Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Kwa hiyo Kalumbu financial services umeshindwa kabisa kumove on ndani ya mwaka mmoja kisa sauti kokoto?[emoji848]

Kuteseka kwako ndio kunamfanya aendelee kukutesa. Siku ukiamua kula jiwe ukakubaliana na hali in hard way basi mambo yote yataenda sawa.

Wewe jambo kitu kitakachokusaidia ku move on ni ku delete kila kilicho chake ikiwemo ndugu na marafiki zake. Usione chochote kinachomhusu. Ila usikurupuke kuvamia watu utaumia tukashindwa kwenda Urumi kujumua ulezi [emoji28][emoji28][emoji28]


Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app

Huyu kalumbu wako atakua hana jeuri ya kinyaki, atakua mnyakyusa wa Tukuyu huyu. Angekua wa mu ngonde mnyaki wa Kyela sa hizi asha move on kitambo, hakuna cha kokoto wala jiwe [emoji23]. Wanyaki wa Tukuyu jifunzeni kwa wenzenu wa Kyela [emoji23] jeuri yao sometimes inawasaidia
 
Huyu kalumbu wako atakua hana jeuri ya kinyaki, atakua mnyakyusa wa Tukuyu huyu. Angekua wa mu ngonde mnyaki wa Kyela sa hizi asha move on kitambo, hakuna cha kokoto wala jiwe [emoji23]. Wanyaki wa Tukuyu jifunzeni kwa wenzenu wa Kyela [emoji23] jeuri yao sometimes inawasaidia
Ni kweli kabisa wale dada zangu wa kule lazima watafute kakitu ka ku undervalue halafu wana move on kwa raha zao. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu.

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.

Nifanye nini wakuu?😪😪

Ili kusaidiwa hebu kuwa muwazi sababu za kuachana.

1. Je ulichepuka/Alichepuka?
2. Ni Mume wa mtu au wewe ni Mke wa mtu
3.
4.
5.
 
uzi unasema ,ni jinsi gani uliweza kumove on. (NI JINSI GANII ULIWEZA ???)

ila haya mapenzi yametutesa wengi thread imeuliza ni jinsi gani uliweza kumove on.watu tumekuja kucomment vilio vyetu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].tumeamua kuungana na mtoa mada
 
Ili kusaidiwa hebu kuwa muwazi sababu za kuachana.

1. Je ulichepuka/Alichepuka?
2. Ni Mume wa mtu au wewe ni Mke wa mtu
3.
4.
5.
Sababu ni
1) ilikua ni Long distance relationship Majukumu yalifanya tukawa na mahusiano ya mbali mbali
2) Wivu baina yetu hasa mimi, nilikua kama naona mwenzangu kabadilika hivo nikijaribu kumdadisi kidogo unaibuka ugomvi.
 
uzi unasema ,ni jinsi gani uliweza kumove on. (NI JINSI GANII ULIWEZA ???)

ila haya mapenzi yametutesa wengi thread imeuliza ni jinsi gani uliweza kumove on.watu tumekuja kucomment vilio vyetu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].tumeamua kuungana na mtoa mada
Nimegundua ni wengi tunapitia haya ama tumeshawahi kupitia before, ila kuna mbinu za kumove on pia wadau wametushauri👍 i appreciate it.
 
Sababu ni
1) ilikua ni Long distance relationship Majukumu yalifanya tukawa na mahusiano ya mbali mbali
2) Wivu baina yetu hasa mimi, nilikua kama naona mwenzangu kabadilika hivo nikijaribu kumdadisi kidogo unaibuka ugomvi.

Oooh okay!! Na sasa bado mko long distance ambayo ndiyo sababu kubwa ya kuachana? Je ushaingia kwenye mahusiano mapya?
 
Sababu ni
1) ilikua ni Long distance relationship Majukumu yalifanya tukawa na mahusiano ya mbali mbali
2) Wivu baina yetu hasa mimi, nilikua kama naona mwenzangu kabadilika hivo nikijaribu kumdadisi kidogo unaibuka ugomvi.

Alikua hakupendi tu huyo ndugu yangu, long distance sio issue, watu wanaishi mabara tofauti na bado hawaachani sembuse wewe mpo wote Tanzania hii hii [emoji847].
 
Nimegundua ni wengi tunapitia haya ama tumeshawahi kupitia before, ila kuna mbinu za kumove on pia wadau wametushauri👍 i appreciate it.

Mimi mwenyewe am crossing the same bridge kwa mwaka wa nne sasa. Am married and the dada is also married lakini wote bado tunapendana worse enough we have some interest hooking us in cordial ties (business not mtoto).

She thinks of me throughout I do either na amejaribu sana tuwe tuna sex but I am strongly refusing.
That's life
 
Hahaha sijipatii picha ningekuwa wa Kyela; hapa tu ni wa Tukuyu ila khaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huyu kalumbu wako atakua hana jeuri ya kinyaki, atakua mnyakyusa wa Tukuyu huyu. Angekua wa mu ngonde mnyaki wa Kyela sa hizi asha move on kitambo, hakuna cha kokoto wala jiwe [emoji23]. Wanyaki wa Tukuyu jifunzeni kwa wenzenu wa Kyela [emoji23] jeuri yao sometimes inawasaidia
Ni kweli kabisa wale dada zangu wa kule lazima watafute kakitu ka ku undervalue halafu wana move on kwa raha zao. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwenyewe am crossing the same bridge kwa mwaka wa nne sasa. Am married and the dada is also married lakini wote bado tunapendana worse enough we have some interest hooking us in cordial ties (business not mtoto).

She thinks of me throughout I do either na amejaribu sana tuwe tuna sex but I am strongly refusing.
That's life
Kwa nini hamkuoana sasa? Wenzi wenu wanajua kama mna hizo interest zenu?
 
Hapa ili iwe vizuri ukutane na mtu aliyeachwa na ukapata maumivu kama wewe ndipo penzi litanoga.

Ingawa hata mimi few days ago. Nilipigwa chini ila nikakaza kimtindo.

Kwa sasa niko vizuri ingawa bado sijapata mwanamke mwingine. Bado namsaka kwa udi na uvumba.
Ha haa we mkuu hii gia uliyoitumia hapa kurusha ndoano nimeipenda
 
uzi unasema ,ni jinsi gani uliweza kumove on. (NI JINSI GANII ULIWEZA ???)

ila haya mapenzi yametutesa wengi thread imeuliza ni jinsi gani uliweza kumove on.watu tumekuja kucomment vilio vyetu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].tumeamua kuungana na mtoa mada
Ndio tiba yenyewe kwa mwenye mkasa. Akisikia waliyopitia wenzie ataona wanaofanana na waliomzidi. Hivyo ni rahisi kusonga mbele kwa kuwa ataona ni ya kawaida na huwakuta watu wote. Ni tofauti na akikaa na jambo lake kifuani.

Ni tiba muhimu sana ya akili hiyo.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom