Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Kama unafatilia mpira ndo kutongoza kupo hivyo


Unaposhambulia Sana ukapiga mashuti 20 on target basi uhakika wa kupata gori moja upo.


Pia jifunze kupanda mbegu -hii kanuni huitwa 'Farmers perspectives'

Wakulima huwa hawalimi mahidi ya kula siku moja Ila wanalima mahindi ya kula hata miezi 3 hadi minne.

So unapotongoza Leo tarh 26/7/2023 maana yake unaandaa mazingira ya kula tunda miezi ijayo so endelea kutongoza Sana utaondoa ukame


Then hiyo kanuni ya 'Farmers perspectives' waweza kui-apply ktk maisha kuwa hela unayo-save ni kwa ajili ya siku zijazo so save more money .
Ok hii kanuni nimeielewa.

Shida kazi ninayofanya hainipi furusa ya kukutana na wanawake wengi.

Route yangu ni
Home(0730)- kituoni- mwendokasi- kazini(1700)- kituoni-mwendokasi-home.
 
Mengi yalikuwa lengo ni kuondoa upwiru.
Walikuwa ni wanawake ambao siwezi kuwaoa.( wengi single mothers)

Except
1. Ilikuwa chuo, alikuwa awe demu wa jamaa angu, within that process jamaa akpata majanga akasepa chuo.
Mimi nikatake ova. Baadae tuliachana.



2. Jesca(RIP), nilikutana nae kitaa nikamtongoza akakubali, sikumpenda kivile. So nilikuwa napita tuu.
Mwaka jana mwezi wa pili tukaachana.
Kwahyo jesca amefariki ?
 
Wao wanajua na wana machale sana ukianza kuwa nayo tu utawaona
Mkuu uko sawa, wanawake wananusa Hela Iko wapi na kiasi Gani hata kama utajifanya huna. Miaka ya nyuma nilipata mchongo wa kulipwa laki 2 kwa siku kwa muda wa siku 54 aaa mbona nilikoma. Pisi zote nilizokuwa najuana nazo zilikuwa zinanitafuta zenyewe tena mpaka unajiuliza huyu amefufukia wapi.

Kwenye mada Husika...... Ninako kabinti kwenye umri wa miaka 23 mie sitaki kuishi na mwanamke, kananiganda ila mie nimelaza mkuki,, naweza kumpatia apambane Nako.
 
Ok hii kanuni nimeielewa.

Shida kazi ninayofanya hainipi furusa ya kukutana na wanawake wengi.

Route yangu ni
Home(0730)- kituoni- mwendokasi- kazini(1700)- kituoni-mwendokasi-home.
Hapa shida ni kazi yako inakufanya kua busy sana.
Yes sio wewe tu hata wanawake hukumbana na hii hali,
Kuna baadhi ya kazi hukutanisha na watu wachache mno,na inakua ngumu kutengenexa "soft relationship",ambayo inaweza pelekea mahusiano ya uchumba
Mfano mtu anayefanya kazi hospitali ambapo huja watu wa namna mbali mbali ana chance kubwa ya kutengeneza urafiki na watu kuliko bank teller
Ufanye nini katika hili?
Mi nashauri weka Nia ya kutaka kuoa,kwa kua umri wako ni karibu 30,pia tayari unakazi
Utapataje mchumba?
The "funny fact" kuhusu mchumba wa kuoa,mwenye maadili,bikira,huyu huwezi kukutana naye kirahisi,maana hawa wengi hawazululi na kutembea ovyo ovyo wakiomba hela wanaume,
Hapa lazima uwashirikishe watu wenye busara kwenye circle yako
Sikushauri ulazimishe mahusiano na wanawake wenye njaa,wanaodhani mwanaume ni chanzo cha mapato,"transactional sexual worker"watakudrain,spiritual,physical, economical......utapoteza malengo na focus yako kubwa sana kuhusu malengo Yako ya baadae na pesa kiujumla
 
Back
Top Bottom