joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,039
Mambo Raynavero? Natumai haujambo rafiki yangu. Ni muda mrefu sana hata mimi sijakuona. Nakumisi sana.Mmmhhh....kitambo sana sijakuonaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo Raynavero? Natumai haujambo rafiki yangu. Ni muda mrefu sana hata mimi sijakuona. Nakumisi sana.Mmmhhh....kitambo sana sijakuonaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya mambo hayana mwenyewe hata ww.[emoji3][emoji3][emoji23]
Upo Dar es salaam mkuu?Mkuu am serious kama unahisi kuna kitu kitanisaidia niambie tu am ready ili mradi kiwe ni halali na kinachofuata maadili yetu
Usimuone boya mkuu, mapenzi ya ajabu sana msaidie kuongea naye tu akae sawa! Kuachwa si mchezoKuna boya hapa linataka kujinyonga demu kasepa na kijiji kasema hamtaki jamaa na status anamuweka jamaa yake mpya toka wiki iliyopita sijui alipewa nini na huyu manzi kupenda hivi ilikua olevel ila hili jamaa na midevu yake linalia kisa penzi
Hapana nipo home Rukwa mkuu, kwani unahitaji walio Dar es salaam pekee?Upo Dar es salaam mkuu?
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Pole mwaya, huend mngefika mbali ila ni mipango ya Mungu tu
Ndiyo huwezi amini ni sauti yake pia inayonifanya nimkumbuke zaidi! Sauti ya kokoto wangu mwee, mnyakyusa wa watu miye nakufa😪Hahaaa eti sauti nzuri kubwaaaa
Duh hapanaAlkutoa bikra au
Akitaka kurudi ntawaona tena kwa ushauri zaidi😂Pole baby girl, ipo siku utasahau and you will look back na kushangaa why you wasted your time on him. Believe me jamaa atarudi aki miss kumnyanyasa mtu maana amezoea kukunyanyasa sasa akikumbuka kunyamyasa mtu you will be his first option, atarudi kwa gear ya kukumis na ameona wewe ndo unamfaaa with a lot of lame excuses and blah blah blah!!!!! Ila atarudi akiwa amechelewa sana. Itafika wakati hutamuhitaji tena, hapo sasa yeye ndo atakua amerudi in full swing. Akianza kuleta drama za kutaka kurudi hakikisha unatujulisha ili wahenga tukupe mbinu za kum fix [emoji23][emoji23]. Wanaume huwa wanarudi kwa mwanamke aliyemuumiza, kama huamini we subiri tu ipite miezi kadhaa au hata mwaka, utaona jamaa huyo anaanza kutia team pole pole, mara ooh nimekumis na maneno mengine ya kipuuzi ili kukuchota akili. Sasa shauri zako usiwe mjinga ukakubali, itakula kwako. Nasisitiza hivi akionyesha dalili za kutaka kurudi njoo huku jamvini fasta tukupe nondo za kumkabili [emoji23] penye wengi hapaharibiki neno.
Doh pole tuendelee kupitia ushauri wa watu i hope utatusaidia mkuuYote yataisha hata mimi nimeachwa jumamosi ilopita sahv naumia Moyoni ila najua nalo litapita
Hadi wewe unaachwaje sasa? Mmh poleHapa ili iwe vizuri ukutane na mtu aliyeachwa na ukapata maumivu kama wewe ndipo penzi litanoga.
Ingawa hata mimi few days ago. Nilipigwa chini ila nikakaza kimtindo.
Kwa sasa niko vizuri ingawa bado sijapata mwanamke mwingine. Bado namsaka kwa udi na uvumba.
Ndiyo mkuu. Ingekuwa Dar es salaam ingekuwa vyema mkuu ila siyo mbaya.Hapana nipo home Rukwa mkuu, kwani unahitaji walio Dar es salaam pekee?
Moyo kama umepata ganzi yasijekutokea tena yale yale tena wakulungwa mmh🤔Mkuu no matter what, you can do way better we toa fursa kwa wakulungwa uone kama hujamsahau soon tu, it's too late kung'ang'ania ndo kasepa hivyo.
Pole mkuuKumbe JF tumo wengi na mimi huku kuna binti kaniacha aisee, ni miezi miwili sasa imepita yy kaishaendelea na maisha yake ila bado najitahidi kumsahau ila wp najikuta tu nimeshaanza kumtumia txt namkubusha ahadi yetu namkumbusha mwanzo wetu, lkn kinachonisikitisha sana ndiye bnti wa kwanza kudate na mimi katika maisha yangu, nasikia yeye ashagaolewa ila mimi bado nakazana tu yaan nimekuwa kama vile siamini...ile mood nilokuwa nayo ya kufanya mazoezi kila day nayonahis imeniacha yaani mambo yamekuwa zig zag, nilikuwa ninauwezo wa kupiga push ups 60 siku hizi nashindwa ata 20 yaani kiujumla nimedhoofika
Kwa hiyo dada hauko pekee yako cha kufanya chukua hii namba yangu 0694094773 tusaidiane kujifariji maake nimeingia JF kutafta ushauri japokuwa sijapost kitu ila nilikuwa naimani nitakutana na wa2 wenye hali kama niliyopo mimi. Ila dada pole amini yote yatapita, utazishinda hisia
Ok sawa mkuu, karibu RukwaNdiyo mkuu. Ingekuwa Dar es salaam ingekuwa vyema mkuu ila siyo mbaya
😂 sitakiNimerudi nipokee 🤗, nitajifunza kukupenda.
Ahsante mkuu.Hadi wewe unaachwaje sasa? Mmh pole
Hakika kabisa.Hizi vurumai zote zingepungua au kuepukika kabisa kama tungefuata hii kanuni. "Subiri hadi utakapoingia kwenye ndoa, kisha baki kuwa mwaminifu kwa mwenza wako".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alinitumia text whatsapp "mpenzi kukweli nmejitahid sana ila naona sina hisia za kimapenz na ww".
baada ya muda kidogo akaweka clip status jamaake mpya anamfundisha kuendesha gari nikawa nasikia "baby siku 3 mbele ntakuachia uwe unaendesha mwenyew unaonekana una kichwa chepesi" demu wangu akajibu kwa madeko huku akikanyaga mafuta "thawa sweetheart"
sikilizia ayo maumivu.
Mkuu am serious kama unahisi kuna kitu kitanisaidia niambie tu am ready ili mradi kiwe ni halali na kinachofuata maadili yetu