Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alinitumia text whatsapp "mpenzi kukweli nmejitahid sana ila naona sina hisia za kimapenz na ww".
baada ya muda kidogo akaweka clip status jamaake mpya anamfundisha kuendesha gari nikawa nasikia "baby siku 3 mbele ntakuachia uwe unaendesha mwenyew unaonekana una kichwa chepesi" demu wangu akajibu kwa madeko huku akikanyaga mafuta "thawa sweetheart"
sikilizia ayo maumivu.
Namna ya ku Move on nadhani.. nimesahau kidogo ila heading haikuwa hiyo..Mwanzo ilikuwa inasomekaje?
Binadamu tuache tuu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki watu wana ruho ngumu.
Halafu mbona kuhurudisha feedback jamaa yangu? Unakwama wapi jamani!! Ona sasa imebaki 50[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kama nmekusoma hv mtoa mada aliandika heading hyo na watu wengine watoe visa ila kisa chake ndo kinazungumziwa mwa-mwiNamna ya ku Move on nadhani.. nimesahau kidogo ila heading haikuwa hiyo..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itabidi afanye punguzo.Binadamu tuache tuu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Feedback inakuja Mama.. si lile jambo letu? Maana Jamaa bado nampanga.. Na kama imebaki 50 Itakuwaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani mapenzi yana baunsa wa kinyaki? Tunamshukuru Mungu tulipita huko salama, sasa hivi tumekuwa kina aunt Sadaka. Ntakuandikia kitabu cha simulizi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwanini ulipigwa chini?Ni suala la muda tu, utapenda tena. Kama mimi nimependa tena basi naamini kila mtu anaweza kupenda tena aisee.
Hapana, alifariki.Kwanini ulipigwa chini?
Pole sana nkoyi [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Hapana, alifariki.
Nashukuru Mungu kwenye mapenzi alinipaga moyo mwepesi wa ku let go, hata niumie kiasi gani, arooo hata wiki haiishi naendelea na maisha mengine.
Slogan yangu ni moja tuu nitampenda mtu saana na nitamjali kuliko hata ninavyojijali sinaga vya kuwaza nisifanye kitu fulani kuogopa tukiachana nitaumia, ndo kwaanza nitafanya.
Ikitokea tumeachana nasema tu Mungu asante hii tuition hamna nilichobakiza nime cover topics zote, sijapoteza mimi yeye ndo kapoteza.
Nafuta kila kitu chake namba na simu na block juu (kwa wale wanaojidai kutaka tuendelee kuwa marafiki baada ya kuachana, huu ujinga sitakagi)
Hata akija mwingine nitapenda tena kama sijawahi kupenda naye kama ni tuition fresh tu. Ila ninakoelekea najiona naenda kuacha hii kamari.
"I don't lose people. People lose me"NIMEKUELEWA
Yap. Ilikuwa hivyo.Kama nmekusoma hv mtoa mada aliandika heading hyo na watu wengine watoe visa ila kisa chake ndo kinazungumziwa mwa-mwi
Jiandae na namba za kutosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itabidi afanye punguzo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Pole Kipenzi.Hapana, alifariki.
"I don't lose people. People lose me"
Nice love philosophy esteemed lovely ladies [emoji122][emoji122][emoji122]
Wabheja[emoji120][emoji120]Pole sana nkoyi [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Nilishapoa mama.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Pole Kipenzi.
Pole sana Espy.Hapana, alifariki.