Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haelewi huyo bei za vitu Kenya ziko.juu.mno.kuliko Tanzania ni sawa mtu aseme Marekani mwalimu wa cheti analipwa milioni moja kwa mweziUnafananisha mbingu n'a ardh
Weka na cost of living za KenyaMishara ya waalimu wa Kenya kwa shule za msingi kwa mwaka 2021.View attachment 2674723
Kenya bei ipo juu tu kwenye vyakula tu vitu vingine ni cheap sana mfano cement mfuko mmoja ni 10000.Haelewi huyo bei za vitu Kenya ziko.juu.mno.kuliko Tanzania ni sawa mtu aseme Marekani mwalimu wa cheti analipwa milioni moja kwa mwezi
Mareksni haotoshi hata kupanga chumba
hapa ni zaidi ya laki 4 za madafu,Mishara ya waalimu wa Kenya kwa shule za msingi kwa mwaka 2021.View attachment 2674723
Kaangalie tena allowance zao zote Kaka. Tena zile za lazima. Kwani wapo wanaopewa za ziada.Mishara ya waalimu wa Kenya kwa shule za msingi kwa mwaka 2021.View attachment 2674723
Ukifanya 21,700 ×21 Ni sawa na tsh 455,000. Sasa hapo hujaongeza allowance zote. Tunasafari mdefuMishara ya waalimu wa Kenya kwa shule za msingi kwa mwaka 2021.View attachment 2674723
Watanzania huagiza vitu vingi kutokea Nairobi. Mitumba, nguo, viatu na mayai, Sasa unaweza toa vitu kutoka kwenye bei kubwa kuja kuuza kwenye bei ndogo? Tumia akiliHaelewi huyo bei za vitu Kenya ziko.juu.mno.kuliko Tanzania ni sawa mtu aseme Marekani mwalimu wa cheti analipwa milioni moja kwa mwezi
Mareksni haotoshi hata kupanga chumba
Kivipi hiyo inakua suluhu? Nani atafundisha watoto wetu. Tatizo ni serikali ya mzaha tuliyonayo.ukiona mshahara mdogo we acha kazi njoo uwe kama kina sisi mtaani utanishukuru baadae
Huyo jamaa ni kiazi.Watanzania huagiza vitu vingi kutokea Nairobi. Mitumba, nguo, viatu na mayai, Sasa unaweza toa vitu kutoka kwenye bei kubwa kuja kuuza kwenye bei ndogo? Tumia akili
Nimeishi kenya kaka, inawezekana kweli wanapata hayo lakini maisha ya walimu wa Kenya ni magumu kama huku tu. Kwanza life expenses kwa Kenya Iko juu. Walimu na polisi wanajinyonga Sana Kenya.Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.
Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.
1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.
2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.
3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
Hiyo hupata kila mwalimu.
- house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
- medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
- commuter allowances tsh 84,000/-
- hardship alowance 120,000/-
- Leave allowance 100,000/-
Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.
Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?
Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.
Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.
Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
Mwalimu daraja AHyo 370k ndo mwalimu yupi analipwa mkuu.
Basic ni ngp mkuu,Mwalimu daraja A