Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
[emoji51][emoji51]jiburudishe kidogo Sasa[emoji23]Hello wakuu, napenda nitoe mrejesho wangu.
Kwanza nawashukuruni wote kwa comments zenu hakika zimenisaidia sana kuvuka kipindi kigumu, kwasasa nimeshamove on kabisa sina mpango na yule ex tena, pia nimejikeep busy kazini na masomo so niko busy na inanisaidia kutokua na mawazo hayo.
Nawashauri wengine wote kusema ya moyoni yanayowasibu ili wasaidike kuliko kukaa kimya mwenyewe.Tuendelee kusaidiana japo kwa mawazo tu ni nzuri, mbarikiwe wote[emoji7]
I don't drink mkuu, vipi niagize juice bill's on you?😛[emoji51][emoji51]jiburudishe kidogo Sasa[emoji23]View attachment 1893050
Worry out enjoy your favorite drink...I don't drink mkuu, vipi niagize juice bill's on you?[emoji14]
Thank you and here is the bill 😜🏃♀️Worry out enjoy your favorite drink...
K mbususu au?
No siyo ni "au mbususu K" 😏K mbususu au?
Pole mkuuHabari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Kama hujaelewa si uulize vizuri tu! FyuuK mbususu au?
Nikikutumia msg zangu watsap hujib! Umekua now dayz eeh!No siyo ni "au mbususu K" [emoji57]
Ni lini nilikua mdogo? Uko sawa kweli wewe?Nikikutumia msg zangu watsap hujib! Umekua now dayz eeh!
UmenilogaNi lini nilikua mdogo? Uko sawa kweli wewe?
SawaUmeniloga
Ahsante nishapoa mkuuPole mkuu
Take this and keep change tena nmeivisha na mask isikusababishie uviko19[emoji12]
Thank you, umenikomesha😂😂🙌Take this and keep change tena nmeivisha na mask isikusababishie uviko19[emoji12]View attachment 1893212
HaswaaThank you, umenikomesha[emoji23][emoji23][emoji119]
You're not ok, namquote mwanaume mwenzako unaitikia wewe , kuwa makini kijana😼Haswaa
[emoji16][emoji16]sikuweka ya kutolea au??Thank you, umenikomesha[emoji23][emoji23][emoji119]
No ipo hadi nauli umeweka ila tu nasema hivi umenikomesha😂[emoji16][emoji16]sikuweka ya kutolea au??
Nilidhani haijatosha nikuchukulie ubber!No ipo hadi nauli umeweka ila tu nasema hivi umenikomesha[emoji23]