Ilikuwa mwaka 2011 nilipata kazi ya mkataba wa miaka 2 kijiji kimoja cha huko kwa wahaya
Kutokana na kukuta huko bei ya kuku iko chini nilianza kuwanunua kidogo kidogo ili wakiwa wengi niwe naenda kuwapush Town
baada ya miezi mitatu nilikuwa na kuku zaidi ya 40 ambao nilikuwa ninawahifadhi kwenye chumba kimojawapo cha nyumba niliyokuwa nimepewa kuishi bure
Ikatokea siku nikapigiwa simu nyumbani kuwa kuna msiba wa kaka yangu hivyo nijitahidi nifike mapema kwaajili ya maziko
Baada ya kupokea hizi taarifa niliwasiliana na boss wangu akanipatia ruhusa ili niwahi msibani.Fasta nikaandaa nguo kwenye kibegi,nikaoga na kufanya mawasiliano na sekido aje kunichukua
Sekido hakukawia ndani ya ½ saa alikuwa tayari ameshafika,nikaanza kufunga funga vyumba ili nisepe mida hiyo ni saa 11 jioni lakini ghafla nikawakumbuka kuku wangu
Du nitamuachia nani hawa kuku,je niwafungie chumbani niwawekee msosi & maji vya kutosha halafu nisepe au nifanyeje ?
Pumba zenyewe zilikuwepo kidogo sana,maji nayo yamo kidogo, mfukoni pesa haitoshi,kuku wenyewe bado wengine hawajarejea. dah mambo gani haya sasa yaani mimi Kisiwaga ndio wa kuumizwa kichwa na kuku
Namuachia nani sasa hawa kuku au niwauze,namuuzia nani sasa saa 12 hii
Yule boda wangu nae tayari keshaanza kulalamika kuwa namchelewesha,sasa niwafanyeje hawa kuku.dah saa 1 jioni ikanikuta bado sijuhi nawaachaje hawa kuku wangu vipenzi.
Nikapata wazo kwanini nisihairishe kwenda huko msibani ili nibaki nikiwalea kuku wangu vipenzi(wazo zuri) nikamlipa sekido pesa ya usumbufu nikarudi ndani kupumzika
Kaka yangu kipenzi akawa amezikwa bila mimi kuwepo msibani, iliniuma sana ila sikuwa na cha kufanya
Kutokana na kukuta huko bei ya kuku iko chini nilianza kuwanunua kidogo kidogo ili wakiwa wengi niwe naenda kuwapush Town
baada ya miezi mitatu nilikuwa na kuku zaidi ya 40 ambao nilikuwa ninawahifadhi kwenye chumba kimojawapo cha nyumba niliyokuwa nimepewa kuishi bure
Ikatokea siku nikapigiwa simu nyumbani kuwa kuna msiba wa kaka yangu hivyo nijitahidi nifike mapema kwaajili ya maziko
Baada ya kupokea hizi taarifa niliwasiliana na boss wangu akanipatia ruhusa ili niwahi msibani.Fasta nikaandaa nguo kwenye kibegi,nikaoga na kufanya mawasiliano na sekido aje kunichukua
Sekido hakukawia ndani ya ½ saa alikuwa tayari ameshafika,nikaanza kufunga funga vyumba ili nisepe mida hiyo ni saa 11 jioni lakini ghafla nikawakumbuka kuku wangu
Du nitamuachia nani hawa kuku,je niwafungie chumbani niwawekee msosi & maji vya kutosha halafu nisepe au nifanyeje ?
Pumba zenyewe zilikuwepo kidogo sana,maji nayo yamo kidogo, mfukoni pesa haitoshi,kuku wenyewe bado wengine hawajarejea. dah mambo gani haya sasa yaani mimi Kisiwaga ndio wa kuumizwa kichwa na kuku
Namuachia nani sasa hawa kuku au niwauze,namuuzia nani sasa saa 12 hii
Yule boda wangu nae tayari keshaanza kulalamika kuwa namchelewesha,sasa niwafanyeje hawa kuku.dah saa 1 jioni ikanikuta bado sijuhi nawaachaje hawa kuku wangu vipenzi.
Nikapata wazo kwanini nisihairishe kwenda huko msibani ili nibaki nikiwalea kuku wangu vipenzi(wazo zuri) nikamlipa sekido pesa ya usumbufu nikarudi ndani kupumzika
Kaka yangu kipenzi akawa amezikwa bila mimi kuwepo msibani, iliniuma sana ila sikuwa na cha kufanya