Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Sijaona janja janja hapo,labda utueleze wewe janja janja umeiona wapi?Video mbona zimerekodiwa kijanja janja
Kusikiliza watu wa Mnyaazi ni kusumbua masikio na macho tu.. uzuri wa Israel hana blah blah kifi r u tuHawana maneno mengi ni utekelezaji tu. Nilikua nasoma asubuhi Sasa hivi israeli hawezi kurusha ndege vita Lebanon kama avotaka zinatolewa nduki sana na Air defense za Iran.
Uongo flani hivi amazing 😂Siongei sana. Sina maneno mengi!
Video yenyewe iliyosheheni operation za Hezbollah inajisemea. Tazama!
View: https://m.youtube.com/watch?v=JpONxjW0X9Q
Mazayuni yamechezea kipigo cha haja 🤣🤣Siongei sana. Sina maneno mengi!
Video yenyewe iliyosheheni operation za Hezbollah inajisemea. Tazama!
View: https://m.youtube.com/watch?v=JpONxjW0X9Q
Hawa wavaa misalaba akila zao ziko pande nne 😄Sijaona janja janja hapo,labda utueleze wewe janja janja umeiona wapi?
Nashangaa ushabiki wao unawafanya wazifukie akili zao.Hawa wavaa misalaba akila zao ziko pande nne 😄
Wambie hii leo wamechezea kichapo toka kwa Hezbullah au na hii pia imeungwa ungwa kijanja 😄Nashangaa ushabiki wao unawafanya wazifukie akili zao.
Hizbollah is synonymous to IRGC Iran.Ngoja tumalize gaza hao salamu zao tumezipata
Amka usijikojolee. Israel inarusha ndege kwenye anga la Syria ambapo Iran ipo miaka zaidi ya 10. Sembuse hapo Lebanon ambapo Iran hawana military presence?Hawana maneno mengi ni utekelezaji tu. Nilikua nasoma asubuhi Sasa hivi israeli hawezi kurusha ndege vita Lebanon kama avotaka zinatolewa nduki sana na Air defense za Iran.
Sikia wa Israel ndio wanakujibu sio sisi wewe muzaji ntalali na mfulu na karanga/viaxi/mihogo vya kuchemsha unajua nini wewe dogo.Amka usijikojolee. Israel inarusha ndege kwenye anga la Syria ambapo Iran ipo miaka zaidi ya 10. Sembuse hapo Lebanon ambapo Iran hawana military presence?
Wakati Jenerali Soleimani anauwawa na drones kule Iraq hakukuwa na mifumo hiyo? Mbona Iran ipo miaka mingi na silaha zake Iraq.
Wakati majenerali wa Iran pale Damascus wanauwawa na shambulizi la ndege za Israel hiyo mifumo ya ulinzi wa anga haikuwepo? Iran ishindwe kulinda majenerali wake ije kulinda wanamgambo.
Pale Syria hadi Russia ina air defense systems ila hutokaa usikie Israel imeshindwa kufanya inavyojisikia kufanya.
Ndugu zao wanazika kila siku mujahudini wao jua hilo
Wacha weeeeeee, mwarabu wa kiembesamaki huyo.Hawana maneno mengi ni utekelezaji tu. Nilikua nasoma asubuhi Sasa hivi israeli hawezi kurusha ndege vita Lebanon kama avotaka zinatolewa nduki sana na Air defense za Iran.
Hiziboullah inaichapa Israel?...acha masihara weweSiongei sana. Sina maneno mengi!
Video yenyewe iliyosheheni operation za Hezbollah inajisemea. Tazama!
View: https://m.youtube.com/watch?v=JpONxjW0X9Q
Israel wanazungumza kwa kupitia YouTube channel inaitwa TOI? Hao ni Israel wa uko kwenu KimbangulileSikia wa Israel ndio wanakujibu sio sisi wewe muzaji ntalali na mfulu na karanga/viaxi/mihogo vya kuchemsha unajua nini wewe dogo.
View: https://youtu.be/JZ7efJ2uyYQ?si=sVgki3guWfFWGLDD