Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Kaka kwahyo wewe ukimsimamisha tu mwanamke unamtongoza hapo kwa hapo kama ajali?

Chukua namba, vunga nayo hata siku 1 au mbili alafu mtafute jitambulishe jenga ukaribu/urafiki kwa muda baada ya hapo mwaga sera, hakikisha unamvutia kwa sera zako muaminishe kwako yeye anafaa kwa namna yeyote ile. Haya ni kwa mwanamke wa malengo zaidi, sijui nielezeje ila sio kila ke anastahili kupata hiyo nafasi, binafsi huwa nna aina fulani ya wanawake nnaopenda kujihusisha nao, wapole na wasio waropokaji(wastaarabu) shida ipo kwenye kuwajua, ke mpole namjua hata kwa anavyotembea.

Tulia usiwe na haraka kupata mwenza sahihi sio jambo jepesi kama wengi tunavyodhani.
Sasa kama huyo mwanamke hamamatsu nafasi anamuombaje namba emu eleweni anachoandika jamaa munakuwa na vichwa vigumu.
 
Mkuu unakaribia 3rd flow na bado hujat*mba! Hii ni hatari sana,
Ushauri: kuwa bize na mambo tofauti na mapenzi, hapo ndo watakuja wenyewe
 
Hapo tatizo linaweza lisiwe upole wako wala uoga wako wa kutongoza
Hapo tatizo itakua ni pesa
Hawa viumbe ukiwa na pesa wao ndio watakutafuta ww, hata uwe mpole na muoga vipi watakuweka sawa tu. Hata uwe na sura personal watakuona handsome, kamuangalie demu wa bukayo saka au wa bacary sagna

Mm nadhani dili na tatizo halisi, ambalo ni hilo nimekuambia
📌
 
Sasa kama huyo mwanamke hamamatsu nafasi anamuombaje namba emu eleweni anachoandika jamaa munakuwa na vichwa vigumu.
Kwani yupo peke yake dunia nzima? Akikataa unajaribu kwa mwingine, na mwingine mpaka upate anaeleweka.
 
Kwahiyo ninyi wote wenye wachumba, mademu na wake mlikuwa na 100K ambayo haina kazi.?
Kijana umewakamata sana wale wanasema tafuta hela unauliza maswali konki shida ya hawa jamaa hawajui mantiki ya huo na utumike wapi
 
Pole sana jitahidi upate demu mkali mmoja tu tena watu wamjue hapo utapata wengine wengi
Japo huwa ni ngumu sana kupata demu kama huna demu kabisa.
 
Ukitaka kuoa oa yeyeto umpendae ukipata mwema mshukuru Mungu ukimpata mbaya utakuwa mwanasaikolojia ya ndoa
 
Back
Top Bottom