Jinsi Kenya inavyotoa vipato vinono kwa walimu na watumishi ukilinganisha na Tanzania

Jinsi Kenya inavyotoa vipato vinono kwa walimu na watumishi ukilinganisha na Tanzania

Mishara ya waalimu wa Kenya kwa shule za msingi kwa mwaka 2021.
20230701_072455.jpg
 
Haelewi huyo bei za vitu Kenya ziko.juu.mno.kuliko Tanzania ni sawa mtu aseme Marekani mwalimu wa cheti analipwa milioni moja kwa mwezi
Mareksni haotoshi hata kupanga chumba
Watanzania huagiza vitu vingi kutokea Nairobi. Mitumba, nguo, viatu na mayai, Sasa unaweza toa vitu kutoka kwenye bei kubwa kuja kuuza kwenye bei ndogo? Tumia akili
 
Ndiyo maana elimu yangu iko na good quality, walimu wanafundisha hawana stress za ugumu wa maisha.
 
Jaokuwa Ni nchi ndogo yenye watumishi wengi kuliko Tanzania tuangalie tu jinsi Kenya inavyohudumia vizuri walimu wake kuliko Tanzania.

Kenya iko na watumishi milion 1 wa umma ukilinganisha na lakisaba tu wanaohudumia umma mkubwa Sana Tanzania. Hii inamaanisha utumishi kenye uhudumia wateja wachache karibu nusu ya wale wanaoudumiwa na kila mtumishi hapa Bongo.

1. Mwalimu wa cheti anayeamza kazi wao humuita grade B1 hupokea jumla ya shilingi za kitanzania laki9 ikiwa ni karibu Mara mbili ya Tanzania.

2. Kwanza Hupokea mshahara karibu sawa na wa bongo tsh 445,000/- kwa mwezi.

3. Baada ya hapo Sasa hupata ruzuku kibao za moja kwa moja Kama pakege kwenye pato lake kila mwezi yani.
  1. house allowances tsh 130,000 kwa mwezi
  2. medical (No longer paid to teachers; deducted and paid directly to Minet insurance and another is given to the NHIF)
  3. commuter allowances tsh 84,000/-
  4. hardship alowance 120,000/-
  5. Leave allowance 100,000/-
Hiyo hupata kila mwalimu.

Lakini Zipo ambazo hugusa walimu baadhi mfano. Posho ya madaraka, ya cheo,
Hivyo upelekea pato la laki 9 kwa anaanza kazi. Na pato la karibu million na laki sita kwa mwenye digree anayeanza kazi. Wakati bongo hupata chini ya nusu ya pato Hilo.

Lakini Tanzania kunasehemu tumekwama. Kenya inatuzidi raslimali gani jamani?

Tanzania allowances ziliwekwa kwenye mshahara alafu zikafutwa kabisa na kuwaacha watumishi hoi.

Ni wakati muafaka wa serikAli kitenganishi pato la mshahara na allowances ili kumkwamua mwalimu kwenye kipato.


Kesi za walimu kudaiwa, kutapeliwa kuzulumiwa Ni nyingi Sana. Kushikwa kadi zao kwenye mikopo umiza na kuishi katika makazi duni, Sababu mshahara haumudu kufanya chochote kabisa zaidi ya kudhalilika tu
Nimeishi kenya kaka, inawezekana kweli wanapata hayo lakini maisha ya walimu wa Kenya ni magumu kama huku tu. Kwanza life expenses kwa Kenya Iko juu. Walimu na polisi wanajinyonga Sana Kenya.
 
Kabla haujaangalia walimu / watumishi / raia wenye ajira zenye ujira angalia maelfu ambao hata hio ajira hawana....

Ukitaka kujua tatizo lilipo mwambia yoyote hapo atangaze kuacha kazi uone ni wangapi watagombania hio kazi. Demand ni Kubwa kuliko mfano...; (Hapo ndio utaona issue sio kuongeza marupurupu tu hio haitaondoa shida ya mamilioni ambao hata hio peanuts hawapati)

By the way wale wakenya ambao huwa ninawaona wanakuja huku kufundisha English na masomo ya hapa na pale wanatafuta nini huku wakati kwao ni more greener ?!!!!

Ifike wakati tuangalie matatizo kwa ujumla wake (sio kila mtu kufutia kwake; hapo watumishi wakipewa ongezeko wanaanza kuimba habari za kuupiga mwingi bila kuangalia ndugu yake mkulima; mkulima akidanganywa walaji ndio wanaomyonya basi tena ndio wanasahau shida walio kitaa wasio na kazi; watu elfu kumi wakipewa kazi wanaimba nyimbo za kusifu na kusahau ambao hata mikopo ya kusoma haipo)..., Divide and Rule at its Best....
 
Kiongozi anatumia pesa ya umma kugharamia kampeni za chama chake alafu mnamtafuta mchawi wenu ni nani ?

Huwezi pigania watu wasio jielewa kama watanzania
 
Mfanyakazi wa Serikali mwenye masters anazidiwa take home na housgirl aliyefeli darasa la nne akaenda Oman kuosha vyombo.
 
Back
Top Bottom