Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki watu wana ruho ngumu.

Halafu mbona kuhurudisha feedback jamaa yangu? Unakwama wapi jamani!! Ona sasa imebaki 50[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Binadamu tuache tuu..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Feedback inakuja Mama.. si lile jambo letu? Maana Jamaa bado nampanga.. Na kama imebaki 50 Itakuwaje?
 
NIMEKUELEWA
"I don't lose people. People lose me"

Nice love philosophy esteemed lovely ladies [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kuna boya hapa linataka kujinyonga demu kasepa na kijiji kasema hamtaki jamaa na status anamuweka jamaa yake mpya toka wiki iliyopita sijui alipewa nini na huyu manzi kupenda hivi ilikua olevel ila hili jamaa na midevu yake linalia kisa penzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…