🤣🤣
Sikuhiz nimeanza mazoez ya kuimba 🤣🤣🤣zuchu mtupu yaani 🤣🤣🤣Ukifuzu kudance humo room usisahau kushiriki challenges mbali mbali
Najua kucheza kichwani ila ukitikisa mwili hauendi🤣🤣🤣nije unifundishe basi, kucheza.
Imba tu wasanii wa kike na walimu hawazeekagi😁Sikuhiz nimeanza mazoez ya kuimba 🤣🤣🤣zuchu mtupu yaani 🤣🤣🤣
Kwaiyo shida yako ni kutongoza au sio, basi cheki na wazee wakutafutie mke then tuma mshenga amalize mchezo.Kibarua ninacho otherwise ningekuja kuomba kazi.
Kutoa upwiru hiyo ni kazi ndogo sana, ni pesa yako.
Tusijadili hili
Sawa sawa legend.. maana sikua na update sijapita mitaa ile kitambo sanaHizi sehemu zote zilishavunjwa hazipo labda kwenye Ma Saloon yaliyopo karibu na Manight Club makubwa kama Conner Bar, Ambiance, Meeda (Sinza-Kitambaa Cheupe)
Labda walimu wa nanjilinji Hawa wa mjini wamezeeka mbona 😃😃Imba tu wasanii wa kike na walimu hawazeekagi😁
Walionifundisha primary nawaona kama wadogo zangu na ndevu zao Moja MojaLabda walimu wa nanjilinji Hawa wa mjini wamezeeka mbona 😃😃
🤣🤣Chaki hizo zinanyonyoa Ndevu Kuna madam nilikuwa namuita dada Kwa alivyo kumbe kaanza kufundisha mm sijazaliwa 😃😃Walionifundisha primary nawaona kama wadogo zangu na ndevu zao Moja Moja
“watoto ni wengi siku hizi hatupigi pulii”Mkuu nimekuambia pesa ukianza kuwa nayo tu watajua na utawaona, huwa wana machale sana.
Walimu hawazeeki haraka🤣🤣Chaki hizo zinanyonyoa Ndevu Kuna madam nilikuwa namuita dada Kwa alivyo kumbe kaanza kufundisha mm sijazaliwa 😃😃
Kwenye kunusa nimewakubali, huwa hawakoseiMkuu uko sawa, wanawake wananusa Hela Iko wapi na kiasi Gani hata kama utajifanya huna. Miaka ya nyuma nilipata mchongo wa kulipwa laki 2 kwa siku kwa muda wa siku 54 aaa mbona nilikoma. Pisi zote nilizokuwa najuana nazo zilikuwa zinanitafuta zenyewe tena mpaka unajiuliza huyu amefufukia wapi.
Kwenye mada Husika...... Ninako kabinti kwenye umri wa miaka 23 mie sitaki kuishi na mwanamke, kananiganda ila mie nimelaza mkuki,, naweza kumpatia apambane Nako.
Naweza kujua kwanini umetaja single mazaKama Una Upwiru -waweza kuwa unapiga mipira iliyokufa kwa muda ili kujipanga
Nb mipira iliyokufa au singo maza upige kwa tahadhari Sana.
All in all the problems start with you bro, iko hivi kuna kipindi niliwahi pitia ugumu kama wako ikabidi nikapitie kozi ya attraction na intimacy aiseeeHadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa?
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Wewe ndio yeye Mkuu.Mbona kama umeniongelea mimi kabisa au Wewe ndo mimi ??