FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ulitaka zirekodiwe kijinga jinga?Video mbona zimerekodiwa kijanja janja
Nyingine hiyoo👇🏾
View: https://youtu.be/A42N3OF9Q28?si=UNZoJY1tXc2pHsxN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka zirekodiwe kijinga jinga?Video mbona zimerekodiwa kijanja janja
Una ujinga sana unajaribu kuhusisha ukristo na hiyo vita. Hivi nikuulize kitu kwanini hamas walirusha mabomu kuuwa waisrael October 7. Na Fuvu lako lione ni haki kwa hamasi kuuwa waisrael Ile October 7.Na fuvu ilo ilo lione si haki waisraeli kuuwa?. Bichwa lako lilitaka Israel asijibu akae kimya tu. Usichokijua Mwisrael wa hivyo bado hajazaliwa Mwisrael halisi ndiyo huyo muuwe atakuuwa ni jino kwa jino.😄 mimi niwe na hasira sababu yawavaa misalaba, peleka pesa kanisani huko hasa kama umekaa bench ya mbele ukatoe 1000 ili unywe maji alio leta Padr😄
We kweli kondoo ukisema nisihushishe ukristo wakati nyie wakristo ndio mnashangilia Israel kwa ujinga wa kiwauwa civilian.Una ujinga sana unajaribu kuhusisha ukristo na hiyo vita. Hivi nikuulize kitu kwanini hamas walirusha mabomu kuuwa waisrael October 7. Na Fuvu lako lione ni haki kwa hamasi kuuwa waisrael Ile October 7.Na fuvu ilo ilo lione si haki waisraeli kuuwa?. Bichwa lako lilitaka Israel asijibu akae kimya tu. Usichokijua Mwisrael wa hivyo bado hajazaliwa Mwisrael halisi ndiyo huyo muuwe atakuuwa ni jino kwa jino.
Wewe unadhani jeshi la Yemen kama JWTZ ina mizinga ya saba saba mitano tu 😄Aliposema Yemeni Armed Forces mimi mbavu sina 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu embu usitupige kamba.Amka usijikojolee. Israel inarusha ndege kwenye anga la Syria ambapo Iran ipo miaka zaidi ya 10. Sembuse hapo Lebanon ambapo Iran hawana military presence?
Wakati Jenerali Soleimani anauwawa na drones kule Iraq hakukuwa na mifumo hiyo? Mbona Iran ipo miaka mingi na silaha zake Iraq.
Wakati majenerali wa Iran pale Damascus wanauwawa na shambulizi la ndege za Israel hiyo mifumo ya ulinzi wa anga haikuwepo? Iran ishindwe kulinda majenerali wake ije kulinda wanamgambo.
Pale Syria hadi Russia ina air defense systems ila hutokaa usikie Israel imeshindwa kufanya inavyojisikia kufanya.
Ona ulivyo mtupu kichwani.Una ujinga sana unajaribu kuhusisha ukristo na hiyo vita. Hivi nikuulize kitu kwanini hamas walirusha mabomu kuuwa waisrael October 7. Na Fuvu lako lione ni haki kwa hamasi kuuwa waisrael Ile October 7.Na fuvu ilo ilo lione si haki waisraeli kuuwa?. Bichwa lako lilitaka Israel asijibu akae kimya tu. Usichokijua Mwisrael wa hivyo bado hajazaliwa Mwisrael halisi ndiyo huyo muuwe atakuuwa ni jino kwa jino.
Una maana wale Wanamgambo wanaotafuna Mirungi?!Yemen ni kiboko yule usimfananishe namajeshi mengine.
Sasa nani anapiga kelele Kama siyo wewe. Acha wadundane tu wakichoka watatulia .watu wanachukua ardhi kila siku alafu unaleta ushabiki wa kidini.Ona ulivyo mtupu kichwani.
Ugomvi haukuanza October 7,ulianza August ambapo IDF pamoja na walowezi wa kizayuni walikua wakichoma mashamba ya mabedui Jenin na kuvunja nyumba zao.
Wakahamia Gaza wakafunga Bereta juu ya ukuta.
Je ulitaka Hamas wakae kimya!?
Mpumbavu kweli wewe.
Antoine Gutteres alishalieleza hili vita haijaanza October 7 watu wasijisahaulishe.
Vyombo vya habari kipindi vinaripoti August nyumba za Wapalestina zikivunjwa hakuna chombo cha kimataifa kilipiga kelele wala kupaza sauti,kisa ni Israel.
Ila Hamas alipo retaliate mnapiga kelele au siyo!?
Hao hao lakini hakuna jeshi limesogeza pua pale we baki wanatafuna mirungi lakini USA na UK na Saud Arabia, Jordan. Baharain, UAE na Morocco walipiga we mwisho wakachoka hawazifiki silaha zao, wanapiga empty mountains au wakapige vijumba vya raia au camp wauwe walinzi tu wa Gate 😄Una maana wale Wanamgambo wanaotafuna Mirungi?!
Jiulize na wewe kwann hadi Urusi ana mifumo ya Ulinzi wa anga Syria lakini Israel huwa anarusha makombora? Lakini habiki maeneo ya Urusi? Msiwe mashabiki maandazi tu Wakubwa wa dunia wanalinda maslahi yao tu hakuna lingine mwambieni huyo Mteule wenu wa Mungu apige kambi za Mrusi uone kama kuna ndege itakatiza Syria 😂Amka usijikojolee. Israel inarusha ndege kwenye anga la Syria ambapo Iran ipo miaka zaidi ya 10. Sembuse hapo Lebanon ambapo Iran hawana military presence?
Wakati Jenerali Soleimani anauwawa na drones kule Iraq hakukuwa na mifumo hiyo? Mbona Iran ipo miaka mingi na silaha zake Iraq.
Wakati majenerali wa Iran pale Damascus wanauwawa na shambulizi la ndege za Israel hiyo mifumo ya ulinzi wa anga haikuwepo? Iran ishindwe kulinda majenerali wake ije kulinda wanamgambo.
Pale Syria hadi Russia ina air defense systems ila hutokaa usikie Israel imeshindwa kufanya inavyojisikia kufanya.
Hilo Jeshi la Yemen lililopigwa na Jeshi la Eritrea na kunyang'anywa Visiwa vya Dahlak?!Wale si JWTZ ukadhano wana mizinga mitano tu ya saba saba na miwili mibovu 😄
Hahaha dogo acha ujinga Eritrea alivamia kisiwa cha Yemen wakati ule alikuwa Rais Ali Abdallah Saleh huyo aliwapa warning Eritrea waondoke kwa usalama mbona waliondoka lini Eritrea alipigana vita na Yemen 😄Hilo Jeshi la Yemen lililopigwa na Jeshi la Eritrea na kunyang'anywa Visiwa vya Dahlak?!
Wayemeni wenyewe walitawaliwa na Waethiopia.
JWTZ ni Jeshi imara.
occupation of Yemen by the Christian Abyssinian kingdom (modern Ethiopia) in the 4th and early 6th centuries ADLini Ethopia ili tawala Yemen leta dalili wacha kuongea kama mlevi au mvuta bangi.
Fatilia vizuri Yemen ndio aliwatawala wa Ethopiaoccupation of Yemen by the Christian Abyssinian kingdom (modern Ethiopia) in the 4th and early 6th centuries AD
Aksumite under Kaleb invaded Southern Arabia and Yemen from 520 and controlled it until 525 when Sumyafa Ashwa was deposed by Abraha. Emerging from the earlier dʿmt civilization, the kingdom was founded in 1st century.
Hata husomagi hiyo Quruani na Visa vya Matembo wa Abraha.
Kwahiyo Abraha Al Habashiy ni Mwarabu?!Fatilia vizuri Yemen ndio aliwatawala wa Ethopia
Kwahiyo Abraha Al Habashiy ni Mwarabu?!