Jinsi gani ya kumshitaki mjeshi anayesumbua wananchi?

Jinsi gani ya kumshitaki mjeshi anayesumbua wananchi?

Mambo vip jman

Ni nani anajua jinsi ya kumshtaki mwanajeshi anaesumbua wananchi nipo huku naona Mzee anaonewa kweli Mzee anaumri wa miaka 66 anarukishwa kichura chura uraiani.
Kwahiyo umekuja kunistaki huku, sasa subir uone kesho namchomfanya mzee wako
 
Back
Top Bottom