Jinsi jirani alivyoniweka njia panda. Ungefanyaje?

Jinsi jirani alivyoniweka njia panda. Ungefanyaje?

Wewe ndo umri wako ni wa kutiliwa shaka kabisaaa angekuwa mwanamke mwenzie sawa, Ila kwa mwanaume msaada aloutoa wa kumpa support atafute pa kulala ni sawa kabisa! Ukute wamechokana anatafuta sababu na mwanaume ni mshenzi angejaribu tu kuingiwa huruma hakuna rangi angeacha kuona

Hata mwanamke hapana
Niliwahi mpokea mke wa mtu
Mumewe alichofanya akatafuta namba ya mume wangu, akamwambia namfudisha mkewe umalaya, Yaani nimemtorosha nimebakia na mtoto nikamconect mkewe Kwa mwanaume,
Mume anarudi amevimba kama cobra anatukuta pale hata salamu, nikaambiwa tu mrejeshe mwenzio ulipomtoa[emoji848]
 
Kuna mitaa hadi wezi huwa wanawakimbiza kwa kupigiana simu. Simu inaita, ukipokea unasikia "Mzee fulani, nimemkurupua mwizi huku kwangu, anaweza kukimbilia kwako,...Good night"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inawezekana bwana mdogo hujui matumizi ya msamiati NJIA PANDA......au la inawezekana wewe ulikuwa na fikra zako juu ya huyo jirani yako ambazo unashindwa kuzibalance na hilo tukio......lakini katika hali ya kawaida sioni kinachokuweka NJIA PANDA hapo.....!!!
Labda ungenipa matumizi sahihi ya huu msamiati ili nijifunze zaidi..hizo assumptions zingine hauko sahihi...njia panda ni pale ambapo nilikuwa na mgogoro wa nafsi...Kuna nafsi ilikuwa inanambia nijaribu kumsaidia (roho nzuri) na kuna nyingine ilikuwa inaniambia nisimsaidie (roho mbaya)....ilikuwa inaniwia ugumu kufanya maamuzi maana kila upande ulikuwa unanivuta...hapo ndipo nilipobaki njia panda ila mwisho wa siku nikachagua njia yangu ambayo ni 'roho mbaya'

 
Utangulizi:
Huyu dada ni mke wa mtu na ni jirani yangu pale nyumbani ninapoishi. Ni zaidi ya miezi 9 sasa toka nimehamia mtaa ule, ila kwa kipindi chote hiki sijawahi kuwa na mazoea na huyu mwanamke. Huwa ni mwendo wa salamu tu halafu kila mtu anachukua 50 zake. Sina uhakika kama ananijua jina. Sababu kubwa ya kutozoeana sana nadhani ni nature ya maisha yangu.

Mimi nikitoka asubuhi, narudi jioni/usiku na mda mwingi nakuwa ndani tu nafanya mambo yangu. Kiufupi mi sio mtu wa mazoea kabisa hasa kwa wanafunzi na wake za watu. Huyu dada ni mke wa mtu na mmewe ni wale jamaa ambao huwa hawakai sana nyumbani. Siku tatu atakuwepo nyumbani, siku mbili hayupo na huwa tunaonana mara chache sana. Wanaishi nyumba ya jirani na ninapokaa mimi.

Twende kwenye mada:
Jana nimerudi home nikiwa stressed kiasi, sababu ya yule mdogo wetu wa mwisho ambae nishawahi hata kuandika humu kuwa nampenda sana kuliko ndugu zangu wote. Dogo alimaliza form four sasa selection zimetoka amepangiwa shule moja hivi ambayo ndo inaanza sasa kwa matokeo yake na kwa combination aliyokuwa anaitaka/aliyochaguliwa alitegemea kupangiwa hizi shule kubwa kubwa bahati mbaya amepelekwa shule ambayo ndo inaanza kabisaa kwa A level.

Sasa as a brother, jana nimekesha mtandaoni natafuta shule nzuri hasa hizi za serikali halafu nacheki wadau wangu kama wana connection nione namna gani naweza msaidia akapata nafasi kwenye hizo shule.

Nimeendelea kuhangaika hadi usiku mrefu mida ya saa 6 hivi usiku mara nikaanza kusikia kelel nje huko kama watu wanagombana. Nilitaka nipuuzie ila badae ikabidi niwe makini na hizo kelele ukizingatia ni usiku ambao sio wetu. Katika kufatilia nikagundua kuwa ni mke na mme (wale jirani zangu hapo kwenye utangulizi) wanagombana. Baada ya kugundua sio uhalifu, ikabidi niendelee na ratiba zangu tu za usiku. Mambo ya mme na mke chumbani kwao tena usiku sio ya kuingilia kabisaaa.

Nikawaza pengine hata hawapigani huenda jamaa (yule mme) ana ugwadu umejaa kama wa bwana INTEGRITY halafu anapeleka moto kama bwana CARLOS kwa kutumia mikunjo ya bwana EXTROVERT. Nikaendelea kuwaza isije ikawa yule jirani (mke) amenogewa kutokana na kuwa na upwiru uliojaa kama wa bibi NEW GAL basi sauti lazima azitoe kwa juu kama honi la treni inayoweka nanga pale tazara...Nikasema mimi ni nani niingilie mambo yao? hapa ndipo nikamkumbuka bwana SMART911 kuwa mambo yao waachie wenyewe.

Fikra zangu hazikuwa sahihi kabisaa, kumbe ulikuwa ugomvi wa kweli wa kimwili na sio kihisia. Nusu saa baadae nasikia mlango wangu unagongwa na mtu analia sana kwa maumivu makali huku akiniita 'jirani'.

Nilivyochungulia nikamuona ni yule jirani yangu..Ikabidi nimuulize shida nini, akasema kuwa amepigwa na mmewe na amefukuzwa ndani na hana pa kwenda usiku huo. Shida yake kubwa alitaka apate hifadhi angalau alale mpaka asubuhi maana mda ule ulikuwa umeenda sana, ilikuwa inakaribia saa nane usiku. Muda huo anasema mumewe amefunga milango na hataki kumuona.

Huruma ikaniingia sana ila naanzaje kumruhusu mke wa mtu alale kwangu?. Nikamwambia basi mtafute mjumbe angalau akupe msaada, bahati mbaya kwa mjumbe ni mbali kidogo ndio maana hawezi kwenda mda ule. Nikawaza nitoke nikajaribu kuongea na mme wake muda ule?..Nikaona haijakaa poa..Je nitoke usiku ule nimsindikize mke wa mtu hadi kwa mjumbe muda ule...Nikafikilia pia nikaona nitakuwa najiingiza matatizoni...mmewe atanichukuliaje na atawaza kwanini mkewe alikuja kwangu direct usiku ule...Hapana, siwezi nunua ugomvi nikakataa.

Nikamwambia jirani siwezi kukufungulia uingie na wala siwezi kukusindikiza popote..Nikaona ananilaumu sana kuwa jirani yake (mimi) sina huruma na je itakuwaje kama akikutana na madhira usiku ule hata kubakwa..Hakutegemea kama nina roho mbaya kiasi kile.. Alinilaumu sana kwa maneno mabaya ila sikujali, msaada pekee niliompa muda ule ni sh. 10k niliyokuwa nayo nikamwambia akiweza aende hata lodge za jirani akachukue room alale..sikutaka kusikiliza sana lawama zake nikafunika pazia nikazima taa nikalala. Hata mood ya kubaki online ikakata..Sijui aliamua nini baada ya pale.

Leo nimetoka nimekuta pale kwao pamefungwa..Sijui kiliendelea nini baada ya pale, sijui alienda wapi yule mwanamke..Kama wakiyamaliza salama najua atakuwa ananichukulia kama nina roho mbaya sana..sasa ningefanyaje?..Niliamua kuchagua roho mbaya dhidi ya huruma.

Ni kweli, Roho mbaya haijengi ila kuna mda kama jana Roho nzuri inaharibu zaidi...Hizi ndoa zimejaa matatizo mengi sana.

Kitu pekee ninachojua ni kwamba umefanya jambo la msingi kutokumruhusu alale kwako, Basi.
 
Utangulizi:
Huyu dada ni mke wa mtu na ni jirani yangu pale nyumbani ninapoishi. Ni zaidi ya miezi 9 sasa toka nimehamia mtaa ule, ila kwa kipindi chote hiki sijawahi kuwa na mazoea na huyu mwanamke. Huwa ni mwendo wa salamu tu halafu kila mtu anachukua 50 zake. Sina uhakika kama ananijua jina. Sababu kubwa ya kutozoeana sana nadhani ni nature ya maisha yangu.

Mimi nikitoka asubuhi, narudi jioni/usiku na mda mwingi nakuwa ndani tu nafanya mambo yangu. Kiufupi mi sio mtu wa mazoea kabisa hasa kwa wanafunzi na wake za watu. Huyu dada ni mke wa mtu na mmewe ni wale jamaa ambao huwa hawakai sana nyumbani. Siku tatu atakuwepo nyumbani, siku mbili hayupo na huwa tunaonana mara chache sana. Wanaishi nyumba ya jirani na ninapokaa mimi.

Twende kwenye mada:
Jana nimerudi home nikiwa stressed kiasi, sababu ya yule mdogo wetu wa mwisho ambae nishawahi hata kuandika humu kuwa nampenda sana kuliko ndugu zangu wote. Dogo alimaliza form four sasa selection zimetoka amepangiwa shule moja hivi ambayo ndo inaanza sasa kwa matokeo yake na kwa combination aliyokuwa anaitaka/aliyochaguliwa alitegemea kupangiwa hizi shule kubwa kubwa bahati mbaya amepelekwa shule ambayo ndo inaanza kabisaa kwa A level.

Sasa as a brother, jana nimekesha mtandaoni natafuta shule nzuri hasa hizi za serikali halafu nacheki wadau wangu kama wana connection nione namna gani naweza msaidia akapata nafasi kwenye hizo shule.

Nimeendelea kuhangaika hadi usiku mrefu mida ya saa 6 hivi usiku mara nikaanza kusikia kelel nje huko kama watu wanagombana. Nilitaka nipuuzie ila badae ikabidi niwe makini na hizo kelele ukizingatia ni usiku ambao sio wetu. Katika kufatilia nikagundua kuwa ni mke na mme (wale jirani zangu hapo kwenye utangulizi) wanagombana. Baada ya kugundua sio uhalifu, ikabidi niendelee na ratiba zangu tu za usiku. Mambo ya mme na mke chumbani kwao tena usiku sio ya kuingilia kabisaaa.

Nikawaza pengine hata hawapigani huenda jamaa (yule mme) ana ugwadu umejaa kama wa bwana INTEGRITY halafu anapeleka moto kama bwana CARLOS kwa kutumia mikunjo ya bwana EXTROVERT. Nikaendelea kuwaza isije ikawa yule jirani (mke) amenogewa kutokana na kuwa na upwiru uliojaa kama wa bibi NEW GAL basi sauti lazima azitoe kwa juu kama honi la treni inayoweka nanga pale tazara...Nikasema mimi ni nani niingilie mambo yao? hapa ndipo nikamkumbuka bwana SMART911 kuwa mambo yao waachie wenyewe.

Fikra zangu hazikuwa sahihi kabisaa, kumbe ulikuwa ugomvi wa kweli wa kimwili na sio kihisia. Nusu saa baadae nasikia mlango wangu unagongwa na mtu analia sana kwa maumivu makali huku akiniita 'jirani'.

Nilivyochungulia nikamuona ni yule jirani yangu..Ikabidi nimuulize shida nini, akasema kuwa amepigwa na mmewe na amefukuzwa ndani na hana pa kwenda usiku huo. Shida yake kubwa alitaka apate hifadhi angalau alale mpaka asubuhi maana mda ule ulikuwa umeenda sana, ilikuwa inakaribia saa nane usiku. Muda huo anasema mumewe amefunga milango na hataki kumuona.

Huruma ikaniingia sana ila naanzaje kumruhusu mke wa mtu alale kwangu?. Nikamwambia basi mtafute mjumbe angalau akupe msaada, bahati mbaya kwa mjumbe ni mbali kidogo ndio maana hawezi kwenda mda ule. Nikawaza nitoke nikajaribu kuongea na mme wake muda ule?..Nikaona haijakaa poa..Je nitoke usiku ule nimsindikize mke wa mtu hadi kwa mjumbe muda ule...Nikafikilia pia nikaona nitakuwa najiingiza matatizoni...mmewe atanichukuliaje na atawaza kwanini mkewe alikuja kwangu direct usiku ule...Hapana, siwezi nunua ugomvi nikakataa.

Nikamwambia jirani siwezi kukufungulia uingie na wala siwezi kukusindikiza popote..Nikaona ananilaumu sana kuwa jirani yake (mimi) sina huruma na je itakuwaje kama akikutana na madhira usiku ule hata kubakwa..Hakutegemea kama nina roho mbaya kiasi kile.. Alinilaumu sana kwa maneno mabaya ila sikujali, msaada pekee niliompa muda ule ni sh. 10k niliyokuwa nayo nikamwambia akiweza aende hata lodge za jirani akachukue room alale..sikutaka kusikiliza sana lawama zake nikafunika pazia nikazima taa nikalala. Hata mood ya kubaki online ikakata..Sijui aliamua nini baada ya pale.

Leo nimetoka nimekuta pale kwao pamefungwa..Sijui kiliendelea nini baada ya pale, sijui alienda wapi yule mwanamke..Kama wakiyamaliza salama najua atakuwa ananichukulia kama nina roho mbaya sana..sasa ningefanyaje?..Niliamua kuchagua roho mbaya dhidi ya huruma.

Ni kweli, Roho mbaya haijengi ila kuna mda kama jana Roho nzuri inaharibu zaidi...Hizi ndoa zimejaa matatizo mengi sana.

Kwa kitombile ingekuwa ni kama nzi kufa kwenye kidonda kama manzi ipo vizuri ningempigilia msumali alafu saa 10 alfajiri nikamtoa aende anakokwenda.
 
Labda ungenipa matumizi sahihi ya huu msamiati ili nijifunze zaidi..hizo assumptions zingine hauko sahihi...njia panda ni pale ambapo nilikuwa na mgogoro wa nafsi...Kuna nafsi ilikuwa inanambia nijaribu kumsaidia (roho nzuri) na kuna nyingine ilikuwa inaniambia nisimsaidie (roho mbaya)....ilikuwa inaniwia ugumu kufanya maamuzi maana kila upande ulikuwa unanivuta...hapo ndipo nilipobaki njia panda ila mwisho wa siku nikachagua njia yangu ambayo ni 'roho mbaya'

Mantiki yangu ilikuwa kwamba.....katika lugha ya picha kubakia njia panda maana yake ni kushughulishwa na majambo mawili au zaidi lakini unakosa majibu sahihi kwa wakati huo......

Kwa namna ulivyoanza mtiririko wa habari yako ni wazi kuwa nafsi yako ilijenga aina flani maudhui juu ya huyo jirani yako either katika hali ya mkazo au katika hali ya kawaida kulingana na matakwa ya nafsi yako kwa sababu nafsi ya mwanadamu daima haiwi tupu......sasa inawezekana hata majibu ya hili tukio la usiku yamesukumwa na taswira iliyobebwa kwenye nafsi yako juu ya huyo mwanamke au mumewe.........(huu ni mtazamo wangu tu kulingana na nilivyoielewa habari yako)........
 
Mantiki yangu ilikuwa kwamba.....katika lugha ya picha kubakia njia panda maana yake ni kushughulishwa na majambo mawili au zaidi lakini unakosa majibu sahihi kwa wakati huo......

Kwa namna ulivyoanza mtiririko wa habari yako ni wazi kuwa nafsi yako ilijenga aina flani maudhui juu ya huyo jirani yako either katika hali ya mkazo au katika hali ya kawaida kulingana na matakwa ya nafsi yako kwa sababu nafsi ya mwanadamu daima haiwi tupu......sasa inawezekana hata majibu ya hili tukio la usiku yamesukumwa na taswira iliyobebwa kwenye nafsi yako juu ya huyo mwanamke au mumewe.........(huu ni mtazamo wangu tu kulingana na nilivyoielewa habari yako)........
Respect for all...Fear none.....pamoja mkuu
 
Rule number one, usiingilie ugomvi wa watu wanaoshare shuka moja wewe waache wadundane mpaka wauwane watasaidiwa na taasisi za serikali
 
Mantiki yangu ilikuwa kwamba.....katika lugha ya picha kubakia njia panda maana yake ni kushughulishwa na majambo mawili au zaidi lakini unakosa majibu sahihi kwa wakati huo......

Kwa namna ulivyoanza mtiririko wa habari yako ni wazi kuwa nafsi yako ilijenga aina flani maudhui juu ya huyo jirani yako either katika hali ya mkazo au katika hali ya kawaida kulingana na matakwa ya nafsi yako kwa sababu nafsi ya mwanadamu daima haiwi tupu......sasa inawezekana hata majibu ya hili tukio la usiku yamesukumwa na taswira iliyobebwa kwenye nafsi yako juu ya huyo mwanamke au mumewe.........(huu ni mtazamo wangu tu kulingana na nilivyoielewa habari yako)........
Perfect
 
Back
Top Bottom