Mtoto anauma mzee asikwambie mtu, hapo jamaa kapiga hesabu ya elfu 10 kila siku, nadhani ni sawa kwa kuwa kipato chake pia kinaruhusu...Mkuu.....
Hivi kweli 300,000 unaona nisaawa kwa kutoa matumizi after each and every month...π€π€
Mkuu, huyo mtoto hawezi tumia hata laki moja kwa mwezi.Mtoto anauma mzee asikwambie mtu, hapo jamaa kapiga hesabu ya elfu 10 kila siku, nadhani ni sawa kwa kuwa kipato chake pia kinaruhusu...
Mtoto akifika umri wa kukaa na baba atakwenda kumchukua japo itakuwa kimbembe maana mama atajua laki 3 kwa mwezi inaondoka, mama hatajali mtoto kuondoka atajali laki 3 kuondoka, game bado la moto hapo
Dooo so mi ninayetoa laki nne kwa mwezi nalipa hadi kodi ya nyumba kabisa ha haaaaaaMkuu, huyo mtoto hawezi tumia hata laki moja kwa mwezi.
Mtazamo wangu mimi ni kwamba mama amemgeuza mtoto kitega uchumi kwa jamaa.
Pia hakuna cha umri mkuu, watu tulisha chukua watoto (mapacha) wakiwa na mwaka mmoja na leo ni watu wazima wapo vyuo na kilakitu kilikaa sawa.
Binafsi sifikirii pesa hapo, zaidi naona kama jamaa ni mdhaifu kwa kisingizio cha kipato kinaruhusu.
Na hapo naona mleta mada ana vita kubwa sana huko mbeleni.
Akipitia kipindk cha ukata huyo mama la mama atamnyanyasa sanaMkuu, huyo mtoto hawezi tumia hata laki moja kwa mwezi.
Mtazamo wangu mimi ni kwamba mama amemgeuza mtoto kitega uchumi kwa jamaa.
Pia hakuna cha umri mkuu, watu tulisha chukua watoto (mapacha) wakiwa na mwaka mmoja na leo ni watu wazima wapo vyuo na kilakitu kilikaa sawa.
Binafsi sifikirii pesa hapo, zaidi naona kama jamaa ni mdhaifu kwa kisingizio cha kipato kinaruhusu.
Na hapo naona mleta mada ana vita kubwa sana huko mbeleni.
Mtandaoni mastori mengi Sana, unaweza kuta jamaaa ata kazi hana. Anatufunga kamba, siku izi Jamii Forum vituko vingiHapo ndipo umefeli, yaani umemuachia 40m, kiwanja na usafiri alafu bado unampa 300k!!??
Utakua unashida mkuu....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mtandaoni mastori mengi Sana, unaweza kuta jamaaa ata kazi hana. Anatufunga kamba, siku izi Jamii Forum vituko vingi
Si limbukeni bali ni TAAHIRA MAVI MATUPU.Huyo mwanamke naye ni limbukeni wa maisha. Atakuwa pia alidanganywa na mashost akaingia kingi.
Bro sijui ni mshamba? Samahani lakiniBlaza, yan ndo kwanza miezi sita tu ndo unasema hyo thamani unaijua MARADUFUβ¦.????
Hawa viumbe sio wa kuaminiwa kwa style hyo. Kumbuka Manara na hela zake, amezinguliwa
Omba Mungu tu asibadilike
Sio mhehe huyo ni mfipa na km ni form 4 basi amini haupo peke yako, zalisha pita hiviKwa sasa nipo kwenye mahusiano na binti flani kwao iringa i think ni muhehe ama muhehe kitu kama hicho, nipo nae mwezi wa sita huu, kaishia form 4 lakini kwangu hicho si kigezo tena maana ananiheshimu, anayajua majukumu yake ya nyumba na kwangu mwanaume,
Ving'ang'anizi kutaka kujua mwanaume anaingiza Pesa kiasi gani kwa Mwezi na ukimwambia tu ukahisi ni mapenzi yaan kwamba ukimwambia ndio atakupenda zaidi aseee umekwisha Vita inaanzia hapo ni vurugu mtindo mmoja utasikia tuachane tugawane kilichopoSiku zote mwanamke ni ndimi kuwili, hupaswi kumjulisha mkeo mapato yako maana akijua tu apo kuna vita ambayo itatokea na by nature wanawake ni wanaviburi tu
Yaan denu ukisha mwambia tu mi mapato angu haya, ahh teyar anaanza kufanya research outside ambaye atakuwa zaidi yako, hawana jema kabisa hawaVing'ang'anizi kutaka kujua mwanaume anaingiza Pesa kiasi gani kwa Mwezi na ukimwambia tu ukahisi ni mapenzi yaan kwamba ukimwambia ndio atakupenda zaidi aseee umekwisha Vita inaanzia hapo ni vurugu mtindo mmoja utasikia tuachane tugawane kilichopo
TamaaYaan denu ukisha mwambia tu mi mapato angu haya, ahh teyar anaanza kufanya research outside ambaye atakuwa zaidi yako, hawana jema kabisa hawa
Kumbe unaelewa, hiko ndo kina waponza sana hawatulii yaani n kama kuku vile kila kona kila mahali wao wapo tuTamaa
Ndio hio ni tamaaKumbe unaelewa, hiko ndo kina waponza sana hawatulii yaani n kama kuku vile kila kona kila mahali wao wapo tu
Cha umuhimu ni kuishi nao tu, wala haina haja ya kuwa na stress maana ni mda wwote anawez jilipua kama osamahNdio hio ni tamaa