Sal pa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 213
- 315
umesababisha niutafute wimbo wa JOHN MAKINI© .,'mapenzi si kulima vanila,, wala kucheza na mpira,,, mapenzi hayana formula formulaSawa, ngoja niendelee kutumia njia yangu maybe italipa one day.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesababisha niutafute wimbo wa JOHN MAKINI© .,'mapenzi si kulima vanila,, wala kucheza na mpira,,, mapenzi hayana formula formulaSawa, ngoja niendelee kutumia njia yangu maybe italipa one day.
Mbona kama umeniongelea mimi kabisa au Wewe ndo mimi ??utawaongelesha, kikifika kipengele cha kuchukua namba
Wanasema hapana.
Au sina simu.
wachache walionipa, mtawasiliana siku ya kwanza, ya pili, then wanaanza kuni ignore.
Wengine wanachukua namba yangu ila hawanitafuti.
Ishi naye sasa wanakuwaga wanahela hao hatari au connectionUzi huu SIO chai
Aliyeandika ameandika ukweli tupu...kwa hisia
Tuishie hapo kwenye drama kikao chenyewe kilikua drama 🤣🤣🤣Kikao kilifanyika kwenye korean drama 😂😂
😅 kaka wawatu mpole we humuoniKwani wale wadada huleta threads za kusaka waume hua huzioni!?
muumini wa dronedrakeKwanini unatudanganya😥 kama hudanganyi Kuna kitu kwenye Cv yako umekificha, kiweke wazi, PM iwe busy
😂 hadi matangazo ya vifo unachezaKukaa pekeyako Kuna ugumu gani yaani mm naenjoy balaa natoka chooni had chumbani vyovyote vile
Naweza cheza had taarifa ya habari 😃😃hakuna wa kuniuliza
Kaka kwahyo wewe ukimsimamisha tu mwanamke unamtongoza hapo kwa hapo kama ajali?Wanawake wa Dar wako fasta wameweka earpods au earphone masikioni + wamekunja sura kama wanadaiwa kodi.
SIo rahisi kukupa nafasi ya kuwatongoza.
😅 we vusha mpaka wake zao waanze kukutamaniNinapoishi kila mtu ana demu.
Mimi ndio sionekani kuwa na demu.
Mwishowe majamaa wanihisi vibaya.
Mkuu kuna mahali unazembea, labda kama huko kituoni huwa unashinda kwenye injini ila kama ni dereva, mlinzi, nk. Unazingua.Ok hii kanuni nimeielewa.
Shida kazi ninayofanya hainipi furusa ya kukutana na wanawake wengi.
Route yangu ni
Home(0730)- kituoni- mwendokasi- kazini(1700)- kituoni-mwendokasi-home.
hapo atafute uzi wa kadada kakivuruge ndo wataendana😅 kaka wawatu mpole we humuoni
Wewe unashangaa huna mahusiano tangu mwaka jana, mimi tangu mwaka 2014 mpaka leo, sijawahi kuwa kwenye mahusiano, miaka 10 sasa imepita, am 30 years now, kila nikitongoza nakataliwa, naishia kununua malaya wanajiuza kukidhi haja zangu za kimwili.TOka mwaka jana mwenzi wa pili sijawahi kuwa kwenye mahusiano.
Hii ndio shida kwangu.
Kula dada au shangazi zako, nuksi itaondoka.Lakini usiwabake, wanyegeshe wakupe wenyewe.Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu. Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia. Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine, kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa?
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.