Jinsi kuku walivyonizuia kuhudhuria msiba wa kaka yangu

Afadhali ww, watu baba yao mzazi amefariki na kuzikwa wiki iliyopita ila watoto wengine wana mwezi mzima wakila raha germany, nk, hawajamzika mzee wao na wala hawana habari.
Ujerumani na Tanzania usifikiri ni suala la Mwanza Bukoba nauli yake.Mimi nilikuwa Marekani baba yangu alifariki nilikuja baada ya mwaka mmoja.
Kule ukipata sponsorship ya bure hawajua neno kufiwa na baba yako.Hata ndugu waliniambia wewe kaaa hadi likizo
 
Halafu hao ni kuku!
Je wangekuwa ng'ombe?
Labda ungepiga K-v kubwa 2 na mchemsho wa jogoo!
 
Daa ushakuwa Bojo bojo,sekido ni neno lilotoka Uganda na kuingilia mpakani(mutukula) kama ilivyokuwa UKIMWI.
Naona umeamua kuchangamsha genge au siyo MUKULU??
anewei,ouke,ekzakitile inifakti kisa chako kinastaajabisha,lakini niseme maamzi yako yalikuwa sahihi kwani kupoteza sh. zipatazo 400,000/- na zaidi pia ungekuwa upuuzi mwingine.Wanasema ni bora uwaache 99 wasioijua njia na upite njia yako maana unajua ndiyo iliyosahihi!

Lakini nikukumbushe kuwa wewe hukuwa na mahusiano mazuri wa wanakitaa,hivi ulikuwa unaishi kisiwani peke yako??
 
Afadhali ww, watu baba yao mzazi amefariki na kuzikwa wiki iliyopita ila watoto wengine wana mwezi mzima wakila raha germany, nk, hawajamzika mzee wao na wala hawana habari.
Afu iki kisa kina fanan na mwanafunz aliyesoma Ukraine akaenda Germany baba yao kafa ajarud kumzika mzee wake
 
Ni vizuri uishi na majirani vizuri, mbona fasta tuu unampa funguo anawafungulia na kufunga
 

[emoji23][emoji23]
Imenibidi nicheke.
 
Kuku wako vipenzi[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…