BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Mi ndo namalizia accaYes mkuu! na wewe the same?
Nyie wanawake ndio mmetufanya sisi wanaume tufikirie kuwa hela ni kila kitu kwenye swala la mahusiano ya kimapenzi na mwanamke, hata comments zenu humu jf zinaonesha hivyo cariha financial servicesWanaume wanafikiriaga hela ndio kila kitu loh
Dawa ni kumrudia tu ili ufurahie, sivyo?Habari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.
Nifanye nini wakuu?[emoji25][emoji25]
Ninapenda mwanamke muwazi kama wewe.Mkuu usione huu ujanja humu! Mimi ni mshamba tu[emoji25][emoji25] ahsante
Replacement nyingine huwa zinafeli. Watch out, the best way to heal is to depend on yourself with self love & hobbies.Replacement...
Replacement...
Replacement my best.
Wewe ni haramia, na ndivyo huwa tunafanya mwamba.Ungekuwa mwanaume ningekushauri kupiga vyombo na kuzichakata papuchi. Ila kwakuwa wewe ni Mwanamke nimekosa ushauri.
Mtafute akikuelewa mtakuwa mmemaliza, asipokuelewa chapa raba kwa vishindo.Aah siwezi mwambia itakua kama namlazimisha hivi nilidhani mwenyewe tu kama kweli na upendo kwangu angeweza kurudi.[emoji849]
Tatizo kumpata mwanaume ambaye kemia itakuwa inaendana au aliyekuvutia ni kazi. Ila kama ni mwanaume yeyote sawa wapo wengi ila with shitty personalities . Haya mambo ni magumuKwa sisi waschana ni chap tu mana tunatongozwa daily...
Siyo rahisi, it takes longer than you think.Ingia kune rtnship ingine, trust me utamsahau
HaramiaNjoo kwangu babe leo nipo free, nimejiskia vibaya sana
Ndio mtatoa hela lakini kamwe hamutapata upendo wa kweli mkuu, na hatutaacha kuwachunaNyie wanawake ndio mmetufanya sisi wanaume tufikirie kuwa hela ni kila kitu kwenye swala la mahusiano ya kimapenzi na mwanamke, hata comments zenu humu jf zinaonesha hivyo cariha financial services
Kweli kabisaHii ni quick solution mzee baba! [emoji23] ila tatizo atapenda tena hapo af sehemu haiko serious!
Easily said than done...entanglements!!!
Wacha weeee, nitakuja unipe mistari ya kumwambia mpenzi wanguNakuelewa sana tu mrembo
It takes a minute to get crush on someone, and hour to like someone and day to love someone, but it's takes a lifetime to forget someone.
Utakuwa sawa financial services, jitahidi kukaa karibu na Mungu zaidi,,,wazungu wanasema muda huponya...so usikate tamaa ,,amini kuna sababu kwa kila jambo,,,liwe zuri ama baya Mungu ana sababuAah mimi nimelia sana na ndiyo kwanza mwenzangu ni kama anafurahia kuumia kwangu. I hope siku ntakua sawa tu.👏
[emoji23][emoji23][emoji23]uje na hela sitoi bure burewacha weeee, nitakuja unipe mistari ya kumwambia mpenzi wangu
hahahahhaa