Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hope ulilenga kuandika 'yasikukute'..Ahsante mkuu naombea yakukute pia inaumiza sana, try to settle down your issues msifikie breakup
DepalHahaha time is the best healer. Ila wewe inaonesha unajiendekeza shoo.... Ukikubali kutokea kwenye uvungu wa moyo wako kwamba he's no longer yours hakika utamsahau.
Mimi ilikuwa nikiona Brevis tu moyo unapiga paaa, asubuhi nikienda mishe mishe lazima nipite njia inayopita kazini kwake + anapoishi. Can you imagine that faken situation i had? Ila nilijiruhusu kumsahau and now I'm all good. Hata nikimkumbuka ni kwa uzuri sio kama zamani nikimkumbuka nakabwa kooni na uchungu. [emoji23]
Moving on, starts by pretending.Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu[emoji25][emoji25]
Ukiona huwezi tumia hiyo basi jua hujafikia kiwango cha juu cha maumivu, hiyo kitu imenisaidia kwa mambo makubwa kuliko hata hizo breakups.Hii si bangi mbichi na kavu hii, ndiyo ilikusaidia kumove on mkuu? Mimi hapana siwezi tumia hii🙌
Yaani sawa dear [emoji122]
Njoo kwangu hakika utasahau yote nakupenda sana bibie [emoji7][emoji7]Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu[emoji25][emoji25]
Kune au kwenye?Simple tu ingia kune mahusiano mengine,eventually utamsahau
Naomba desa dogoHahaha time is the best healer. Ila wewe inaonesha unajiendekeza shoo.... Ukikubali kutokea kwenye uvungu wa moyo wako kwamba he's no longer yours hakika utamsahau.
Mimi ilikuwa nikiona Brevis tu moyo unapiga paaa, asubuhi nikienda mishe mishe lazima nipite njia inayopita kazini kwake + anapoishi. Can you imagine that faken situation i had? Ila nilijiruhusu kumsahau and now I'm all good. Hata nikimkumbuka ni kwa uzuri sio kama zamani nikimkumbuka nakabwa kooni na uchungu. [emoji23]
NIMEKUELEWANashukuru Mungu kwenye mapenzi alinipaga moyo mwepesi wa ku let go, hata niumie kiasi gani, arooo hata wiki haiishi naendelea na maisha mengine.
Slogan yangu ni moja tuu nitampenda mtu saana na nitamjali kuliko hata ninavyojijali sinaga vya kuwaza nisifanye kitu fulani kuogopa tukiachana nitaumia, ndo kwaanza nitafanya.
Ikitokea tumeachana nasema tu Mungu asante hii tuition hamna nilichobakiza nime cover topics zote, sijapoteza mimi yeye ndo kapoteza.
Nafuta kila kitu chake namba na simu na block juu (kwa wale wanaojidai kutaka tuendelee kuwa marafiki baada ya kuachana, huu ujinga sitakagi)
Hata akija mwingine nitapenda tena kama sijawahi kupenda naye kama ni tuition fresh tu. Ila ninakoelekea najiona naenda kuacha hii kamari.
Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu😪😪
Hujawahi kuchepuka (Kuchakatwa nje) [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hapana sikuzaliwa naye mkuu, ila nilikua nampenda sana[emoji25][emoji25]
Njoo kwangu babe leo nipo free, nimejiskia vibaya sanaHabari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu😪😪