Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Tafuta pesa or else kaishi sayari ya peke yako kama madem wa Dar pia wanakutoa jashoNina miaka karibu mitatu niko huko.
Dah,Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa.
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Pesa kiasi gn?Hapo tatizo linaweza lisiwe upole wako wala uoga wako wa kutongoza
Hapo tatizo itakua ni pesa
Hawa viumbe ukiwa na pesa wao ndio watakutafuta ww, hata uwe mpole na muoga vipi watakuweka sawa tu. Hata uwe na sura personal watakuona handsome, kamuangalie demu wa bukayo saka au wa bacary sagna
Mm nadhani dili na tatizo halisi, ambalo ni hilo nimekuambia
Huna hata uliosoma nae mkuu, Tuanzie hapo Kwanza!Hadi leo nakaribia floor namba tatu, sina mchumba, mpenzi, wala demu.
Kutongoza imekuwa kazi ngumu sana kwangu.
Ninaobahatisha kutongoza wananikataa.
Eeh Mungu wangu nisaidia.
Natamani nipate mchumba nioe niendelee na maisha mengine , kuishi hivi pekee yangu upweke mwingi, geto ninapoishi hakuna hata demu wa kuja kunitembelea. Mara moja moja.
Kwa mwendo huu kweli nitaoa.
Kitabia mimi ni
Mpole,
Mkimya kiasi,
Agreeable person.
Watu wenye hekima JF naombeni ushauri wenu.
Hakikisha una 100k ambayo haina kazi kila sikuNitafute pesa kiasi gani?
GIve me a number.
Wao wanajua na wana machale sana ukianza kuwa nayo tu utawaonaPesa kiasi gn?
Mfano income yangu iwe ngapi kwa mwezi.?
Ujanja tulionao ww ndio hauna, ww option rahisi kwako ni kuwa na pesaKwahiyo ninyi wote wenye wachumba, mademu na wake mlikuwa na 100K ambayo haina kazi.?
Sawa tumekubali dada joa,Uzi huu SIO chai
Aliyeandika ameandika ukweli tupu...kwa hisia
Mbona kama kikao cha mwisho tulikubaliana mapenzi ya kweli yana nguvu kuliko pesaSawa tumekubali dada joa,
Swali la msingi ana pesa? π
Niliosoma nao.Huna hata uliosoma nae mkuu, Tuanzie hapo Kwanza!
Unazungumzia movie za wafilipino ama raia wa watanzania watoto wa suluhuπππ€π€π€Mbona kama kikao cha mwisho tulikubaliana mapenzi ya kweli yana nguvu kuliko pesa