Jinsi Hezbollah inavyoitembezea kichapo Israel kimyakimya

Jinsi Hezbollah inavyoitembezea kichapo Israel kimyakimya

%26+emperor+menelik+ii.jpg
%26+Photo+of+Negus+Zaudita+Queen+of+Kings+in+her+own+right.jpg

Menelik2 na Mkewe hawa ni Waarabu hawa?!
 
Wikipedia?!
Soma uwajue Wayen dogo acha uvivu

Utakuta habari 👋


Yemen has been at the crossroads of many civilisations for over 7,000 years. In 1200 BCE, the Sabaeans formed a thriving commercial kingdom that included parts of modern Ethiopia and Eritrea.[15][16][17] In 275 CE,
 
Soma uwajue Wayen dogo acha uvivu

Utakuta habari 👋


Yemen has been at the crossroads of many civilisations for over 7,000 years. In 1200 BCE, the Sabaeans formed a thriving commercial kingdom that included parts of modern Ethiopia and Eritrea.[15][16][17] In 275 CE,
Leta source yako nyingine au Quruani yako huiamini?!
 
View attachment 3014564View attachment 3014567
Menelik2 na Mkewe hawa ni Waarabu hawa?!
We fatilia story ya Yemen alitawala Ethopia na Eritrea mbona hutaki kufatilia history hao wa Ethopia si walitawaliwa pia na Yemen, au unabisha na wao walitawala kidogo lakini si kama Yemen yani ukiongea vitu pima nani aliye mtawala mwenzake kwa mda mrefu 😄

Kwa hio We mbongo pia ulitawaliwa na warabu wa Yemen na zoman au unabisha 😄
 
Wahabeshi walithibisha kuwa wao ni kiboko walipochukua Visiwa vya Dahlak kwa nguvu na kuwateka Maelfu ya Wanajeshi wa Yemen.

Mwafrika ana ubavu usituchezee sisi JWTZ
 
We fatilia story ya Yemen alitawala Ethopia na Eritrea mbona huraki kufatilia history hao wa Ethopia si walitawaliwa pia na Yemen au unabisha na wao alitawala kidogo lakini si kama Yemen yani ukiongea vitu pima nani aliye myawala mwenzake kwa mda mrefu 😄

Kwa hio We mbongo pia ulitawaliwa na warabu wa Yemen na zoman au unabisha 😄
Mwarabu wa Oman na Yemen tuliwasafisha katika Mapinduzi matakatifu ya Zanzibar.
 
Wahbeshi walithibisha kuwa wao ni kuboko walipochukua Visiwa vya Dahlak kwa nguvu na kuwateka Maelfu ya Wanajeshi wa Yemen.

Mwafrika ana ubavu usituchezee sisi JWTZ
hu ndio ukweli wa Ethopia na Yemen.

JE ETHOPIA ALITAWALA YEMEN

Yes for a short time but it was the other way around for most of history, South Arabia (Yemen) and Ethiopia had a very intertwined history. around 800BC the Yemeni Sabaic Empire established its colonies in Ethiopia where they ruled for centuries. You can browse the Sabaic inscriptions in Ethiopia here. In some of the royal inscriptions, the king title includes “king of the red and back” It is understood that the Sabeans ruled as the ruling class of a native African population. However, the central Empire in Yemen weakened and the colony in Ethiopia seceded from Saba. much later around 500AD Ethiopia invaded Yemen (now is ruled by a Jewish dynasty) and Ethiopia ruled Yemen for about 40 years then the Persians sent some army that took the country and they stayed in power untell Islam.

Fun fact: Ethiopian Alphabet is a modified Sabaic alphabet (south Arabian alphabet)
 
Mwarabu wa Oman na Yemen tuliwasafisha katika Mapinduzi matakatifu ya Zanzibar.
Mliwasafisha kweli lakini siwaliwatawala 😄

Tena ni muingereza ndio aliwasaidia

Hata Mjeruman na Mreno na Muiingereza waliwatawala au uwongo 😄

Kwa hio unapo ongelea utumwa kwanza jitazame kwenu kwanza 😄
 
Sasa nani anapiga kelele Kama siyo wewe. Acha wadundane tu wakichoka watatulia .watu wanachukua ardhi kila siku alafu unaleta ushabiki wa kidini.
Sijaleta udini,bali nimepinga wewe kusema Hamas ndio wameanza.
Na wala sipo katika mlengwa wa kidini mkuu.
 
Hahaha dogo acha ujinga Eritrea alivamia kisiwa cha Yemen wakati ule alikuwa Rais Ali Abdallah Saleh huyo aliwapa warning Eritrea waondoke kwa usalama mbona waliondoka lini Eritrea alipigana vita na Yemen 😄

Lini Ethopia ili tawala Yemen leta dalili wacha kuongea kama mlevi au mvuta bangi.

JWTZ ni imara kwa kupigana na jeshi lisio na silaha yani bunduki kwa bunduki nani siku hizi anapigana vita vya hivyo hana vifaru vya mana, hana air force ya mana akingia vita na Yemen anachakazwa kwa nusu siku tu.
Mkuu JWTZ sio walaini kiasi hicho.
Nao mitambo ya kisasa wanayo japo sio kihivyo.
Wana mizinga ya masafa ya kati na marefu,wana roketi ya masafa mafupi,kati na marefu.
Wana vifaru pia.
Usii look down hivyo JWTZ.
Pia yote ya yote vita inayoamua ni ile ya ground battle.
Na hilo JWTZ yuko vizuri.
 
Sijaleta udini,bali nimepinga wewe kusema Hamas ndio wameanza.
Na wala sipo katika mlengwa wa kidini mkuu.
Wachana nao hawa wavaa misalaba akili zao zilipotea walipo ona mtume fake Paulo akiongelea kuwa Israel atalindwa na Mungu, hapo Mungu alimkusudia Yakobo wao wakageuza kuwa hili taifa lilo undwa na Muingerreza 1948 haha, ni kiasi ufahamu vipi ukivaa msalaba akili zinakuwa zimegawanyika vipande vinne.

Mungu kawa binadamu 😄

Israel taifa teule 😄

Yesu alikuwepo kabla ya Ibraham 😄

IbrahIm ndio mzazi wa mitume hapo sawa, sa Yesu sio mjukuu wa Ibrahimu sababu alikuwepo kabla ya Ibrahim, lakini Mariam mama wa Yesu alikuja bada ya Ibrahim hi akili lazima ukae pembe nini ndio utawaelewa vichaa 😄

Kama wao wanasema hawako kidini vipi washangilie Israel kama si udini unawasumbua.

We wasome wakristo Rais wa Tanzania akiwa mkristo wao ndio wananshangilia hata avuruge nchi.

Nyerere kafanya nini zaidi ya kuiharibu nchi alikuta Tanzania iko mbali sana.

Magufuli kafanya mazuri lakini alikuwa dictator wao wanamsifia.

Mwinyi ndiye alie irudisha Tanzania ilikuwa imeanza kukata roho.

Kikwete ndio Rais aliye fanya Tanzania iwe ina pesa ndio Magufuli akapata mteremko.

Mkapa alifanya kitu gani?

Salma Suluhu kairudusha Tanzania kuheshimika duniani bada ya yule dictator magu kuharibu sifa za Tanzania nje.

Hata kama namkubali Magufuli alikuwa kaifikisha Tanzania mbali, lakini alikuwa dictator mulize Lisu atakupa jibu 😄
 
Ndio maana US ambae ndie mwenye akili na waledi wa masuala ya kivita hadi Leo ana support Israel na kuachana na propaganda za Al Jazeera
Yani pale bado hawajapigwa Israel lazima aongeze kichapo
 
Wachana nao hawa wavaa misalaba akili zao zilipotea walipo ona mtume fake Paulo akiongelea kuwa Israel atalindwa na Mungu, hapo Mungu alimkusudia Yakobo wao wakageuza kuwa hili taifa lilo undwa na Muingerreza 1948 haha, ni kiasi ufahamu vipi ukivaa msalaba akili zinakuwa zimegawanyika vipande vinne.

Mungu kawa binadamu 😄

Israel taifa teule 😄

Yesu alikuwepo kabla ya Ibraham 😄

IbrahIm ndio mzazi wa mitume hapo sawa sa Yesu sio mjukuu wa Ibrahimu sababu alikuwepo kabla ya Ibrahim, lakini Mariam mama wa Yesu alikuja bada ya Ibrahim hi akili lazima ukae pembe nini ndio utawaelewa vichaa 😄

Kama wao wanasema hawako kidini vipi washangilie Israel kama si udini unawasumbua.

We wasome wakristo Rais wa Tanzania akiwa mkristo wao ndio wananshangilia hata avuruge nchi.

Nyerere kafanya nini zaidi ya kuiharibu nchi alikura Tanzania iko mbali sana.

Magufuli kafanya maxuri lakini alikuwa dictator wao wanamsifia.

Mwinyi ndiye alie irudisha Tanzania ilikuwa imeanza kukata roho.

Kikwete ndio Rais aliye fanya Tanzania iwe ina pesa bdio Magufuli akapata mteremko.

Mkapa alifanyakitu gani?

Salma Suluhu kairudusha Tanzania kuheshimika duniani bada ya yule dictator magu kuharibu sifa za Tanzania nje.

Hata ka.a namkubali Magufuli alikuwa kaifikisga Tanzania mbali, lakini alikuwa dictator mulize Lisu atakupa jibu 😄
Hapo kwa Samia na Magufuli mkuu kheri nibaki na dictator kuliko kiongozi asiye na maono.
 
Ndio maana US ambae ndie mwenye akili na waledi wa masuala ya kivita hadi Leo ana support Israel na kuachana na propaganda za Al Jazeera
Yani pale bado hawajapigwa Israel lazima aongeze kichapo
Ulaya sasa hivi mataifa mengi yanaenda kinyume na Israel,je umewahi jiuliza kwa nini?
 
Hata Mjeruman na Mreno na Muiingereza waliwatawala au uwongo
Kweni ninyi Waarabu hamkutawaliwa na Wareno na Waingereza?!

Kwa taarifa yako hata hivyo Visiwa vilikuwa havina Watu lakini maadam viko Afrika basi tumevichukua kibabe.
 
Mkuu JWTZ sio walaini kiasi hicho.
Nao mitambo ya kisasa wanayo japo sio kihivyo.
Wana mizinga ya masafa ya kati na marefu,wana roketi ya masafa mafupi,kati na marefu.
Wana vifaru pia.
Usii look down hivyo JWTZ.
Pia yote ya yote vita inayoamua ni ile ya ground battle.
Na hilo JWTZ yuko vizuri.
Hawa Waarabu wanajifanya Wabongo kumbe ni kama Magaidi wenzao.
 
Hapo kwa Samia na Magufuli mkuu kheri nibaki na dictator kuliko kiongozi asiye na maono.
Mimi mkuu Magufuli namkubali pia kasome vizuri nilicho andika lakini kuna watu wanamchukia Magufuli usiombe.

Mulize Lisu, au rafiki zangu walio kuwa namiliki Mali Magufuli alivyo wapoteza.

Yani Magufuli alikuwa dictator lakini pembeni mchapa kazi umenipata

Salma Suluhu sioni kosa lake hio kusafiri nyie mnaona kosa lakini anawavuta ma investors waje kuinverst Tanzania.

Akiondoka ndio mtamkubuka kumbe mmepoteza Rais.
 
Mimi mkuu Magufuli namkubali pia kasome vuzuri nilicho andika lakini kuna watu wananchukia Magufuli usiombe.

Mulize Lisu, au rafiki zangu walio kuwa namiliki Mali Magufuli alivyo wapoteza.

Yani Magufuli alikuwa dictator lakini pembeni mchapa kaxi umenipata

Salma Suluhu sioni kosa lake hio kusafiri nyie mnaona kosa lakini anawacuta ma investors waje kindest Tanzania.

Akiondoka ndio mtamkubuka kumbe mmepoteza Rais.
Tizama sasa hivi nchi inaendaje mkuu kesha uone kama ni sahihi ama laah kumkubali huyu mama.
 
Kweni ninyi Waarabu hamkutawaliwa na Wareno na Waingereza?!

Kwa taarifa yako hata hivyo Visiwa vilikuwa havina Watu lakini maadam viko Afrika basi tumevichukua kibabe.
Sa we kwanza umejua vipi mimi ni mwarabu au mzungu au muhindi umeniona 😄

Mambo ya kutawaliwa nani kayaleta mimi au wewe, we chizi nini
 
Back
Top Bottom