π Hivi bado tu..πHuwa unamove on kwa kureplace mwingine faster?
Ahsante sana mkuu, ntazingatia hayaπ1.kuwa busy mda mwingi na mambo yako usikae loss hata kama hakuna kitu chakufanya basi ww jipe ili tu uwe busy na usiupoe ubongo mda wa kufikiria vilivyopita
2.jichanganye na watu
3.usitafute mtu mwingine kwa haraka kwaajil ya kuziba pengo
4.kama unapenda mazoez basi tumia mda mwingi kwenye mazoez
5.weka mbali vitu ambavyo ukiviona unakumbuka ya nyuma
π wewe ni kakorofiiiπ Hivi bado tu..π
Naweza kukusaidia acha ubishi..ππ wewe ni kakorofiii
Wewe mwenyewe tu ulilia kama katoto, utanisaidia niniπNaweza kukusaidia acha ubishi..π
Unafikiri anaekusaidia ni yule ambae hajawahi kupitia? Hata waajiri hutaka mwenye experience!Wewe mwenyewe tu ulilia kama katoto, utanisaidia niniπ
Sikutaki na msaada wakoππ niachie kifurushi changu cha mwaka, fresh tuπββοΈUnafikiri anaekusaidia ni yule ambae hajawahi kupitia..? Hata waajiri hutaka mwenye experience!
Kama siwezi kukusaidia basi pambana na balaa lako la mwaka mzima..π
Ha ha! Kwasisi wanasaikolojia tushakuelewa kwa hichi ulichokiandika kimesema kitu kikubwa tu! Ati fresh tu..πSikutaki na msaada wakoππ niachie kifurushi changu cha mwaka, fresh tuπββοΈ
Ntakudunda kenzy, niacheeeeHa ha! Kwasisi wanasaikolojia tushakuelewa kwa hichi ulichokiandika kimesema kitu kikubwa tu! Ati fresh tu..π
Hii maana yake mtu anaetaka kuangalia lakini anavunga hataki kuangalia!.. usishupaze shingo dada wa watu ubariki moyo wako uirudishe furaha yako uliyojizurumu.
ππNtakudunda kenzy, niacheeee
Ntakudunda pamoja na huyo mpenzi wako mpya, ntawachanganya pamojaππππ
Ukweli mchungu mpaka natishiwa kudundwa..π€£
Dada wa watu kwaheri yako ni makubwa siyawezi utafika mbinguni ukiwa umechoka Sana..π€£Ntakudunda pamoja na huyo mpenzi wako mpya, ntawachanganya pamojaππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mwenyewe tu ulilia kama katoto, utanisaidia nini[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada wa watu kwaheri yako ni makubwa siyawezi utafika mbinguni ukiwa umechoka Sana..[emoji1787]
ππππ hivi mbona unaniona kama Bibi yako mimi , umenionea sana sawa banaDada wa watu kwaheri yako ni makubwa siyawezi utafika mbinguni ukiwa umechoka Sana..π€£
Basi pole uchilie toto eti..? Takupeleka mjini ukale pop corn..πππππ hivi mbona unaniona kama Bibi yako mimi , umenionea sana sawa bana
Hapana mpaka nipate sababu ya replacement.Huwa unamove on kwa kureplace mwingine faster?
Nami nataka kujua[emoji23] Hivi bado tu..[emoji28]
Tunasubiri jibu[emoji23] wewe ni kakorofiii
Nilishamove on guys,nilishamsahau na nimefuta kumbukumbu zake, nipo busy na mambo mengine. Nawashukuruni wote.Tunasubiri jibu