Jinsi jirani alivyoniweka njia panda. Ungefanyaje?

Wewe ni mwanaume na nusu+yaani unafikiri kabla ya kutenda yaani nimekuheshimu unaakili sana
 
Ndugu yangu ulishindwa hata kulala nae kibingwa umpelekee moto umpunguze machungu? umetuaibisha saanaaanaaa, unahitaji hukumu kuu
 
Wewe ni mwanaume na nusu+yaani unafikiri kabla ya kutenda yaani nimekuheshimu unaakili sana
Asante mkuu...tunaambiwa fikiri kabla ya kutenda....angekuwa ni mtoto sawa unaweza amka ukawagongea wazazi wake then akapata msamaha akarudi kulala..ila mke wa mtu amefukuzwa na mumewe...unaamka unaenda kumgongea mwanaume mwenzio tena ambaye sio mshikaji wako/hamna mazoea hata kidogo..Ni ngumu sana.​

sometimes heri lawama kuliko hasara...Jamaa atajiuliza kwanini mkewe kaja kwako ikiwa pale labda kuna majirani kibao tu wenye wake...Haiingii akilini...Halafu ile ni usiku, how sure was I kama kweli mmewe amejifungia humo ndani?..je kama huyu mwanamke hata kamuua na anatafuta refuge..kesho jirani unakuwa shahidi..

Ilikuwa ngumu sana kumfanyia fairness yule mwanamke...otherwise angenikuta na akili za usiku...

Sometimes, huruma ya nusu saa inaweza kukupa lawama/majuto ya milele
 
Ndugu yangu ulishindwa hata kulala nae kibingwa umpelekee moto umpunguze machungu? umetuaibisha saanaaanaaa, unahitaji hukumu kuu
Hahahahahha Mr. Ugwadu, hii ilikuwa chance yako ya kuongeza story kule kwenye uzi wa rikiboy...unfortunately nguruwe kaingia kwa shehe hahahha...Mniwie radhi wakuu.
 
Hahahaaha, huyo angechezea libolo fc mpaka achakae mamamamae, atakuwa anakuona fala kinyama
 
Toa solution mkuu...age is just a number.
uliamua vizuri tena kwa busara kuzidi umri wako ila sina uhakika kama utaweza kukabiliana na mitego ya jirani kama kulipwa fadhira kwa huruma uliyonayo na jinsi ulivyojali
 
The best advice ever
 
Kama jamaa alimfukuza mkewe usiku, mbona naona kama ulikosa Bahati.

Ingenikuta Mimi huenda sikuhiyo baada ya kumkaribisha ndani ningeonjeshwa kitu kimasihara maana kosa si langu, ningemfariji tu jirani yangu.

Mume unaanzaje kumfungia mlango mke nje, Toa kichapo ila muache alale ndani kwako, vinginevyo mrudishe kwao.
 
Kweli mkuu wanajuana wenyewe huko na wala hata usijichoshe mi nimependa staili yako ya maisha yaani ni maisha flani simple hivi
 
Kwamba ningemkalibisha home alale kwa amani....aiseeee bora niwe fala maana hata akiniona shujaa haisaidii chochote
Shikilia hapo ndugu yangu ushauri wa humu mwingi ni wa kupotosha,tena nasema hivi usije kurogwa kuanza kumuuliza sijui ilikuwaje mara nini kilisababisha mgombane yaani mute tu kama hakijatokea kitu
 
M nikajua alitaka kukupa mzigo ndo Mana uko njia panda.
 
Umefanya sahihi. Mume wake ndie mwenye roho nzuri! Watu wengine ni wanga kwa matendo yao.
 
Alitakiwa akae nje ya chumba chao. Mumewe alitegemea mkewe aende wapi hadi mtu baki ndio ateseke?
 
Najaribu kuitafuta hiyo njia panda ulipoachwa na huo mkasa, siioni
 
Daaaaaah ......hapo baada ya kusoma kisa hik akili ime stack kufanya maamuz
 
Inawezekana bwana mdogo hujui matumizi ya msamiati NJIA PANDA......au la inawezekana wewe ulikuwa na fikra zako juu ya huyo jirani yako ambazo unashindwa kuzibalance na hilo tukio......lakini katika hali ya kawaida sioni kinachokuweka NJIA PANDA hapo.....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…