Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

Habari wakuu

Kwa muda mrefu nimekutana na kesi mbalimbali za watu kuibiwa kwa namna ya kupumbazwa akili ( hypnosis).

Unakutana na mtu anakusalimia, ukishaitikia tu ndo kosa lako[emoji51][emoji51] .. Unakuja kushtuka ulishampa simu, wengine huenda hata bank na kutoa hela na kuwapa hao matapeli.[emoji2365] imagine enzi niko sekondari kuna classmate yeye aliwapa mpaka mkanda wake wa kiunoni manzese pale[emoji16]

Binafsi sijawahi kukutwa na hayo maswaibu, ila najiuliza ni nini kinga ya watu kama hao au hii mbinu ina Apply kwa baadhi ya watu tu ?
Kanuni ya maisha ya mjini ni kutoshabikia chochote usichokijua na kutofuatilia chochote kisicho kuhusu au kisicho na maslahi kwako. Mambo ya kusalimia salimia watu usiowajua ni upuuzi. Fanya yako, unaanza kumuuliza mtu habari za mchana humjui hakujui akikuambia ananjaa utampa chakula? Unakuta mtu yuko bussy kuanhalia karata tatu hajui 50% ya waliopo.pale ni wamoja. Acha kushangaa mjini utaumia
 
Kila nikikumbuka nalia mie [emoji24][emoji24][emoji24]

Ilikua 2019 December, npo 1St yr na 1st semester, ilikua ni pale posta pale karibu na bunge primary,

Ni weekend ilikua nkatoka zangu home, nkamtembelea shost angu pale IFM, bas nkafika palee chuon tuka meet then tukatoka kuelekea Coco beach, tuka enjoy huko then tukarud nikamuacha pale chuon kwake, mie naondoka kurud home, bas natembea tyuuh kufika karibu na pale shule nakutan na mkaka kwa kumtazama nilihis ni mwanachuo pia, coz alikua na muonekano huo.

Akaanza kunisemesha mara story kidg nkashangaa namkabizi mkoba ulikua na 180k, na cm ndogo, na funguo za ghetto, nkampa na cm kubwa niliyoshka mkononon, hata sijui nilimpaje, tukaachana tena kwaa kuagana vizuri, Mie nkaenda kupanda boda huyo home,

Fahamu imekuja kurudi nipo kwenye boda, najishangaa cna cm, mkoba pia, yaan hata sikua naelewa, kufika home jamaa inabidi nimpe naul yake nabaki kuhaha, ikabidi niingie ndani nkaomba msaada wa yule boda kuvunja kufuli nkaingia ndan nkatoa hela nkampa akaondoka, nilianza kulia mie hapo hadi kamasi,

Wallah sitasahau lile tukio kamweee. Na lilinipa funzo hapa dar, now hata marafiki siwaamini akuuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kila nikikumbukaga sometimes naliaa tyuuh. Dar hapana kwa kweli khaaaaah.
 
Hii imewakuta watu watatu tofauti ninaowafahamu sijui hawa wezi wanatumia dawa gani

Wa kwanza; Huyu yeye alizubaishwa Mwenge na akawapa kiasi cha pesa alichokuwa nacho pale, akaja nao mpaka anapoishi huko Skanska akawapatia Akiba, kama haitoshi akakopa kwa jirani akawapatia, akakopa kwa ndugu pia akawapatia. Baada ya jamaa kusepa ndo anakuja kustuka baada ya kuongeleshwa, ilikuwa kilio kuanza kulipa madeni.

Wa pili ni huko Bonyokwa, huyu dada yeye alipumbazwa akawapatia simu, pesa na bado akaenda nao kwake akaanza kuwapa vitu vya ndani. Majirani walipomuuliza mama fulani unahama? Fahamu zikamrudia jamaa hapo washasepa fasta.

Wa tatu ni mdada wangu wa kazi; na akaambiwa mambo ya nyota, pia akaambiwa ndani una akiba ya fedha akajibu ndiyo. Alikuwa na simu lakini hakuwapa na wala hawakuongozana but alivyofika nyumbani akaenda kukoga na simu aliweka kitandani but alivyotoka kuoga akakuta bahasha, kufungua akakuta mche wa sabuni, ile akiba nayo imetoweka. Kilio chake hakikuwa cha nchi hii ikabidi tu nimpatie simu na akiba yake.

Kwa haya mafunzo, wapendwa tuwe makini. Najua si rahisi kutomwongelesha mtu lakini tujitahidi kuepuka mitego ya namna hii.
Duh jamaa zako wote ndio Wana ibiwa wewe huibiwi. Wewe ni suspect!!!
 
Ni rahisi sana ! Acha Tamaa na fanya mambo yanayokuhusu
Nakazia Mkuu; pia Tusijirahisishe sana, Tusijiachie ki-vile na kuongea na Mtu yeyote Kiholela kwa madai kwamba eti aliniongelesha au alikuwa ananiuliza....(kwa mfano wahanga wengi ni wale wanaoridhia kutoa msaada wa kuonesha njia au mahali kilipo/kinapatikana kitu fulani au huduma fulani). Wahanga hao Wapo ni wepesi kusalimiana kwa kushika mkono au kuchangamkia mazungumzo).Yupo mdau humu aliwahi kuleta uzi unaohusu jambo hilo na alielezea vizuri sana matumizi ya scopolamine. - Hakuna uchawi wowote hapo ila Ujinga wa Muathirika ndo unatumika.
 
☝🏾Nimesoma hizo comments zenu tatu nikataka kujua umri wenu, but nimepata jibu.

Although nawaomba acheni huo utoto mnaowaza, at the point nina kisa cha mdogo wa mamaenu hapa yaliyomkuta kwa sinema kama mnazowaza.
Ni taadhari tu katika maisha upaswi kuwa na akili moja
 
Nakazia Mkuu; pia Tusijirahisishe sana, Tusijiachie ki-vile na kuongea na Mtu yeyote Kiholela kwa madai kwamba eti aliniongelesha au alikuwa ananiuliza....(kwa mfano wahanga wengi ni wale wanaoridhia kutoa msaada wa kuonesha njia au mahali kilipo/kinapatikana kitu fulani au huduma fulani). Wahanga hao Wapo ni wepesi kusalimiana kwa kushika mkono au kuchangamkia mazungumzo).Yupo mdau humu aliwahi kuleta uzi unaohusu jambo hilo na alielezea vizuri sana matumizi ya scopolamine. - Hakuna uchawi wowote hapo ila Ujinga wa Muathirika ndo unatumika.

Naomba link ya huo uzi tafadhali ndugu.
 
Pole sana ila hauko mwenyew ilishawah Nikuta😂😂 nikikumbuka na cheka tu,jambo muhimu usijirahisishe Kwa mtu usiye mjua kutoa Msaada ,just try kuwa na roho mbaya na upite kushoto Tena bila maongez
Kila nikikumbuka nalia mie [emoji24][emoji24][emoji24]

Ilikua 2019 December, npo 1St yr na 1st semester, ilikua ni pale posta pale karibu na bunge primary,

Ni weekend ilikua nkatoka zangu home, nkamtembelea shost angu pale IFM, bas nkafika palee chuon tuka meet then tukatoka kuelekea Coco beach, tuka enjoy huko then tukarud nikamuacha pale chuon kwake, mie naondoka kurud home, bas natembea tyuuh kufika karibu na pale shule nakutan na mkaka kwa kumtazama nilihis ni mwanachuo pia, coz alikua na muonekano huo.

Akaanza kunisemesha mara story kidg nkashangaa namkabizi mkoba ulikua na 180k, na cm ndogo, na funguo za ghetto, nkampa na cm kubwa niliyoshka mkononon, hata sijui nilimpaje, tukaachana tena kwaa kuagana vizuri, Mie nkaenda kupanda boda huyo home,

Fahamu imekuja kurudi nipo kwenye boda, najishangaa cna cm, mkoba pia, yaan hata sikua naelewa, kufika home jamaa inabidi nimpe naul yake nabaki kuhaha, ikabidi niingie ndani nkaomba msaada wa yule boda kuvunja kufuli nkaingia ndan nkatoa hela nkampa akaondoka, nilianza kulia mie hapo hadi kamasi,

Wallah sitasahau lile tukio kamweee. Na lilinipa funzo hapa dar, now hata marafiki siwaamini akuuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kila nikikumbukaga sometimes naliaa tyuuh. Dar hapana kwa kweli khaaaaah.
 
Pole sana ila hauko mwenyew ilishawah Nikuta[emoji23][emoji23] nikikumbuka na cheka tu,jambo muhimu usijirahisishe Kwa mtu usiye mjua kutoa Msaada ,just try kuwa na roho mbaya na upite kushoto Tena bila maongez
Kwanza sahivi nilivyo mkaksi, staki mazoea ya hovyoooo na watu mie lol
 
Ngoja sasa niwaeleze namna tunavyofanyaga hizo mambo,nakuja na Uzi mujaraaaab
 
dadangu alishapigwa mitaa ya chini ya mti hapao A twn

aliambiwa tu dada “samahani unapajua kituo cha watoto yatima kinaitwa huruma”

fahamu zilipotea hapo hapo kuja kushtuka alishawapa simu pochi, kadi ya bank na mpk hela ya nauli.
walimuosha ka hela kake kote
 
Unakauxha hakna kuongea wala kumtazama na kuonesha ushirikiano naye
 
Akikusalimia jifanye humsikii
 
Vuta ganja ukomaze akili ili uepushe matatizo madogo kama hayo...kwanza ni wachache watakaopata ujasiri hata wa kukusogelea🐒
 
Back
Top Bottom