Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Na vile vile waweza kuwa na kila kitu na bado usipendwe hata kidogo love huwa ni intimacy flani hivi yenye connection kubwa, waweza kuwa mhongaji mzuri yet nikawa sikubali vilevile
Ahsante kwa clarification nzuri, anadhani pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi🤭
 
Pole sana mdau!
Hapo maumivu ni noway, ukitaka kuyavuka hayo ni kuchukuwa tu uamuzi mgumu unafanya kama vile umepoteza pesa mchangani, umetafuta umekosa na hujuei nani kaokota! So unaamua kupotezea tu!
Ahsante sana mkuu na ndicho nilichoamua kufanya! Nimepoteza kitu then basi siku ntapata kingine.
 
naomba ni pm
Habari wakuu.

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.

Nifanye nini wakuu?😪😪

 
Back
Top Bottom