BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Niliwahi kusimulia humu ila nairudia tena.
Niliteseka kwa Two Flat years aliponiacha na mbaya zaid mpaka leo sikuwahi kujua kilichomfanya akaniacha ni nini, nilimbembeleza sana anirudie akaniambia harudigi nyuma. Ilifikia hatua nikawa najishauri within me nikamueleze baba kilichonikuta ili anipe mbinu ya nini cha kufata ila sauti nyingine nikawa naisikia ikiniambia acha ubwege mbwa we, umekua sasa fanya maamuzi mwenyewe.
Niliteseka, nilitaabika kmmmmk sijawahi kuteseka vile maisha yangu yote na sitowahi qmamamake kuja kutaabika kwa mahusiano. Niliacha muda ukapita, nikawa sawa mpaka leo hii nina sugu na ganzi moyoni.
Niliteseka kwa Two Flat years aliponiacha na mbaya zaid mpaka leo sikuwahi kujua kilichomfanya akaniacha ni nini, nilimbembeleza sana anirudie akaniambia harudigi nyuma. Ilifikia hatua nikawa najishauri within me nikamueleze baba kilichonikuta ili anipe mbinu ya nini cha kufata ila sauti nyingine nikawa naisikia ikiniambia acha ubwege mbwa we, umekua sasa fanya maamuzi mwenyewe.
Niliteseka, nilitaabika kmmmmk sijawahi kuteseka vile maisha yangu yote na sitowahi qmamamake kuja kutaabika kwa mahusiano. Niliacha muda ukapita, nikawa sawa mpaka leo hii nina sugu na ganzi moyoni.