Jinsi Kenya inavyotoa vipato vinono kwa walimu na watumishi ukilinganisha na Tanzania

Jinsi Kenya inavyotoa vipato vinono kwa walimu na watumishi ukilinganisha na Tanzania

Kama watoto wao wanasoma Cambridge huko wao wanaumia na nn


Tz kula chako mapema mishahara ni midogo mno hasa hiz local government alafu no allowance had ujikamue ujenge ***** ushaastaafu
 
mbona hela nzuri hizo mtaani huku mtu analipwa makofi na vibao kwa kazi ya kukutwa kijiweni
 
Kenya bei ipo juu tu kwenye vyakula tu vitu vingine ni cheap sana mfano cement mfuko mmoja ni 10000.
Bei ya kuwanja Kenya haikamatiki
Watu kujenga nyumba kule unatakiwa kuwa na pesa hasa sio utani
 
Kabla haujaangalia walimu / watumishi / raia wenye ajira zenye ujira angalia maelfu ambao hata hio ajira hawana....

Ukitaka kujua tatizo lilipo mwambia yoyote hapo atangaze kuacha kazi uone ni wangapi watagombania hio kazi. Demand ni Kubwa kuliko mfano...; (Hapo ndio utaona issue sio kuongeza marupurupu tu hio haitaondoa shida ya mamilioni ambao hata hio peanuts hawapati)

By the way wale wakenya ambao huwa ninawaona wanakuja huku kufundisha English na masomo ya hapa na pale wanatafuta nini huku wakati kwao ni more greener ?!!!!

Ifike wakati tuangalie matatizo kwa ujumla wake (sio kila mtu kufutia kwake; hapo watumishi wakipewa ongezeko wanaanza kuimba habari za kuupiga mwingi bila kuangalia ndugu yake mkulima; mkulima akidanganywa walaji ndio wanaomyonya basi tena ndio wanasahau shida walio kitaa wasio na kazi; watu elfu kumi wakipewa kazi wanaimba nyimbo za kusifu na kusahau ambao hata mikopo ya kusoma haipo)..., Divide and Rule at its Best....
Kitu usichojua Ni Kuwa watumishi wakiwa na kipato kizuri Basi watazalisha ajira za kutosha mtaani. Vitanda, vitu, nguo, ufundi na matunda na kilakitu kitauzika. Njia ya kuboresha maisha ya wasio na ajira Basi ongeza ujira serikalini. Kipato Chao kitazalisha na kuanzisha ajira kibao mtaani
 
Kitu usichojua Ni Kuwa watumishi wakiwa na kipato kizuri Basi watazalisha ajira za kutosha mtaani.
Hao watumishi ni wangapi unaweza kunipa namba ? Kuna kipindi Post zilikuwa zikitokea watu wanachagua Kazi (Jeshi, Polisi, Ualimu vijijini, Unesi n.k. walikuwa hawaendi) sasa hivi mmoja kati ya hao akiacha kazi watu elfu moja wanatokea kuomba hizo kazi....
Vitanda, vitu, nguo, ufundi na matunda na kilakitu kitauzika.
Hizo namba ni ngapi ? / Watumishi ni wangapi ? kwahio uongeze ujira wa watumishi ambao ni wachache sana ukitegemea wataajiri watu ? watu gani house boys na house girls ? Kwa ujira gani ? Na unadhani kuongeza Pesa inayochase products zilezile kutaongeza bei au kupunguza bei: Kipi bora kuongeza production au cost of production...

Watu hawana buying power (WOTE) kwahio kuanza kutenga kana kwamba watumishi ndio wana hali mbali naweza kusema at best ni ubinafsi au haujaangalia the whole equation
Njia ya kuboresha maisha ya wasio na ajira Basi ongeza ujira serikalini. Kipato Chao kitazalisha na kuanzisha ajira kibao mtaani
Issue numbers; waliopo kwenye ajira ni wachache kuliko ambao hawapo kwenye ajira (evidence ni ikitokea vacancy watu wanavyojazana) hence kuondoa shida ni kuongeza ajira zenye ujira (first step) second step ni kuhakikisha ujira huo unakidhi ili watu wapate buying power.... Hakuna shortcut (Unless unaamini kwamba all animals are equal but some are more equal than others)
 
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.

1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.

2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.

3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
  1. house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
  2. medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
  3. commuter allowances tsh 84,000/-
  4. hardship alowance 120,000/-
  5. Leave allowance 100,000/-
Hiyo hupata kila mwalimu.

Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.

Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.


Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
Gharama za maisha Kenya unazijua lakini?
 
Gharama za maisha kenya iko juu mnoo mkuu,
 
Back
Top Bottom