Makobus
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 169
- 110
Nimefungiwa rear camera kwenye gari yangu. Nami kwa kutokujua, niliondoka bila kujua kuwa huwa zinaonesha mistari miwili ambayo ni mpaka wa kitu kilicho katikati ya barabara.
Inanipa shida, kwani, japo inaonesha nyuma, inaonesha vyote hata vilivyo pembeni.
Nisaidieni jinsi ya kurekebisha.
Inanipa shida, kwani, japo inaonesha nyuma, inaonesha vyote hata vilivyo pembeni.
Nisaidieni jinsi ya kurekebisha.