mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Mara sekindo sijui inchi kumi! halafu unadai anaharibu uzi!Acha kuharibu uzi
Hebu watumie japo 50000 tujue kama umejutia au la!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara sekindo sijui inchi kumi! halafu unadai anaharibu uzi!Acha kuharibu uzi
Kausha basi mzaireMara sekindo sijui inchi kumi! halafu unadai anaharibu uzi!
Hebu watumie japo 50000 tujue kama umejutia au la!
Ujerumani na Tanzania usifikiri ni suala la Mwanza Bukoba nauli yake.Mimi nilikuwa Marekani baba yangu alifariki nilikuja baada ya mwaka mmoja.Afadhali ww, watu baba yao mzazi amefariki na kuzikwa wiki iliyopita ila watoto wengine wana mwezi mzima wakila raha germany, nk, hawajamzika mzee wao na wala hawana habari.
Afu iki kisa kina fanan na mwanafunz aliyesoma Ukraine akaenda Germany baba yao kafa ajarud kumzika mzee wakeAfadhali ww, watu baba yao mzazi amefariki na kuzikwa wiki iliyopita ila watoto wengine wana mwezi mzima wakila raha germany, nk, hawajamzika mzee wao na wala hawana habari.
Rwona bakamkutwekao.Ngu niwe wamwisile.Acha kabisa waitu wale kuku walitaka kunifanya kama sina magezi kabisa
Ni hao wanaojikuta ma introvertNi vizuri uishi na majirani vizuri, mbona fasta tuu unampa funguo anawafungulia na kufunga
introvert tena mkuuNi hao wanaojikuta ma introvert
K-vant tena mkuu wakati nina msibaHalafu hao ni kuku!
Je wangekuwa ng'ombe?
Labda ungepiga K-v kubwa 2 na mchemsho wa jogoo!
[emoji16][emoji16][emoji16]huwa inatokea mbona hiyo mkuu wala sio kwako tu. Kuna mlevi mmoja hapa pembeni anasema aliyekufa kafa tu.
Ilikuwa mwaka 2011 nilipata kazi ya mkataba wa miaka 2 kijiji kimoja cha huko kwa wahaya
Kutokana na kukuta huko bei ya kuku iko chini nilianza kuwanunua kidogo kidogo ili wakiwa wengi niwe naenda kuwapush Town
baada ya miezi mitatu nilikuwa na kuku zaidi ya 40 ambao nilikuwa ninawahifadhi kwenye chumba kimojawapo cha nyumba niliyokuwa nimepewa kuishi bure
Ikatokea siku nikapigiwa simu nyumbani kuwa kuna msiba wa kaka yangu hivyo nijitahidi nifike mapema kwaajili ya maziko
Baada ya kupokea hizi taarifa niliwasiliana na boss wangu akanipatia ruhusa ili niwahi msibani.Fasta nikaandaa nguo kwenye kibegi,nikaoga na kufanya mawasiliano na sekido aje kunichukua
Sekido hakukawia ndani ya ½ saa alikuwa tayari ameshafika,nikaanza kufunga funga vyumba ili nisepe mida hiyo ni saa 11 jioni lakini ghafla nikawakumbuka kuku wangu
Du nitamuachia nani hawa kuku,je niwafungie chumbani niwawekee msosi & maji vya kutosha halafu nisepe au nifanyeje ?
Pumba zenyewe zilikuwepo kidogo sana,maji nayo yamo kidogo, mfukoni pesa haitoshi,kuku wenyewe bado wengine hawajarejea. dah mambo gani haya sasa yaani mimi Kisiwaga ndio wa kuumizwa kichwa na kuku
Namuachia nani sasa hawa kuku au niwauze,namuuzia nani sasa saa 12 hii
Yule boda wangu nae tayari keshaanza kulalamika kuwa namchelewesha,sasa niwafanyeje hawa kuku.dah saa 1 jioni ikanikuta bado sijuhi nawaachaje hawa kuku wangu vipenzi.
Nikapata wazo kwanini nisihairishe kwenda huko msibani ili nibaki nikiwalea kuku wangu vipenzi(wazo zuri) nikamlipa sekido pesa ya usumbufu nikarudi ndani kupumzika
Kaka yangu kipenzi akawa amezikwa bila mimi kuwepo msibani, iliniuma sana ila sikuwa na cha kufanya
Kuku wako vipenzi[emoji23]Ilikuwa mwaka 2011 nilipata kazi ya mkataba wa miaka 2 kijiji kimoja cha huko kwa wahaya
Kutokana na kukuta huko bei ya kuku iko chini nilianza kuwanunua kidogo kidogo ili wakiwa wengi niwe naenda kuwapush Town
baada ya miezi mitatu nilikuwa na kuku zaidi ya 40 ambao nilikuwa ninawahifadhi kwenye chumba kimojawapo cha nyumba niliyokuwa nimepewa kuishi bure
Ikatokea siku nikapigiwa simu nyumbani kuwa kuna msiba wa kaka yangu hivyo nijitahidi nifike mapema kwaajili ya maziko
Baada ya kupokea hizi taarifa niliwasiliana na boss wangu akanipatia ruhusa ili niwahi msibani.Fasta nikaandaa nguo kwenye kibegi,nikaoga na kufanya mawasiliano na sekido aje kunichukua
Sekido hakukawia ndani ya ½ saa alikuwa tayari ameshafika,nikaanza kufunga funga vyumba ili nisepe mida hiyo ni saa 11 jioni lakini ghafla nikawakumbuka kuku wangu
Du nitamuachia nani hawa kuku,je niwafungie chumbani niwawekee msosi & maji vya kutosha halafu nisepe au nifanyeje ?
Pumba zenyewe zilikuwepo kidogo sana,maji nayo yamo kidogo, mfukoni pesa haitoshi,kuku wenyewe bado wengine hawajarejea. dah mambo gani haya sasa yaani mimi Kisiwaga ndio wa kuumizwa kichwa na kuku
Namuachia nani sasa hawa kuku au niwauze,namuuzia nani sasa saa 12 hii
Yule boda wangu nae tayari keshaanza kulalamika kuwa namchelewesha,sasa niwafanyeje hawa kuku.dah saa 1 jioni ikanikuta bado sijuhi nawaachaje hawa kuku wangu vipenzi.
Nikapata wazo kwanini nisihairishe kwenda huko msibani ili nibaki nikiwalea kuku wangu vipenzi(wazo zuri) nikamlipa sekido pesa ya usumbufu nikarudi ndani kupumzika
Kaka yangu kipenzi akawa amezikwa bila mimi kuwepo msibani, iliniuma sana ila sikuwa na cha kufanya