Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Pole Sana.
Mambo gani yanakufanya ushindwe kumtoa kichwani????
Je,umezaa naye?
Umejenga naye?
Alishakutolea mahari? n.k

Ni Heri uchumba uliovunjika kuliko ndoa mbovu.
Uchumba siyo ndoa,lolote linaweza kutokea.

Mapenzi ya kweli hayalazimishwi.

Mshukuru Mungu kwa yote na muombe akusaidie kuendelea mbele.
Kufikiria Sana hakutatatua tatizo lako.
Hakika kabisaah yaan. Unenena haswaaah.
 
Kwani mapenzi yana baunsa wa kinyaki? Tunamshukuru Mungu tulipita huko salama, sasa hivi tumekuwa kina aunt Sadaka. Ntakuandikia kitabu cha simulizi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau kuni tag.
 
Kuna boya hapa linataka kujinyonga demu kasepa na kijiji kasema hamtaki jamaa na status anamuweka jamaa yake mpya toka wiki iliyopita sijui alipewa nini na huyu manzi kupenda hivi ilikua olevel ila hili jamaa na midevu yake linalia kisa penzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kandamizia na maombi nkamu; cut all the soul ties formed between you two, and renounce the covenants you made.
Likija kupita hili; kuna siku utakumbuka halafu utatamani hadi ujipige kofi kwamba ulikuwa unachanganyikiwa nini

It makes a lot of sense! This is all she needs for now.
 
Ahsante sana wakuu kwa shauri zenu hakika nazidi kujipa moyo kwamba ipo siku ntakaa sawa, nimeona nguvu kubwa iliyokatika kuweka vitu au jambo bayana kuliko kubaki nalo moyoni, nimekosa amani muda mrefu sana kwa ajili hiyo ila naona napata nafuu sasa. Na kumbe kuna wengine wanaopitia kama mimi na wengine wanapitia makubwa zaidi mfano kufiwa na wapendwa wao[emoji25]. Ahsanteni sana
Na ubarikiwe sana, hebu achana naye huyo, anza upya mbna wanaume wengi sana dea tena wa kumwaga lol. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe JF tumo wengi na mimi huku kuna binti kaniacha aisee, ni miezi miwili sasa imepita yy kaishaendelea na maisha yake ila bado najitahidi kumsahau ila wp najikuta tu nimeshaanza kumtumia txt namkubusha ahadi yetu namkumbusha mwanzo wetu, lkn kinachonisikitisha sana ndiye bnti wa kwanza kudate na mimi katika maisha yangu, nasikia yeye ashagaolewa ila mimi bado nakazana tu yaan nimekuwa kama vile siamini...ile mood nilokuwa nayo ya kufanya mazoezi kila day nayonahis imeniacha yaani mambo yamekuwa zig zag, nilikuwa ninauwezo wa kupiga push ups 60 siku hizi nashindwa ata 20 yaani kiujumla nimedhoofika
Kwa hiyo dada hauko pekee yako cha kufanya chukua hii namba yangu 0694094773 tusaidiane kujifariji maake nimeingia JF kutafta ushauri japokuwa sijapost kitu ila nilikuwa naimani nitakutana na wa2 wenye hali kama niliyopo mimi. Ila dada pole amini yote yatapita, utazishinda hisia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kandamizia na maombi nkamu; cut all the soul ties formed between you two, and renounce the covenants you made.
Likija kupita hili; kuna siku utakumbuka halafu utatamani hadi ujipige kofi kwamba ulikuwa unachanganyikiwa nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mommy kweli mapenzi yanaumiza kiasi hiki? Mbna mie siamini na sielew kabisa.
 
USIJARIBU nkamu

Haya mambo moyo upo kwa A, unaenda kujilazimisha kuwa na B: ni kujitesa nafsi yako na kumtesa huyo B ambaye possibly ana pure intention kwako. Na kama hujamtoa mtu kwenye nafsi yako; ni ngumu sana hata kuona na kukubali upendo unaonyeshwa na wengine huku nje. Huwezi kuendelea na mahusiano mengine au maisha yako tu kwa sababu utakuwa bado una matumaini kuwa fulani atarudi. Muachilie nafsini mwako, amini kuwa hakuwa wako.
Hii Ni kweli Kabisa...
 
Ndiyo huwezi amini ni sauti yake pia inayonifanya nimkumbuke zaidi! Sauti ya kokoto wangu mwee, mnyakyusa wa watu miye nakufa[emoji25]

Hahahaaa pole mdada wa kinyaki, life must go on. Atakuja mnyakyusa mwenzako kukupenda, si unajuaga vile kaka zako wanajuaga kupenda? He will spoil you with nyaki love [emoji3590]. Heaven Sent kama kuna kaka ako huko ambaye hana mke jaribu kumfanyia connections binti [emoji23]
 
Moyo kama umepata ganzi yasijekutokea tena yale yale tena wakulungwa mmh[emoji848]

Don’t worry about whatever you lost. It’s the Almighty’s way of reminding you that better things are in store. He will open doors you never imagined and bring about restoration. So don’t be sad and pine over whatever’s gone. Instead, look forward towards what’s to come! The best is yet to come
 
Akitaka kurudi ntawaona tena kwa ushauri zaidi[emoji23]

Hakikisha pia unaanza kujipenda , kula vizuri nawiri ili ung’ae. Give yourself the love you deserve, be your priority. Always go out in public dressed like you're about to meet the love of your life. It'll help you gain confidence. Jinunulie viwalo vizuri utokelezee, usiomboleze kama mjane yuko eda, go out and mingle. Mengine utakutana nayo huko mbele ya safari
 
Back
Top Bottom