financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
-
- #421
Ntadelete vyote mkuu, ahsante kalumbuKwa hiyo Kalumbu financial services umeshindwa kabisa kumove on ndani ya mwaka mmoja kisa sauti kokoto?[emoji848]
Kuteseka kwako ndio kunamfanya aendelee kukutesa. Siku ukiamua kula jiwe ukakubaliana na hali in hard way basi mambo yote yataenda sawa.
Wewe jambo kitu kitakachokusaidia ku move on ni ku delete kila kilicho chake ikiwemo ndugu na marafiki zake. Usione chochote kinachomhusu. Ila usikurupuke kuvamia watu utaumia tukashindwa kwenda Urumi kujumua ulezi [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kwa hizi comments za kibabe humu naona namsahau na simtaki kabisa🤭Mtoto mzur naamini sahv ushamsahau Huyo boya c ndio [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nipo Rukwa dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aseee
Kwan we uko mkoa gani mkuu?
Ahsante mkuu ila ni wengi tunapitia hii hali, naomba ushare hapa hapa tuone woteMadame ebu njoo huku pm kuna techniques tuzidiscuss huyo mwamba utamsahau baada ya hapo....
Hadi paka futilia mbali. Ila amini usiamini ipo siku atarudi hata baada ya miaka 5. Na wakati huo umkimkubalia atakuvuruga zaidi ya sasa. Kuwa makini sisi wanaume huwa hatuna tabia za kuacha mtu moja kwa moja.Ntadelete vyote mkuu, ahsante kalumbu
Hat mm naamin kuna vischana vinaloga mkuu,yuko mmoja yaan c mkali kiivo ila baada ya kuachana kila muda ananijia kweny mawazo yangu hadi imekuwa kero sasaDah' mie mwaka sasa nimeshindwa kumove on dadekii, juzi naambiwa ashapigwa mimba lakini bado naumia,, wallah itakua aliniroga huyu kenge wa blue'
Mkuu haitowezekana kurudiana nikifanikiwa kumove on basi sitoweza kurudi tena, napata shida sahivi na hizo good moments we had together tu, nikivuka basiHadi paka futilia mbali. Ila amini usiamini ipo siku atarudi hata baada ya miaka 5. Na wakati huo umkimkubalia atakuvuruga zaidi ya sasa. Kuwa makini sisi wanaume huwa hatuna tabia za kuacha mtu moja kwa moja.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kweli nimeamini watu wanapitia mengi wengine hadi kufiwa na wapendwa wao 😪Pole sanaa mkuu,sema ndo ivo hauko mwenyew watu wanamatukio yao huk wakiyaleta hapa kwako utaona ku move on ni kitu rahis sanaa
Yaan hiki kidemu ,kinaniijia hadi usiku wa manane ,afu roho inaniuma mbaya ,nawaza mkulungwa anavokitembezea moto ilhali mie ndio nimekianzishia huo mchezo' afu kamefanya makusudi kunitafuta kumbe baharia kakitia sijui mimba' dadekiiiHat mm naamin kuna vischana vinaloga mkuu,yuko mmoja yaan c mkali kiivo ila baada ya kuachana kila muda ananijia kweny mawazo yangu hadi imekuwa kero sasa
Pole sana mkuu hakika yatapitaDah' mie mwaka sasa nimeshindwa kumove on dadekii, juzi naambiwa ashapigwa mimba lakini bado naumia,, wallah itakua aliniroga huyu kenge wa blue'
Asante' nimejaribu kila njia ya kumove on imeshindikana' asee kweli ni mtihani sio rahisi kama watu wanavodhaniaPole sana mkuu hakika yatapita
Kweli aliku spoil. Hata mtu akifa huwa anakumbukwa kwa good moments we shared zaidi na hizo huwezi ondoa. Ilikuwa mapito na kwa kuwa ulienjoy to the fullest basi huna cha kupoteza alikutumia na ulitumika vizuri.Mkuu haitowezekana kurudiana nikifanikiwa kumove on basi sitoweza kurudi tena, napata shida sahivi na hizo good moments we had together tu, nikivuka basi
Kweli mkuu, sina kinyongo naye namtakia heri kwenye maisha yake mengine👏 acha nipambane na dunia yangu piaKweli aliku spoil. Hata mtu akifa huwa anakumbukwa kwa good moments we shared zaidi na hizo huwezi ondoa. Ilikuwa mapito na kwa kuwa ulienjoy to the fullest basi huna cha kupoteza alikutumia na ulitumika vizuri.
Kuna mtu mwingine hakupi good moments. Yaani unaona kila kitu ulikuwa unambeba na hakuwa wa hadhi yako. Lakini bado anakuacha kwa ngebe na maumivu
Fanya kama amekufa hata kama yupo. Jambo la msingi mtakie heri na wewe ganga yajayo kwa amani
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ni ngumu sana ila hamna jinsi zaidi ya kucha lipite, mambo mazuri yanakujaAsante' nimejaribu kila njia ya kumove on imeshindikana' asee kweli ni mtihani sio rahisi kama watu wanavodhania
Good! Mmalile KalumbuKweli mkuu, sina kinyongo naye namtakia heri kwenye maisha yake mengine[emoji122] acha nipambane na dunia yangu pia
Kweli mkuu, sina kinyongo naye namtakia heri kwenye maisha yake mengine👏 acha nipambane na dunia yangu pia