financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
-
- #541
Ahsante kwa clarification nzuri, anadhani pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi🤭Na vile vile waweza kuwa na kila kitu na bado usipendwe hata kidogo love huwa ni intimacy flani hivi yenye connection kubwa, waweza kuwa mhongaji mzuri yet nikawa sikubali vilevile
Ahsante sana mkuu na ndicho nilichoamua kufanya! Nimepoteza kitu then basi siku ntapata kingine.Pole sana mdau!
Hapo maumivu ni noway, ukitaka kuyavuka hayo ni kuchukuwa tu uamuzi mgumu unafanya kama vile umepoteza pesa mchangani, umetafuta umekosa na hujuei nani kaokota! So unaamua kupotezea tu!
Wanaume wanafikiriaga hela ndio kila kitu lohAhsante kwa clarification nzuri, anadhani pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi[emoji2960]
Wanaume wanafikiriaga hela ndio kila kitu loh
I'm telling you the truthHaiwezakani hata kdg mapenzi ya bongo bali dunia mzima sasa ni pesa tu au sexy kakuchapa vizuri hayo mengine yanfuta baadae
Ahsante kwa clarification nzuri, anadhani pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi🤭
Aah hamna cha ajabu sana nilitokea tu kumpenda 🤪Sema basi huyo jamaa alikuwa anakufanyia nini mpaka ukasema you loved him the bottom heart
Sema ni kitu gani huyo mwamba alikupa hadi kufikia hatua unashindwa ku move on, pls!!Aah hamna cha ajabu sana nilitokea tu kumpenda [emoji2957]
Nilikua namfinyia kwa ndani vizuri, haya ñimesema sasa maana nikisema upendo wa kawaida kama mnabisha vile😒Sema ni kitu gani huyo mwamba alikupa hadi kufikia hatua unashindwa ku move on, pls!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua namfinyia kwa ndani vizuri, haya ñimesema sasa maana nikisema upendo wa kawaida kama mnabisha vile[emoji19]
Mkuu ulikua unaniuliza ili unicheke siyo? Sawa😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.
Nifanye nini wakuu?😪😪
Pm ya nini tena mkuu, unataka siku nilete uzi wa pili humu🤫naomba ni pm
Pm ya nini tena mkuu, unataka siku nilete uzi wa pili humu🤫
Sema hapa hapa mkuu usijalipls njoo inbox hutojuta
Sema hapa hapa mkuu usijali
Ni kitu gani hicho ulichotaka iwe siri mkuu?, sema tu hapasasa unataka kila mtu aone
Okpls njoo inbox hutojuta